Nitajie jina la lotion maalumu kwa kuondoa nywele kwapani bila kunyoa

Mzaleee

JF-Expert Member
Dec 16, 2016
2,029
3,846
Wakuu poleni na majukumu ,,ni zamani kidogo niliwahi kupaka lotion ya kuondoa nywele kwapani kwa ndg yang mmoja lakn kwa sasa jina silikumbuki kwa usahihi,,,, naombeni tushare ideas kwa yeyote anaye ifahamu lotion ya aina yoyote iliyo kwa miajili hiyo.Asanteni
 
Wakuu poleni na majukumu ,,ni zamani kidogo niliwahi kupaka lotion ya kuondoa nywele kwapani kwa ndg yang mmoja lakn kwa sasa jina silikumbuki kwa usahihi,,,, naombeni tushare ideas kwa yeyote anaye ifahamu lotion ya aina yoyote iliyo kwa miajili hiyo.Asanteni
Majivu
Ky
Durex spray
 
Try this ni nzur na haifany eneo kuwa jeusi utabak na rangi yako tena smooth
Lenovo_A1000_IMG_20170412_123510.jpg
 
Kuna siku nilitumia moja( siikumbuki jina) kunyolea nywele za southern hemisphere.. aisee... ilibaki kama miezi sita hivi nywele haikuota hata moja.. baadae ndo zikaanza tena kuota, niliogopa hadi nikaanza kusema i need my nanihii back... sitaki hata kuzisikia tena
 
Back
Top Bottom