Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Msaada wakuu, ni processor gani nzuri ya i5 yenye nguvu ya kurun magemu makubwa kama Gta 5 Witcher 3 na program kama Auto cad
0 Reactions
35 Replies
11K Views
Hello wadau, naomba kujua kama kuishi kwenye nyumba iliyochini au karibu na mnara wa simu kuna madhara mtu anaweza kupata? Na kama kuna madhara kwa nini serikali inaruhusu mitandao ya simu...
0 Reactions
22 Replies
11K Views
Wakuu mwenye hii programu Ms Project yakuanzia 2007 na kuendelea naomba anisaidie,nimehangaika sana kuidownload lakini nimeshindwa,mbali na Softonic ua CNet labda ni website gani naweza kuipata...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Nahitaji android app kwaajili ya blog yangu. NB: Iwe inasupport AdMob.
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Habari zenu wanajf Naomba msaada kwa mafundi wa tv hususani Lg tv yenye sifa hizi 1. Model no 32LC2D-AA 2. Product code 32LC2D-AA.AAULLBD 3. Power AC 100-240V~50/60Hz 1.5A 4. Serial no...
0 Reactions
8 Replies
8K Views
Habari zenu kwa ujumla wenu, tafadhali Kwa mwenye ufahamu juu ya hii device naomba kujuzwa faida na hasara yake!
1 Reactions
19 Replies
4K Views
Ninatumia whatsapp version 2.16.13, najaribu kutuma picha katika group but napata mesege kuwa some member wanatumia version nyingine kwa hiyo picha haiwezi kwenda.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wadau msaada ghafla Tv yangu sasa inaonyesha black and white badala ya kuwa ya rangi kama kawaida yake nimejaribu kwenda kwenye tv mode ili niweze kujaribu kubadili lakini haiendi inaenda tu...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Hello Wakuu, simu ya Samsung Galaxy Note 2, imeanza tatizo la kuji-reboot kila wakati, inasihia kwanye logo tu, nahitaji msaada wenu tafadhali.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Jamani kuna kitu nilikua nakiwaza sana baada ya mm kulipia kitu kupitia paypal. Na mm ninafanya biashara hapa kwetu tanzania na wateja wangu wengi wako mikoani nataka niwe napokea malipo kupitia...
0 Reactions
3 Replies
994 Views
Wadau, Kwa mlioko TZ nisaidieni juu ya hili. Je umewahi kutumia hiyo Nduki Gold ya TTCL? Je speed yake ikoje? Kuna sehemu nyingi TZ kwa mfano Kyela, internet kwa kutumia hizi modems za mobile...
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Nilikua online kusoma huku na kule kujua kama naweza kupata software ya kubadili maandishi yawe sauti, hatimaye nimefanikiwa. Kuna namna tatu kuu unaweza kubadili maandishi kuwa sauti. 1. Online...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
At our F8 conference this morning I laid out Facebook's 10 year roadmap and everything we're building to make the world more open and connected. We announced new technology like Messenger bots...
2 Reactions
0 Replies
942 Views
Toka jana nimekuwa nikiingiza voucher ya University inakataa sijajua kuna tatizo gani , maana nlidhan tatizo ni sehemu nliyopo kwa kuwa ni mtaani labda kuna mabadiliko. lakini leo nipo chuo tena...
1 Reactions
12 Replies
5K Views
Ndugu wana jf , naomba mnisaidie Mwenye kujua niliwahi kuuliza humu application nzuri ya kudownlod video hadi za kwenye YouTube nikaambiwa ni vidmate na videoder Sasa nikifungua kwenye play store...
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Samahani wakuu kuna bidhaa nimenunua ebay na nimeilipia. Jana ebay wamenitumia email. Kuwa bidhaa iko shipped to ....wakaweka namba yangu ya simu. Ila sijajua jinsi ya kuitrack na wala sijapata...
0 Reactions
23 Replies
4K Views
Wadau kama kuna mwenye kujua software ninayoweza kutumia kubadili sauti kwenda kwenye maandishi
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Inanini cha zaid??
0 Reactions
31 Replies
6K Views
Habarini natumia HTC M9 sasa inatumia Android version 5.1 nahisi ndo inaitwa Lollipop sasa nataka ku update kwenda marshMallow ambayo 6.0,Je offical update imetoka? Na ninaomba maelezo Namna ya Ku...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…