Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Je niandae GB ngapi za data kufanya hii tukio..?
1 Reactions
6 Replies
896 Views
Extracted From the recent news alert from TCRA (March 19, 2016) Kuhusu maendeleo ya sekta, (Dr. Simba) alisema hadi Desemba 2015, idadi ya laini za simu za mkononi ilikuwa 39,808,419 ukilinganisha...
1 Reactions
35 Replies
18K Views
Habari wakuu? Ningependa kujua juu ya hii whatsapp encryption na utendaji wake wa kazi na unaweza itumiaje?
2 Reactions
11 Replies
4K Views
Habarini wakuu:-katika zungukazunguka yangu leo kariakoo kwa ajili ya kununua tv,nimekutana na majina ya tv tofautitofauti(sumsung,TCL,singsung,ZEC,sony nk)naomba kujua vp kuhusu hizi zec,na tcl...
0 Reactions
48 Replies
19K Views
Hiyo ni application gani ya editing au ni uwezo wa Simu?
1 Reactions
3 Replies
1K Views
"WASOMI" NA NDOTO ZA ABUNUASI Hebu vuta picha,namna ulivyosota kuipata hiyo degree yako. Miaka isiyopungua 16 imeteketea darasani! Umebeba vidumu na ufagio kama wafagiaji wa jiji ukiwa shule...
0 Reactions
1 Replies
981 Views
wataalam wa kompyuta mnisaidie tafadhari, kila nikiwasha laptop yangu inaniletea maneno "startup repair" na inaleta alama flani kama inaload vile chini yake kuna maneno "atempting repairs..."...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Kama kuna mtu mwenye motherboard mpya au used ya dell inspiron n5040, naomba unipigie 0685184075 au 0765478513, au kama kuna fundi anayeweza kunipa motherboard mpya ntashukuru ukiniachia namba...
0 Reactions
0 Replies
688 Views
- Nabadilisha mikanda/tape za vhs kwenda mfumo wa digital yani kuziweka kwenye memory au dvd e.g. mikanda ya maharusi, vipaimara, etc (vhs tapes to modern digital video conversion...store in...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habar wana jamii, kama kichwa cha habar hapo juu kinavyo sema, mwenye activator ya Tally Erp9 anisaidie, lengo ni kuitumia software hiyo kwa lengo la kuelimisha, asante
0 Reactions
0 Replies
608 Views
NAOMBA JF MUIFUTE HII THREAD KWASABABU NIMESHAULIWA NA WADAU WAPEDWA WA JAMIIFORUMS ASANTE
3 Reactions
18 Replies
3K Views
Wakuu kuna mtu anajua jinsi ya kufix lost imei ya modem (huawei), imetokea baada ya kuflash na firmware nyingine for unlock. Sikufanya backup ya nv. IMEI inasoma 0.0.0.0.0.0.0
0 Reactions
2 Replies
1K Views
jibebe orthodox, Aqua, crunkstaa, Chris41, ladyfurahia, Murano, Health and Life Tz,
9 Reactions
60 Replies
22K Views
Sorry guyz kwa mtu yoyote mtaalam wa maswala ya website na blogs anisaidie natamani jua saba blogs na websites znamasirahi gan na pia ni jinsi gan unaweza imiriki na kuitumia!!!!!!
0 Reactions
1 Replies
793 Views
msaada tafadharini wataalamu
0 Reactions
13 Replies
7K Views
Naomba kuelekezwa jinsi ya kufuta thread ambayo nimeshaifuta.
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Mi ni graduate wa IT & Telecom, naulizia kampuni/Taasisi/mtu mwenye ofisi inayodeal na mambo ya IT &Telecoms kwa hapa Moshi ambayo itanipa nafasi ya kuchukua uzoefu na ujuzi zaidi juu ya computer...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Nahitaji kujua Ku design electronic CCT kama inverter, amplifier, security system, n.kNahitaji miongozo, kielimu nipo chuo kikuu mwaka wa pili mechanical engineering ila napenda electronics CCT...
0 Reactions
18 Replies
4K Views
habar za humu wakuu,Nina kisimbuzi chang cha Azam tv sas cha kushangaza na kustua ni kwmba jana wakati Nimeludi kwnye mihangaiko Nilivyowasha kisimbuzi kinaonyesha channel mbili tu yan XTRA na...
0 Reactions
8 Replies
4K Views
Mara kadhaa nimekuwa nikienda google na kuangakia specifications za HTC ONE M9 PLUS naziona pale zimewekwa na Simu ipo lakini nilipo ingia kwenye website ya HTC sioni wakiitangaza wala kuzungumzia...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Back
Top Bottom