Mzaleee
JF-Expert Member
- Dec 16, 2016
- 2,029
- 3,846
Wakuu poleni na majukumu ,,ni zamani kidogo niliwahi kupaka lotion ya kuondoa nywele kwapani kwa ndg yang mmoja lakn kwa sasa jina silikumbuki kwa usahihi,,,, naombeni tushare ideas kwa yeyote anaye ifahamu lotion ya aina yoyote iliyo kwa miajili hiyo.Asanteni