Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Ewe mwanaume ukioa mwanamke: Mrefu, jua kwamba utaoa mwanamke mpenda maendeleo, mchapa kazi na mkarimu ila hawajui mapenzi na ni wavivu kujiweka safi kimazingira. Mfupi kiasi, jua ya kwamba...
0 Reactions
23 Replies
4K Views
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, Toka uzaliwe baadae ukawa unaota maruweruwe unamuona dada yako anakujia usiku, umeenda kwa "wataalaam" wawili watatu wakakwambia unachoona ni ukweli ni ni...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Ndugu wana nzengo nawasalim, Wiki mbili au zaidi zilizopita, niliwaeleza kuhusu binti ambae mama alikuja nae kwenye uzi huu: Mama kaniletea mke kutoka kijijini bila ridhaa yangu, nifanyeje? Kwa...
3 Reactions
49 Replies
6K Views
ACHA KUJIPIMA KWA UBIZE ULIONAO JIPIME KWA KILE UNACHOZALISHA Kuwa bize na kuzalisha ni vitu viwili tofauti kabisa.Mara nyingi wale wanaoonekana kuwa bize sana huwa wanakuwa na uzalishaji mdogo...
6 Reactions
13 Replies
1K Views
Habari za juma pili wadau Kwanza nianze kwa kutoa pongezi zangu za dhati kwa wachangiaji nawaleta mada ndani ya jukwaa ili kubadilishana uzoefu kwenye mambo mbalimbali yakijamii na kifamilia...
1 Reactions
88 Replies
6K Views
Nina umri wa miaka 22 nipo chuo,natafuta rafiki wa kike wakubadilishana nae mawazo umri 18-25.
0 Reactions
7 Replies
1K Views
USIWE MUONGEAJI SANA KUNA KIPINDI UNATAKIWA KUSIKILIZA Katika jambo lolote lile, yule anayeongea sana ndiye anayepoteza. Iwe ni kwenye kufikiana makubaliano au hata kwenye biashara, anayeongea...
14 Reactions
28 Replies
3K Views
Rafiki yeyote wa kike anayejihisi kuwa rafiki mzuri anakaribishwa. Any age, nia ni kuchat na kubadilishana mawazo, you are welcome. Ni PM nikupe no zangu.
0 Reactions
1 Replies
993 Views
Hivi mna birthday ngapi kwa mwaka? Inakuwaje birthdays zenu zinaangukia weekend tu? Kwanini mkianza uhusiano mpya haipiti wiki inakuwa birthday yako?
1 Reactions
30 Replies
3K Views
Nimetoka kazini namauchovu yangu ya kuzidi nikaamua kuingia bafuni kuoga simu yangu nimeicha mezani. Nimemaliza kuoga narudi chumbani simu inaita napokea nashangaa mke wangu kastaajabu kaonesha...
2 Reactions
55 Replies
5K Views
Jana nikiwa kwenye mizunguko nikaitwa na mama mwenye nyumba wa shoga yake mke wangu,akaniambia hivi mahusiano kati ya mke wangu na huyu mpangaji wake yapo? Nikaituma yes akaniambia alikuja juzi...
2 Reactions
64 Replies
9K Views
Kama kichwa kijielezavyo. Mimi ni kijana wa kitanzania nina miaka 23 sasa hivi nipo mwaka wa mwisho chuo kikuu UDSM -undergraduate. Baada ya mama kufariki, nimeishi bila mama hivyo basi natafuta...
0 Reactions
23 Replies
4K Views
Mmeamkaje wanajukwaa? NUKUU; Mimi ni mvulana mwenye miaka 21 na nimeanza kujihusisha na masuala ya mapenzi nikiwa na umri wa miaka 19. Nimekuwa mzoefu kuhusu mapenzi. Lakini kuna jambo ambalo...
1 Reactions
79 Replies
12K Views
Wapendwa habarini za kwenu. Kwa muda mrefu sasa tumekuwa tunashuhudia matendo ya ajabu ambayo hayakuwepo kwa kiasi hiki kwa wanandoa. Wanandoa wengi wa kike wamekuwa wakilalamikiwa kuwa na...
1 Reactions
168 Replies
36K Views
Alishawahi kuniambia kwamba mwaka huu atafanya kila awezalo nisiendelee na kazi yaani mkataba wangu wa kazi usitishwe, ilikuwa bado kidogo kweli usitishwe. Lakini nikatumia plan B namshukuru...
0 Reactions
19 Replies
3K Views
Stori yenyewe ipo hivi, Nina rafiki yangu ambaye tunaheshimiana sana na tunaishi mtaa mmoja mara kwa mara amekuwa akisafiri kibiashara, sasa hivi karibuni alikuwa amesafiri akawa anapiga simu ya...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
I greet you all Nimesoma kwa makini gazeti la Mwananchi toleo la jumapili 21/02/2016 utafiti wao wanadai Baadhi yawanawake wametoa taarifa kwa watafiti wa Mwananchi kuwa wanapenda bodaboda...
1 Reactions
136 Replies
21K Views
Habari wana jamii jf,nahitaji mchumba nipo dar aliyetayali ani pm
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Asalaam Alaikum wanajamvi, Niende moja kwa moja kwenye mada. Tunajua akina dada wengi hutilia maanani suala la kupendezesha nywele zao. Hakuna ubaya wa hilo ila tatizo huja pale wanapokuwa...
4 Reactions
89 Replies
13K Views
Swali langu ni kuwa kwanini wadada wa Bongo Movies na madada wengi wa mjini kamwe huwezi kuta waatoka na matajiri wa hapa Bongo. maana hapa Bongo tuna MATAJIRI NA WAFANYABIASHARA Sasa mie...
0 Reactions
24 Replies
7K Views
Back
Top Bottom