Urembo, Mitindo na Utanashati (Lifestyle)

JF Lifestyle: Mijadala kuhusiana na masuala ya Urembo, Mitindo na Utanashati kwa ujumla wake
Wakuu Salaam. Hizo brand hapo juu wana mavazi mengi sana kuanzia viatu, suruali, saa , underwear, kofia na kadhalika , cha ajabu kwa Africa ukitoa Nigeria, south africa, Uganda, egypt maeneo mengi...
2 Reactions
51 Replies
13K Views
Hii ni hatari sana! Juzi nikapata Dada mmoja nikamtongoza akakubari, akanipanga siku! Siku yakwenda kumgegeda sasa hiiiiiii! yaani nilichoona pale mbele nikichaka cheusi tiiiii, mwanaume...
8 Reactions
126 Replies
23K Views
Jamani ...mi huwa natoka vipele mara kwa mara usoni na sivipendi kama nini..ngozi yangu ni ya mafuta na huwa natumia sabuni za kawaida tu...naombeni ushauri nitumie nini ili niondokne navyo...
1 Reactions
22 Replies
7K Views
Salaam wanajukwaa, Kwa miaka mingi nimekuwa nikitamani kuwa na kadoti cha shavuni (kama kajiuvimbe). Nikimwangalia Jokate anapendezea sana na kale kakidoti kake. Naomba wataalam wa maswala ya...
2 Reactions
26 Replies
7K Views
Habari zenu wapenzi!!! Naomba mnisaidie mimi ni mweusi kiasi wanaita maji ya kunde nina ngozi ya mafuta nataka kuwa na rangi ya chocolet smothy kama nimezaliwa leo Nishaurini mtumie lotion gani...
2 Reactions
35 Replies
11K Views
Wadau, Bila shaka mmeshatazama porn video za black. Sasa kuna yale mafuta wanapakwa wadada kwenye makalio then makalio yanang'aa na kunona zaidi. Anaejua jina la yale mafuta na yanakopatikana...
1 Reactions
19 Replies
8K Views
Kwa wale warembo wenzangu wenye ngozi nyeusi kama yangu au wale wenye weusi wa maji ya kunde hizi ndio lipstick zetu zinazotufaa zaidi na kutupendeza.
13 Reactions
84 Replies
16K Views
Habari, wapi ntapata mac powder na foundation yake original? Kama kuna mtu anajua wapi naweza kupata naomba anielekeze tafadhali! Natanguliza shukrani
1 Reactions
7 Replies
3K Views
Wakuu habari zenu, Bila kuchelewa mwenzenu nimekuwa nikisumbuliwa na tatizo hili, ngozi yangu ina mafuta mpaka inanikera, nikitembea juani kidogo tu uso wote unajaa mafuta, chunusi ndio za kugusa...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Jamani nifanye mazoezi gani nipate hii thigh gap....naitamani kweli Mazoezi ambayo sitapunguza wala kuongeza anything kune my body except kupata tu hiyo sexy thigh gap[emoji7][emoji7][emoji7]
1 Reactions
92 Replies
23K Views
Habari zenu warembo na watanashati, Nilikua naomba kujua jinsi ya kutumia hivi vitu vitatu je, body splash, body spray na perfume vinatumikaje kila kimoja. Naomba kujuzwa namna sahihi i hope na...
4 Reactions
62 Replies
21K Views
Enyi wanaume acheni uchafu, jitahidi angalau mfue boxer zenu kila Siku, nyoeni makwapa na kwenye madushe yenu. Harufu mbaya mnayotoa tuwapo faraghani ni matokeo ya kutofua hizi boxer zenu na...
23 Reactions
232 Replies
36K Views
Najua wengi wamekua wakitamani kupunguza mwili/unene bila mafanikio, unafanya mazoezi, unafanya diet llakini hupungui, Leo ntakupa somo ili uweze kupunguza mwili kadri unavyotaka wewe, utaambiwa...
5 Reactions
4 Replies
11K Views
Habari wana jf.niliwahi andika napenda kuwa model asanteni wote kwa ushauri mlionipa kwa sasa ndoto zangu zimeanza kutimia asante kwa wote mlionipa ushauri na kama MTU yyte atapenda kufanya kazi...
1 Reactions
16 Replies
2K Views
nimeshikwa na viarara usoni paka kwenye kifua sivipendi msahada kwa sabuni au mafuta ya kuviondoa kabixa vimekuwa kero kwangu sana tafadhali naombeni mnisaidi
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Nauliza hivi wadau kwani ni lazima kwa video queen au model kuvaa nusu uchi? Hawa watu wanaleta vichocheo vya ngono na ubakaji inabidi serikali iwatazame kwa jicho la 3 wanaharibu utamaduni wa...
2 Reactions
22 Replies
24K Views
Jamani warembo naombeni kujuzwa juu ya hii kitu "rose water" ni mafuta au? Na yanapatkana wapi na bei yake ikoje?
0 Reactions
14 Replies
24K Views
Watu wengi tumekuwa tukitumia vipodozi kama losheni, mafuta, sabuni, poda, krimu na pafyumu kila siku kwa malengo ya kupendeza na kuvutia. Pia tunatumia ili kuondokana na matatizo kama vile...
0 Reactions
1 Replies
7K Views
Back
Top Bottom