Processor gani nzuri ya i5 yenye uwezo wa kucheza game kubwa?

the great wizard

JF-Expert Member
Dec 21, 2015
1,482
888
Msaada wakuu, ni processor gani nzuri ya i5 yenye nguvu ya kurun magemu makubwa kama Gta 5 Witcher 3 na program kama Auto cad
 
msaada wakuu ni processor gani nzuri ya i5 yenye nguvu ya kurun magemu makubwa kama Gta 5 Witcher 3 na program kama Auto cad

Processor haimatter sana kwenye kucheza games. Hata processor ya bei chini kama Pentium G3258 inaweza cheza games vizuri tu. Cha muhimu uwe na graphics card ya uhakika, kwa games kubwa hivo ukitaka kucheza kwa FPS kubwa jaribu kucheki NVIGIA GTX 970 au zaidi, au kama pesa ngumu basi angalau 30+FPS kwa card ya AMD Radeon R9 270X+. RAM hakikisha ni kuanzia 4GB kwenda juu.
 
Processor haimatter sana kwenye kucheza games. Hata processor ya bei chini kama Pentium G3258 inaweza cheza games vizuri tu. Cha muhimu uwe na graphics card ya uhakika, kwa games kubwa hivo ukitaka kucheza kwa FPS kubwa jaribu kucheki NVIGIA GTX 970 au zaidi, au kama pesa ngumu basi angalau 30+FPS kwa card ya AMD Radeon R9 270X+. RAM hakikisha ni kuanzia 4GB kwenda juu.

siku hizi port za console kama hio gta v zinataka core/thread 4 hivyo dual core kwa 2015 ni vyema kuziepuka. mfano hio g3258 haichezi vizuri gta v even kwa patch hivyo atleast i3 yenye thread 4 kama i3 6100 iwe minimum

9E8eL8.png


cheki minimum framerates za pentium ni 11 hapo unaweza ipiga pc nyundo. wakati i3 ni 42 ambayo ni more than enough kwa budget gamer.

pia ukiangalia minimum requirements za gta v kwa cpu ni q6600 core 2 quad ambayo ni ya kizamani. hivyo hili game linapenda core nyingi.
 
Games bhana zinapenda high specification computer ambazo zinagharama kubwa ila mwisho wa cku una gain fun na sio mkwanja....
 
Games bhana zinapenda high specification computer ambazo zinagharama kubwa ila mwisho wa cku una gain fun na sio mkwanja....

uamuzi ni wako tu, unaweza nunua pc ya bei rahisi ya 2015 ukacheza games za 2008 kushuka chini bila graphics card wala kuspend hela nyingi
 
Tatizo linakuja pale ukicheza games za 2008 kushuka chini zina graphics za kawaida sana ukiringanisha na za 2012 kuja juu so there is no enough fun
 
uamuzi ni wako tu, unaweza nunua pc ya bei rahisi ya 2015 ukacheza games za 2008 kushuka chini bila graphics card wala kuspend hela nyingi

Tatizo linakuja pale ukicheza games za 2008 kushuka chini zina graphics za kawaida sana ukiringanisha na za 2012 kuja juu so there is no enough fun
 
Tatizo linakuja pale ukicheza games za 2008 kushuka chini zina graphics za kawaida sana ukiringanisha na za 2012 kuja juu so there is no enough fun
Sasa hapo inabidi tu uchukue mashine zenye very high end performance kwenye kila idara kama vile processor(core i7 latest Generation e.g 6th Gen), ram(at least 32gb)na graphics ( Nvidia GTX Titan x). Ila mfukoni uwe na mkwanja wa kutosha!
 
Last edited:
msaada wakuu ni processor gani nzuri ya i5 yenye nguvu ya kurun magemu makubwa kama Gta 5 Witcher 3 na program kama Auto cad

Sasa nakushauri andaa 500000- 600000 ukanunue hp compaq elite 8200 processor ni 2500 @ 3.3 ghz then weka na nvidia geforce 640 2GB approx 300000 then game za kisasa utacheza at medium settings.
 
Jamani naulizia graphics card za nvidia gtx 750 ti, nipata wapi dar zaidi ya Capricorn Technologies posta?
 
Processor haimatter sana kwenye kucheza games. Hata processor ya bei chini kama Pentium G3258 inaweza cheza games vizuri tu. Cha muhimu uwe na graphics card ya uhakika, kwa games kubwa hivo ukitaka kucheza kwa FPS kubwa jaribu kucheki NVIGIA GTX 970 au zaidi, au kama pesa ngumu basi angalau 30+FPS kwa card ya AMD Radeon R9 270X+. RAM hakikisha ni kuanzia 4GB kwenda juu.
Procesor inamata kwa mfano fifa inataka quard core cpu la sivyo itacheza kwa kustack stack even fps itakuwa 30
 
Ila naona ukiwa na igpu hasa hizi intel hd 4000 na kuendelea zinacheza game fresh tuu kuna core i5 moja hapa ilikuja nikaweka gta 5 ikacheza kwa 760p fps skupima ila kimakadirio kwa macho ni 24 hiv
Cpu core i5
Ram 6gb
Igpu intel hd 4400
Ila cha msingi update driver za igpu ziwe latest kwa sababu intel wamezioptimize hizo igpu zao kwa game za kisasa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom