Naomba msaada, Samsung Galaxy Note 2 inaji-restart kila wakati

Naomba msaada, Samsung Galaxy Note 2 inaji-restart kila wakati

Msolo

JF-Expert Member
Joined
Oct 19, 2008
Posts
3,829
Reaction score
5,288
Hello Wakuu, simu ya Samsung Galaxy Note 2, imeanza tatizo la kuji-reboot kila wakati, inasihia kwanye logo tu, nahitaji msaada wenu tafadhali.
 
hata mimi ninatatizo hilo.. Simu yangu imestuck kwenye LOGO tu ya samsung haiendi zaidi halafu kwenye computer ukichomeka haionekani.... nimeenda kwenye duka la samsung wameishindwa nimepeleka kwa mafundi wengine hivyo hivyo nimeiweka kabatini.. kama kuna watu wanaweza kujua tatizo ni nini wanaweza wakanipa na mimi solution
 
hata mimi ninatatizo hilo.. Simu yangu imestuck kwenye LOGO tu ya samsung haiendi zaidi halafu kwenye computer ukichomeka haionekani.... nimeenda kwenye duka la samsung wameishindwa nimepeleka kwa mafundi wengine hivyo hivyo nimeiweka kabatini.. kama kuna watu wanaweza kujua tatizo ni nini wanaweza wakanipa na mimi solution
Umewahi ku update simu yako?
 
Back
Top Bottom