Ndugu wana nzengo nawasalim,
Wiki mbili au zaidi zilizopita, niliwaeleza kuhusu binti ambae mama alikuja nae kwenye uzi huu: Mama kaniletea mke kutoka kijijini bila ridhaa yangu, nifanyeje?
Kwa ufupi ni hivi, mama kaniletea mke from village na kumuacha kwangu kwamba anaenda kwa kaka kusalimia kumbe akaenda kupanda basi na kurudi, na baadae akiwa huko kijijini akapiga simu na kudai huyo aliemuacha ni mke wangu, wameniolea.
Mrejesho;
Kwa kweli nimekua na ugomvi mkubwa na msichana wangu Florence tangu amkute huyu binti kwangu, nilijaribu kumdanganya kuwa ni cousin yangu, baadae nikadai ni mke wa ndugu yangu kaja kwa matibabu, nikabadilisha na kusema ni mchepuko wa kaka umekuja kutoka mkoani ndio nausitiri, baada ya mvutano wa karibu 2 week finally ndipo nika admit kuwa ni mke nimelazimishwa na wazazi kumuoa.
Kwa zaidi ya siku nne nyuma akawa hapokei simu zangu, jana nikaona niende alikopanga, wanawake ni watu wa ovyo sana, nashanga kufika pale nakuta kuna jitu lingine lina boxer tu limejilaza kenye kochi huku mpenzi wangu akisonga ugali pembeni jikoni, nilishikwa na hasira kali nikaanzisha vagi pale kabla ya wapangaji wengine kuja kutuamua.
Hivi inawezekanaje mtu tumetofautiana wiki moja mbili halafu haraka hivi umepata jitu lingine? Au alikua nalo siku nyingi?
Mimi sio kwamba nilimkubali moja kwa moja yule mke wa mama, nilikua bado namchunguza matendo ndipo niamue, kwanza nashangaa binti wa kijijini anakata mauno hadi siamini macho yangu, amenifanyia vitu vizito mno hadi nikaogopa, kwa kweli nahitaji kuijua historia yake ndipo tuendelee.
Ndio maana nilitaka nimbakishe Florence around, sasa na yeye ndo kanifanyia ushenzi, hovyo sana huyu binti.
Najua cha kufanya.
Wiki mbili au zaidi zilizopita, niliwaeleza kuhusu binti ambae mama alikuja nae kwenye uzi huu: Mama kaniletea mke kutoka kijijini bila ridhaa yangu, nifanyeje?
Kwa ufupi ni hivi, mama kaniletea mke from village na kumuacha kwangu kwamba anaenda kwa kaka kusalimia kumbe akaenda kupanda basi na kurudi, na baadae akiwa huko kijijini akapiga simu na kudai huyo aliemuacha ni mke wangu, wameniolea.
Mrejesho;
Kwa kweli nimekua na ugomvi mkubwa na msichana wangu Florence tangu amkute huyu binti kwangu, nilijaribu kumdanganya kuwa ni cousin yangu, baadae nikadai ni mke wa ndugu yangu kaja kwa matibabu, nikabadilisha na kusema ni mchepuko wa kaka umekuja kutoka mkoani ndio nausitiri, baada ya mvutano wa karibu 2 week finally ndipo nika admit kuwa ni mke nimelazimishwa na wazazi kumuoa.
Kwa zaidi ya siku nne nyuma akawa hapokei simu zangu, jana nikaona niende alikopanga, wanawake ni watu wa ovyo sana, nashanga kufika pale nakuta kuna jitu lingine lina boxer tu limejilaza kenye kochi huku mpenzi wangu akisonga ugali pembeni jikoni, nilishikwa na hasira kali nikaanzisha vagi pale kabla ya wapangaji wengine kuja kutuamua.
Hivi inawezekanaje mtu tumetofautiana wiki moja mbili halafu haraka hivi umepata jitu lingine? Au alikua nalo siku nyingi?
Mimi sio kwamba nilimkubali moja kwa moja yule mke wa mama, nilikua bado namchunguza matendo ndipo niamue, kwanza nashangaa binti wa kijijini anakata mauno hadi siamini macho yangu, amenifanyia vitu vizito mno hadi nikaogopa, kwa kweli nahitaji kuijua historia yake ndipo tuendelee.
Ndio maana nilitaka nimbakishe Florence around, sasa na yeye ndo kanifanyia ushenzi, hovyo sana huyu binti.
Najua cha kufanya.