Urembo asilia

Spalulu

JF-Expert Member
May 5, 2013
284
146
Habarini waungwana, wiki iliyopita nilisoma habari za mwanamama mmoja mjasiriamali anayeuza urembo asilia kwa ajili ya nywele, ngozi na vinginevyo. Bahati mbaya gazeti silioni hapa hata jina silikumbuki.

Habari hii ilieleza kuwa mwanamama huyu anapatikana magomeni japo haikusema ni magomeni ipi.

Habari inaendelea kueleza kuwa alishawahi pewa tuzo na kipindi cha tv cha malkia wa nguvu.
Mwenye kujua anapatikana wapi au hata mawasiliano yake tafadhali anijuze
 
Hapana siye, Zainab namjua ( not physically) na nishawasiliana naye.
 
Exactly Maserati, anaitwa Tahiya Musa, na duka lake linaitwa Shantelle Natural Cosmetics lipo magomeni. Nisaidie nimpateje

Ukimpata naomba uniambie. Kuna vijukuu vyangu sasa nadhani pia vitapenda surprise ya babu. Mara nyingi naviambie visitumie haya madudu yenye sumu. Ninadhani vikipata mbadala vitafurahi. Maana yawezekana vinasema "babu amekataza urembo:, kumbe mimi nimeshauri wasitumie kemikali zenye sumu.
 
Back
Top Bottom