Nduki Gold ya TTCL

Mtanzania

JF-Expert Member
May 4, 2006
4,816
678
Wadau,

Kwa mlioko TZ nisaidieni juu ya hili. Je umewahi kutumia hiyo Nduki Gold ya TTCL? Je speed yake ikoje?

Kuna sehemu nyingi TZ kwa mfano Kyela, internet kwa kutumia hizi modems za mobile companies ni bomu ile mbaya yaani hata kutuma file dogo huwezi. Najua miji mikubwa hizo modems zinafaa na speed zake nzuri lakini sio huko wilayani.

Hivyo option pekee ya maana huko wilayani ni hao TTCL. Kama una uzoefu wowote please nishauri.

Asanteni.
 
Faida za NDUKI BROADBAND:
Miongoni mwa faida za NDUKI BROADBAND ni kama ifuatavyo:

Kumekua na ongezeko la kasi (speed)
Kumekua na punguzo kubwa labei (kwa mwezi)
Mfumo wa kulipia umebadlika kutoka mwezi kwa mwezi (kalenda month) kua siku 30 toka mteja aongeze salio. Mteja anapata connection kwa siku thelathini (30) toka siku aliyoongeza salio.
Vifurushi:Huduma hii imegawanywa katika vifurushi mbalimbali kulingana na mahitaji na ladha (demand and taste) ya wateja wetu kama ifuatavyo:
1. 256 kbps – NDUKI Bronze (30,000/-

2. 512 kbps – NDUKI Silver (60,000/-)
3. 1Mbps – NDUKI Gold (100,000/-)
4. Mbps – NDUKI Diamond (200,000
Kwahiyo mkuu chaguo ni lako ila nilicho experience juu ya hizi categories ni kwamba hazitofautiani sana speed mi natumia bronze lakini mambo safi kabisa kitu unlimited !!
















 
Faida za NDUKI BROADBAND:
Miongoni mwa faida za NDUKI BROADBAND ni kama ifuatavyo:

Kumekua na ongezeko la kasi (speed)
Kumekua na punguzo kubwa labei (kwa mwezi)
Mfumo wa kulipia umebadlika kutoka mwezi kwa mwezi (kalenda month) kua siku 30 toka mteja aongeze salio. Mteja anapata connection kwa siku thelathini (30) toka siku aliyoongeza salio.
Vifurushi:Huduma hii imegawanywa katika vifurushi mbalimbali kulingana na mahitaji na ladha (demand and taste) ya wateja wetu kama ifuatavyo:
1. 256 kbps – NDUKI Bronze (30,000/-

2. 512 kbps – NDUKI Silver (60,000/-)
3. 1Mbps – NDUKI Gold (100,000/-)
4. Mbps – NDUKI Diamond (200,000
Kwahiyo mkuu chaguo ni lako ila nilicho experience juu ya hizi categories ni kwamba hazitofautiani sana speed mi natumia bronze lakini mambo safi kabisa kitu unlimited !!

Hiyo bronze ni unlimted bila limit kama wanavyoweka voda ukifikia 2GB wanacheza na speed?
 
Hiyo bronze ni unlimted bila limit kama wanavyoweka voda ukifikia 2GB wanacheza na speed?
Unlimited zote huwa ni speed play na ndiyo maana zinatofautiana kwa speed na price hivyo ukiweza kuchangua kiwango cha matumizi yako kutokana na ushauri wa wauzaji (customer care) utapata product ya mahitaji yako.
 
Ila sasa ninachokijua hii Nduki ni katika Broadband na sio katika TTCL mobile. Au nimekosea?
 
Hii nduki haifai kabisa inamatatizooo sana tunayo Ofisini kwetu nikimeeeo balaa. Inakuwepo asubuhi na mapema na wakati wa kutoka kazini. Mda wakazi inasumbua sana kunakitu hawajaweka sawa, hata wenyewe watakuambia live live manake wamechoka kulalamikiwa na wanaoitumia sasa.
 
Speed unayoanza nayo mwanzoni ndo hiyo hiyo utakayomaliza nayo hawa jamaa wapo vizuri uongo mbaya sema ni broadband !!
 
  • Thanks
Reactions: Dyf
Nashukuru Mungu nimekutana na thread hii japo niya muda mrefu nimegoogle tu,nimependa kwa msaada mlionipa kwa maelezo yenu,shida yangu mie naomba kujua menu yake yaani namna ya kujiunga,nitumie muda huu.

Asanteni.
 
Nashukuru Mungu nimekutana na thread hii japo niya muda mrefu nimegoogle tu,nimependa kwa msaada mlionipa kwa maelezo yenu,shida yangu mie naomba kujua menu yake yaani namna ya kujiunga,nitumie muda huu.

Asanteni.
hio ni broadband, una vifaa husika?
 
Hii nduki haifai kabisa inamatatizooo sana tunayo Ofisini kwetu nikimeeeo balaa. Inakuwepo asubuhi na mapema na wakati wa kutoka kazini. Mda wakazi inasumbua sana kunakitu hawajaweka sawa, hata wenyewe watakuambia live live manake wamechoka kulalamikiwa na wanaoitumia sasa.

Tatizo ni jinsi unavyokuwa una share connection na wateja wao wengine, ndo maana asubuhi na jioni iko freshi maana ofisi za wateja wao zinakuwa zimefungwa so mpo wachache kwenye network.
 
Back
Top Bottom