Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Nahitaji kujua Ku design electronic CCT kama inverter, amplifier, security system, n.kNahitaji miongozo, kielimu nipo chuo kikuu mwaka wa pili mechanical engineering ila napenda electronics CCT...
0 Reactions
18 Replies
4K Views
habar za humu wakuu,Nina kisimbuzi chang cha Azam tv sas cha kushangaza na kustua ni kwmba jana wakati Nimeludi kwnye mihangaiko Nilivyowasha kisimbuzi kinaonyesha channel mbili tu yan XTRA na...
0 Reactions
8 Replies
4K Views
Mara kadhaa nimekuwa nikienda google na kuangakia specifications za HTC ONE M9 PLUS naziona pale zimewekwa na Simu ipo lakini nilipo ingia kwenye website ya HTC sioni wakiitangaza wala kuzungumzia...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wakuu. Nahitaji kurecord some video clips kwa kutumia simu yangu. Napata changamoto kuwa quality ya sauti haina standard ninayoitaka. Naomba msaada kwenu. Nitumie microphone gani kwa ajili ya...
0 Reactions
2 Replies
6K Views
Kama umekuwa unatafuta smartphone ya bajeti ndogo na yenye sifa za wastani. Basi hii inaweza kukufaa. Inaitwa FERO model V501 Ram 1GB Processor ni quadcore Chipset ni Cortex Storage 8GB Dual sim...
0 Reactions
9 Replies
7K Views
Maana ya hizi term wadau natakiwa niandike nn hapo 1.reqiurement specification 2.reqiurement analysis 3.system design natakiwa naiandike nn hapo ni project ya online bidding website natakiwa...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Mambo vipi wadau, Kuna mdau mmoja Olympus alileta uzi jinsi ya kutumia Number mbili kwenye simu yako ya line mbili yenye os android lakini yeye hakutoa ujuzi alitaka tuwasiliane nae na tumpe...
17 Reactions
121 Replies
48K Views
Naomba msaada was kuanlock simu tajwa hapo juu imei namba ni 356144070815382 nb bila kuweka line 1 tigo simu haifanyi kazi
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Wadau wote wa humu naomba msaada kwa yeyote mwenye url. ya chaneli za hapa tz aniwekee hapa nami nifurahie tv za hapa kwetu tz. Natanguliza shukurani kwenu.
0 Reactions
11 Replies
9K Views
Here is how you can become a good programmer according to experts How do I become a good coder and what should the ideal characteristics of a good coder? Programming is one of the better career...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
habari zenu waungwana!naomba kupata mawazo yenu juu ya swala la ufundi umeme ninao fanya kwani sijawahi somea chuo chochote ila nimewahi fanya kazi za wiring za nyumba mara mbili tu na fundi...
2 Reactions
11 Replies
2K Views
Why and how do part of multilevel machine work together
0 Reactions
0 Replies
573 Views
Wakuu huwa napata wakati mgumu kutafsiri hii equation ya Mkulu Albert Einstein je alimaanisha nini kusema energy ni sawa sawa na uzito yani mass kuzidisha Speed ya mwanga iliyo squared?
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Naomba msaaada jinsi ya ku download what's app kwenye desktop na ku install
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Kama ulizoea kupakua mafaili yako tofauti tofauti kutoka katika mtandao huo kupitia katika browser za Google Chrome na Mozila Firefox kwa sasa mbinu zako zitagonga mwamba. Mtandao huo umefutwa na...
2 Reactions
26 Replies
5K Views
habari wwana JF, hivi majuzi nimekuja na wazo la kutengeneza website ya movie ambazo nitakuwa napost movie zilizo tafasiliwa kiswahili na ambazo hazija tafasiliwa kweli nimefanikiwa nanimeona ili...
3 Reactions
78 Replies
8K Views
Anayejua msaada nataka niweke feature ya kuprint ticket mfumo wa pdf
0 Reactions
2 Replies
923 Views
Wakuu..moja kwa Moja bila kumumunya maneno. Nilinunua hii LG Yangu wameniambia ni hizi digital yaan zina king'amuzi kwa ndani kwa hiyo mi nikuweka antenna tu. Na kupata hizi local Chanel free.. na...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Natumai ni wazima ndugu zangu. Leo ningependa kufahamu kama ni kweli kwamba unaweza ukatumia,smatphone yako ukaunganisha na tv yako ya flat screen ukatumia? Kwa mfano una video kwenye simu yako ya...
0 Reactions
7 Replies
7K Views
Habar wakuu: cm yangu ni Tecno P-5 inashidwa instal apps, inaanza kwa kudownload kisha kuinstal ktk cm inakataa kama picha inavyoonesha, cjui tatizo ni nn? Wenye ujuz mnijuze pls;
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Back
Top Bottom