Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Nimekaa ofisini mara kaja kijana mtanashati kufatilia ishu zake, kanipiga jicho na mie nikarudishia la aibu lakini akaondoka, nafika home kila nikijigeuza namwazia yeye, baada ya siku tatu anakuja...
5 Reactions
55 Replies
5K Views
mke wangu ananikaidi sana maamuzi yangu. alienda kwao kumsaidia mama yake kazi fulani, alivyomaliza hakurudi mapema kama nilivyomuagiza, mpaka sikukuu ya xmass imepita ndio anakuja, nimemzuia...
0 Reactions
27 Replies
3K Views
Habari zenu wana JF. Ninamtafuta rafiki yangu aitwae Safiuna Msuya. Alisoma Mapambano miaka ya 1994 - 2000 na atakuwa in her early/mid twenties kwa sasa. Mara ya mwisho kuonana nae ilikuwa pale...
0 Reactions
69 Replies
6K Views
Umepata soln yoyote na je kama siyo unaweza hisi njia mbadala ya kuweka hapa kusaidia ambao wako njiani kufwata mkumbo huo na kama ndio unaweza tusaidia kuelekeza njia ulizotumia kuweza kutatua...
1 Reactions
17 Replies
2K Views
Jamani,makabila ya mikoa hiyo miwili ni:WAYAO,WAMAKUA,WAMWERA,WAMARABA.Nimeishi katika hiyo mikoa,nafurahia sana mapenzi ya watoto wa kike,yaani kitandani kama kuna shuka ya kuchakaa itaishia...
1 Reactions
61 Replies
28K Views
Nina rafiki yangu ambaye sasa ni kama ndugu kwa sababu nimeshikamana nae kwa takribani miaka 12 sasa. Ana dad yake (mdogo) ambaye anatumia mamna nyigni sana kunitega nimbatue. lakini ninajitahidi...
2 Reactions
47 Replies
5K Views
Mara nyingi nimekuwa nikifuatilia Thread na Comment zinazotolewa na pande hizi mbili na kujaribu kuzilinganisha. Nimegundua kuwa wanaume wanaopatikana hapa JF- MMU ni Malaya ah! samahani ni...
4 Reactions
86 Replies
7K Views
Nawasilisha.
1 Reactions
46 Replies
5K Views
kuna watu waliskia hili neno baada ya miezi mitatu ama sita tu ya ndoa yao na leo wengine wana miaka kadhaa awajui neno gudnyt kwa wapenzi wao pengine ujaanza ama kumekucha chuma akikaliki jifanye...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Mbali na kuwa zinajaa sana siku za sikukuu...kuna kitu nimegundua yani mh dunia hii Nyingine eti zinamatundu ili kupiga chabo...sasa ngoma iko hivi! Hata kupiga chabo pia unalipia eti sh 500...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Napenda kuomba msaada wa mawazo kwenu wana jf kuhusu hili.Eti mke akikukosea, kumpiga ni uamuzi mzuri? B'se wengine wanasema kumpiga ni kumuonea kwani wao ni viumbe dhaifu,wengine ati ni njia ya...
0 Reactions
105 Replies
9K Views
Kule kwetu kijijini enzi zetu tulikuwa tunajua sikukuu tatu tu kwa mwaka, kulikuwa na sikukuu ya idi, Krismas na kuzaliwa kwa chama cha TANU, kwa hiyo wazazi walikuwa hawaumizi kichwa sana kuhusu...
3 Reactions
18 Replies
2K Views
Duh! Hi club michosho. Hata dem mmoja hakuna!! No dancing stimulus kabisa. Hv hamna jf member yeyote maeneo ya hapa karibu jamani? Ledies plz.
0 Reactions
46 Replies
4K Views
...wanawake walioolewa lakini wanakuwa deprived of sex wanakuwa na hasira sana especially kwa wanaume? Na ni kweli pia kuwa mwanamke ambae yupo "hopelessly in love" na mwanaume ambae haonyeshi...
0 Reactions
44 Replies
4K Views
JF Senior Expert Member Posts 15,897 Thanks : 239 Thanked 1,394 Times in 767 Posts Rep Power56 Hii ni to a frequent poster on JF nimemmiss sana siku ya leo. Akiona atajua
0 Reactions
24 Replies
3K Views
Kuna tofauti gani kati ya NGONO na MAPENZI?
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Kuna dada mmoja nimetokea kumpenda sana ana miaka 29 sawa na umri wangu,katika kumfuatilia akaniambia ana jamaa yake yuko nje anasoma,ukweli mie sikuamini sababu tangu nimfahamu huyu dada kama...
0 Reactions
38 Replies
4K Views
Heri ya x mass wakuu.
1 Reactions
29 Replies
2K Views
The girl whom i love so much refused me when i was 16 yrs old. Now she's coming to me with 2 babies so what can i do?
0 Reactions
51 Replies
3K Views
Kwa wakati tulionao zama hizi huwezi tembea hatua kadhaa iwe hujakutana na Mwanamke alievaa nguo inayoonyesha robo 3 ya matiti !. Mabarabarani, Maofisini, Vilabuni, Kumbini N.k. Nianze kwa...
0 Reactions
43 Replies
4K Views
Back
Top Bottom