Titia
Senior Member
- Jul 3, 2013
- 155
- 113
Habari wadau,
Mimi nina tatizo moja la uso wangu kuwa mwekundu sio sana lakini unakua mwekundu kwa mbali kama nikitembea sana juani, nikipika au nikipata stress. yaani nikihangaika kidogo tu uso rangi inapotea. Pia sio mtumiaji wa mikorogo sio mweusi ila nina weupe kidogo. Yaani nina rangi fulani hivi kama Lulu yule mtoto wa Bongo movie.
Natumia cream mara mbili kwa wiki sababu nisipopaka napataga sana rashes usoni na uso unawasha nimejaribu kuacha cream na kutumia dawa za makampuni hasa oriflame lakini hazikunisaidia. Ila nikitumia cream tatizo la kuwasha na rashes linaondoka
Wadau naomba msaada, hili tatizo la uso kuwa mwekundu liishe
Asanteni.
Mimi nina tatizo moja la uso wangu kuwa mwekundu sio sana lakini unakua mwekundu kwa mbali kama nikitembea sana juani, nikipika au nikipata stress. yaani nikihangaika kidogo tu uso rangi inapotea. Pia sio mtumiaji wa mikorogo sio mweusi ila nina weupe kidogo. Yaani nina rangi fulani hivi kama Lulu yule mtoto wa Bongo movie.
Natumia cream mara mbili kwa wiki sababu nisipopaka napataga sana rashes usoni na uso unawasha nimejaribu kuacha cream na kutumia dawa za makampuni hasa oriflame lakini hazikunisaidia. Ila nikitumia cream tatizo la kuwasha na rashes linaondoka
Wadau naomba msaada, hili tatizo la uso kuwa mwekundu liishe
Asanteni.