Wakuu Salaam.
Hizo brand hapo juu wana mavazi mengi sana kuanzia viatu, suruali, saa , underwear, kofia na kadhalika , cha ajabu kwa Africa ukitoa Nigeria, south africa, Uganda, egypt maeneo mengi...
Hii ni hatari sana!
Juzi nikapata Dada mmoja nikamtongoza akakubari, akanipanga siku!
Siku yakwenda kumgegeda sasa hiiiiiii! yaani nilichoona pale mbele nikichaka cheusi tiiiii, mwanaume...
Jamani ...mi huwa natoka vipele mara kwa mara usoni na sivipendi kama nini..ngozi yangu ni ya mafuta na huwa natumia sabuni za kawaida tu...naombeni ushauri nitumie nini ili niondokne navyo...
Salaam wanajukwaa,
Kwa miaka mingi nimekuwa nikitamani kuwa na kadoti cha shavuni (kama kajiuvimbe). Nikimwangalia Jokate anapendezea sana na kale kakidoti kake.
Naomba wataalam wa maswala ya...
Habari zenu wapenzi!!!
Naomba mnisaidie mimi ni mweusi kiasi wanaita maji ya kunde nina ngozi ya mafuta nataka kuwa na rangi ya chocolet smothy kama nimezaliwa leo
Nishaurini mtumie lotion gani...
Wadau,
Bila shaka mmeshatazama porn video za black. Sasa kuna yale mafuta wanapakwa wadada kwenye makalio then makalio yanang'aa na kunona zaidi.
Anaejua jina la yale mafuta na yanakopatikana...
Wakuu habari zenu,
Bila kuchelewa mwenzenu nimekuwa nikisumbuliwa na tatizo hili, ngozi yangu ina mafuta mpaka inanikera, nikitembea juani kidogo tu uso wote unajaa mafuta, chunusi ndio za kugusa...
Jamani nifanye mazoezi gani nipate hii thigh gap....naitamani kweli
Mazoezi ambayo sitapunguza wala kuongeza anything kune my body except kupata tu hiyo sexy thigh gap[emoji7][emoji7][emoji7]
Habari zenu warembo na watanashati,
Nilikua naomba kujua jinsi ya kutumia hivi vitu vitatu je, body splash, body spray na perfume vinatumikaje kila kimoja.
Naomba kujuzwa namna sahihi i hope na...
Enyi wanaume acheni uchafu, jitahidi angalau mfue boxer zenu kila Siku, nyoeni makwapa na kwenye madushe yenu.
Harufu mbaya mnayotoa tuwapo faraghani ni matokeo ya kutofua hizi boxer zenu na...
Habari wana jf.niliwahi andika napenda kuwa model asanteni wote kwa ushauri mlionipa kwa sasa ndoto zangu zimeanza kutimia asante kwa wote mlionipa ushauri na kama MTU yyte atapenda kufanya kazi...
nimeshikwa na viarara usoni paka kwenye kifua sivipendi msahada kwa sabuni au mafuta ya kuviondoa kabixa vimekuwa kero kwangu sana tafadhali naombeni mnisaidi
Nauliza hivi wadau kwani ni lazima kwa video queen au model kuvaa nusu uchi?
Hawa watu wanaleta vichocheo vya ngono na ubakaji inabidi serikali iwatazame kwa jicho la 3 wanaharibu utamaduni wa...
Watu wengi tumekuwa tukitumia vipodozi kama losheni, mafuta, sabuni, poda, krimu na pafyumu kila siku kwa malengo ya kupendeza na kuvutia. Pia tunatumia ili kuondokana na matatizo kama vile...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.