1. Mama mwenye mtoto/watoto aliyeachika
2. Mwanamke aliyeachika
3. Mwanamke yupo karibu mitandao yote ya kijamii, hakuna habari ya kimbea yeye anapitwa (Tena siku hizi WhatsApp wanawake hasa...
1 ) STOP COMPARING!!
"Why don't you dress like Mike's wife?",Why you never take me out! See how Ann's husband goes out with her all the time?"; "Couldn't you be more hardworking,can't you see how...
Leo ni siku ya wanawake duniani kabla ya kwenda sana kwanza fikiria "siku ya wanawake." Si nia yangu kuwakandia but hoja yangu ni vita vya kipumbavu wanayopigana na jinsia ya kiume.
Ukiwasikiliza...
Kuna jamaa ananieleza mpenziwe kavunja uhusiano nae kisa alimtusi.
Ilikua hivi; kulikua na kutokuelewana baina ya wapenzi, mhusika akaamua kuporomosha matusi kwa binti.
Binti kaghafilika...
Habari wana JF,
Nimekuwa nikishuhudia sana tena kwa kiasi kikubwa mnoo kulaumia baina ya wanawake na wanaume katika suala zima la mausiano(ndoa),iwe ktk jamii huku tunakoishi au humu JF...
Kama utakuwa na ujasiri wa kutosha, na ukafanya kitu kikubwa, ambacho hakijawahi kufanywa na ambacho kinaweza kuwasaidia wengi. Watu hawataacha kusema, na haya ndiyo yatakayosemwa..
Kuna makumi...
Kaka yangu anahitaji mke ambaye ni very simple, yaani asiwe mcharuko na mpenda starehe hasa pombe n.k umri wake ni 34years.
Mwanamke yoyote ambaye yupo serious awasiliane naye kwa 0629141421...
Juzi nilileta uzi humu nikiomba wapi naweza pata sindano za vichaa kwa ajili ya kuondoa kabisa hisia za mapenzi, kwani nia yangu ni kuachana na mwanaume, na sikutaka habari ya kuchepuka...
From my experience, from reading, from my marriage, from common sense and from history...Women use sex to get something. Whether be marriage, promotion, favor or anything. To prove my point, see...
Unamkuta mwanamke na wigi lake la kichina anajitingisha kama nywele zake, mtongoze sasa,katika mambo Mara utasikia usiniguse nywele zangu dear.Hizo ni nywele zako au bosheni.
Hata kukatika mauno...
Kuna tukio limenitokea leo kuna mdada miaka kama 28+ nimemkuta kwenye mgahawa anakunywa chai alivyoonekana ni kama alikuwa na kitu kinamchanganya pamoja na hasira alipomaliza kunywa chai akatoka...
Habarini za asubuhi... Nina mdogo wangu was kiume Ana mwanamke wake walianzana tangu A level Mpaka was wako chuo mwaka wa pili...Sasa jizi katoa taarifa ya kupeleka barua ya uchumba kwa wazazi was...
Kwanza hongera kwa kuitwa mama maana kuzaa sio kitu rahisi. Ndio umezaa nje ya ndoa ila Mungu wako unaemwamini ni wa rehema na anasamehe.Najua watu wanakuona malaya, hufai,mkosaji ila tambua tu...
UKIFANYA MEMA NA MUNGU ATAKULIPA MEMA
Mtoto alimuweka mama yake kwenye kituo cha kulelea wazee, na alikuwa akimtembelea kila baada ya muda.Siku moja akapigiwa simu kutoka kituoni kwamba mama yake...
HUUMIZWI BALI WEWE MWENYEWE UNACHAGUA KUUMIZWA
Tunapokuwa na mipango na watu wengine, na watu hawa wakawa na eneo lao ambalo wanatakiwa walitekeleze ili na sisi tuweze kutekeleza eneo letu...
UNATAKIWA KUKOMAA NA MPANGO WAKO
Ingekuwa kuweka tu mipango ndio kufanikiwa, basi kila mtu angekuwa na mafanikio makubwa sana.
Kila mtu anaweka mipango mizuri sana, yaani sana.Lakini mipango hii...
I salute you JF members,
Kuna baadhi ya Dada zetu wanarubuniwa kirahisi na waume za watu kwa tamaa zao za kupata hela na huduma zingine lukuki toka kwa wanaume za watu walio kwenye ndoa kuna...
Leo J’tatu nikaamka mornie sana, nikaenda ground kupasha tizi kidogo ili kuweka mwili fit. Then nikarudi geto mishale ya saa 1 asubuhi. Nikawa nimechill pale nje ya geto nasubiri mwili upoe ili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.