MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,562
Wapendwa habarini za kwenu.
Kwa muda mrefu sasa tumekuwa tunashuhudia matendo ya ajabu ambayo hayakuwepo kwa kiasi hiki kwa wanandoa. Wanandoa wengi wa kike wamekuwa wakilalamikiwa kuwa na viburi, jeuri na dharau na pia kushutumiwa kwa kukosa kuzizingatia zile tamaduni za awali ambazo zinamtaka yeye amheshimu, enzi na kumnyenyekea mume ambaye ndiye kichwa cha familia.
The same applied kwa kina baba, wengi wanalaumiwa kuwa wakatili nowdays, hawasikii na wanatiwa viburi na small houses zao.
Nyingi sababu zimekwishatajwa mf.Kwa mwanamke asiye na adabu tunaambiwa ni;
- Malezi na maadili kupungua
- U-feminism/gender/ beijing effects
- Uwezo wa kipato/kazi nzuri/elimu n.k ambavyo vinasemekana kumpa mwanamke kichwa
Kwa mume mara nyingi huwa tunasema anadharau kama mke ni mama wa nyumbani hana kipato chochote; hajui kupigilia pamba za kufa mtu; hajui kujiweka soap soap; anajali watoto kuliko Mzee n.k.
Lakini pia inaaminika kuwa zipo sababu muhimu ambazo mume/mke mwenyewe huchangia katika either kumfanya mume/mke asimsikilize, awe anakuwa mbabe na kuonyesha uanaume wake/ usinibabaishe type -wanawake (Sababu ambazo hazihusiani na ubeijing kabisa) mf. kama mume mwenyewe hajiheshimu/hamheshimu mkewe
-Mume/mke hamchukulii mkewe/mewe kama mke anayestahili kuheshimiwa, kutomsikiliza au sikiliza ushauri wa mke n.k.
My take: Nadhani kuna umuhimu wa kubadilisha theory ya mahusiano haya kwa sasa. Badala ya kusingizia Beijing, elimu, kipato cha mama tuanze kuangalia ni matendo/tabia gani za kina baba/mana yanayosababisha wadharauliwe ndani ya nyumba zao; waibiwe/salitiwe n.k.
Samahani nimeedit kwa kuwa its a two-way traffic ila naona heading imegoma ......Isomeke Sababu za mke/mume kumdharau/mtenda mwenzi wake....
Aksanteni.
Kwa muda mrefu sasa tumekuwa tunashuhudia matendo ya ajabu ambayo hayakuwepo kwa kiasi hiki kwa wanandoa. Wanandoa wengi wa kike wamekuwa wakilalamikiwa kuwa na viburi, jeuri na dharau na pia kushutumiwa kwa kukosa kuzizingatia zile tamaduni za awali ambazo zinamtaka yeye amheshimu, enzi na kumnyenyekea mume ambaye ndiye kichwa cha familia.
The same applied kwa kina baba, wengi wanalaumiwa kuwa wakatili nowdays, hawasikii na wanatiwa viburi na small houses zao.
Nyingi sababu zimekwishatajwa mf.Kwa mwanamke asiye na adabu tunaambiwa ni;
- Malezi na maadili kupungua
- U-feminism/gender/ beijing effects
- Uwezo wa kipato/kazi nzuri/elimu n.k ambavyo vinasemekana kumpa mwanamke kichwa
Kwa mume mara nyingi huwa tunasema anadharau kama mke ni mama wa nyumbani hana kipato chochote; hajui kupigilia pamba za kufa mtu; hajui kujiweka soap soap; anajali watoto kuliko Mzee n.k.
Lakini pia inaaminika kuwa zipo sababu muhimu ambazo mume/mke mwenyewe huchangia katika either kumfanya mume/mke asimsikilize, awe anakuwa mbabe na kuonyesha uanaume wake/ usinibabaishe type -wanawake (Sababu ambazo hazihusiani na ubeijing kabisa) mf. kama mume mwenyewe hajiheshimu/hamheshimu mkewe
-Mume/mke hamchukulii mkewe/mewe kama mke anayestahili kuheshimiwa, kutomsikiliza au sikiliza ushauri wa mke n.k.
My take: Nadhani kuna umuhimu wa kubadilisha theory ya mahusiano haya kwa sasa. Badala ya kusingizia Beijing, elimu, kipato cha mama tuanze kuangalia ni matendo/tabia gani za kina baba/mana yanayosababisha wadharauliwe ndani ya nyumba zao; waibiwe/salitiwe n.k.
Samahani nimeedit kwa kuwa its a two-way traffic ila naona heading imegoma ......Isomeke Sababu za mke/mume kumdharau/mtenda mwenzi wake....
Aksanteni.