Mafuta gani yatanifaa?

Illuminata Rodgers

JF-Expert Member
Nov 25, 2015
2,845
2,017
Hellow jaman ushauri wenu mimi si mweupe wala si mweusi nipo kati asa nataka ning'ae zaid mafuta gani ambayo nikipaka yataning'arisha yani sio ya kuchubua nataka ya kung'arisha ngozi tu pia ngoz yangu ipo normal sio kavu wala ya mafuta..ushaur wenu plzzz!
 
Hellow jaman ushauri wenu mimi si mweupe wala si mweusi nipo kati asa nataka ning'ae zaid mafuta gani ambayo nikipaka yataning'arisha yani sio ya kuchubua nataka ya kung'arisha ngozi tu pia ngoz yangu ipo normal sio kavu wala ya mafuta..ushaur wenu plzzz!


Tunakushauri tumia huu udingo wetu wa ajabu 100% natural, utafanya ngozi yako iwe mororo na yenye mng'aro wa asili:

Kwa wanaume na wanawake: Udongo (natural) Unaolainisha ngozi sasa unapatikana

Wenye Matatizo ya Chunusi na Zaidi: Aunt Zainab's Natural Super Clay

Unatokwa na nywele? Una kipara? Jionee maajabu ya Aunt Zainab's Natural Super Clay
 
FB_20170424_21_11_19_Saved_Picture.jpg

Haya yatakufaa.
 
Huu udongo unafaa kuogea kama sabuni auntie Zainab

Unafaa sana, sema utayarishe maji mengi ya kuusuuza mwilini.

Halafu umeniwahi kidogo, hivi sasa mtaalaam wetu wa sabuni kutokea hapa hapa JF ndugu @zagaza yupo kwenye matayarisho na utafiti wa awali wa kuufanya uwe sabuni kamili.

Tutawajulisha pindi utakapokuwa tayari kwa matumizi kama sabuni kamili.
 
Tumia essential oils kama
..lemon essential oil
..auravedic skin lightening oil

Pia pendelea kutumia yale mafuta ya vitamin e oil,mm hua napendelea kabla sjapaka my favourate cream usoni natia kdg sn kama one drop ya vitamin e oil ktk kiganja changu ambacho nmetia cream yangu then najipaka,utang'ara ndani ya wiki moja tu with glowy face.
Shea butter pia nzuri ukijipaka mwili mzima inang'arisha then na michiriz inatoka unakua na rangi moja ya kupendeza sn
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom