Kutokana na michango yao hapa JF, nimejikuta nikiwapenda sana (ni agape love wandugu sio vingine) members wafuatao na nitafurahi sana siku nikifanikiwa kuwaona uso kwa uso:
1. Asprin
2. FirstLady...
Leo nimetumiwa barua pepe na rafiki yangu mmoja wa kike, content ya barua pepe hiyo ilikuwa ni jinsi gani ya kuwa mwanaume ambaye anaweza kuvutia kila mwanamke.., nimeona ni vyema kushare nanyi...
Habari wadau wa JF mimi ni kijana wa kiume wa miaka 30,natafuta mchumba ambaye atakuwa mama watoto wangu,kiwango changu cha elimu ni Degree.
Mchumba/Mwanamke ninae muhitaji awe na sifa zifuatavyo...
Habarini wadau.
Mimi nimeoa miaka miwili iliyopita na nina mpenda sana mke wangu.
Tatizo ni kwamba ninapofanya mapenzi na mwanamke wa nje naenjoi zaidi kuliko mke wangu.
Yani ile package...
Naandika mawazo yangu haya kama ni yana kasoro sana naruhusu nyongeza na kurekebishwa, tulio kwenye mahusiano ya ndoa endapo hamna zile shida kubwa sana zinazotuharibu.
Tujitulize tu kwa sababu...
MPO?
Je ulijua kwamba, Wanandoa wanaogegedana mara moja au mbili kwa wiki ndio wenye furaha? Na ulijua kuwa, Kugegedana kila siku sio thibitisho la ndoa yenye raha!!
Kugegeda kila siku...
Habari zenu wanajamii, nakupeni story fupi ya maisha yangu, mwaka wa pili baada ya kuzaa na mke wangu,aliniambia kuwa hataweza kuishi na mimi kwa kuwa sina kipato kizuri,akaondoka na kuniachia...
Fashion magazine wamesema watu wangu wana nguo nyingi viatu lakini chupi wanazo 2 nyeusi na nyekundu. Watu wengi hawapendi kununua chupi.
Kwanini watu wangu hawapendi kununua chupi?
We una...
Jana tu jioni,(kwa wale wa Tanzania) nilivyotoka ofisini nikiwa natafakari ishu ya mwana jamii one nikapitia mitaa flani ya kati. nikakutana na dada mmoja ana duka la nguo, alikuwa very upset...
Mpo wanajamii?
Nimekuja kivingine.
Imebainika kwamba wanandoa kugegedana kila siku sio suluhisho la furaha kwenye ndoa.
Asilimia kubwa ya wanandoa wanaogegedana mara moja au mbili ndio wenye...
As usual, hutaki unaacha, i dare to post thread openly.
Umeshawahi kusikia kuwa maaskari (polisi, magereza na wanajeshi)..?
Lakini hao maaskari bado unakuta wakitongozwa na maaskari...
WAKUBWA!
katika maisha ya mapenzi,malavidavi na mashamsham yote,lipo swala a UPANDE WA PILI WA MAISHA YA MAPENZI......!which is KUACHA,na KUACHWA.
Ninayo imani kwamba matukio haya mawili yana...
Habar
Mimi ni kjana mwenye umr wa miaka 25..
Pia ni mwajiriwa wa serikalin ni mwalim shule ya msing ambaye nimeanza kaz mwaka 2014
Natafuta mchumba mwenye sifa zifyatazo;
1;Awe muislam
2; umr...
Wana JF,
Kuna swala mmoja lasumbua wanaume sana kwanza nililipata kipindi nipo kwenye mahusiano ya GF na kuona kwa marafiki zangu pia.
Kwanini Mwanamke yeye inakuwa ni vigumu sana ku reply msgs...
Please naomba ushauri haswa kutoka kwa wale walio kwenye ndoa. How do u deal with finances kama nyote mna mapato...inakuwaje ndio musiingize migogoro coz of money issues??? u know wansema money...
Habari wanaJF,
Ninampenzi wangu nampenda na nikonae for almost 5 years now. Ni mrembo sana, tunaendana na najitahidi kufanya everything a woman deserves.
Ila...
Tatizo kubwa ni kila ninapokuwa...
Habari wadau bila shaka mu wazima katika ubora wenu.
Nimekuja humu angalau nipate mwanga naona stress zimenizidi umri wangu.
Nimeshakua kwenye mahusiano na watu chini ya tano kama sikosea kwa...
Everything I do I win. It is because of God I win
For the crushes I win it is God I win
Foe am not robbed while my neighbors are robbed… it is God I win
For the deals that earn lump sum money …...
Habarini,
Nimeona mahali makala inayojaribu kuangalia sababu zinazolekea mahusiano, hasa ya wakati huu tuliopo, yasivyodumu na jinsi inavyokuwa rahisi kwetu kuyavunja.
1. Hakuna utayari. Upweke...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.