Mapenzi, Mapenzi, Mapenzi. Kama kungekuwepo na chuo kinatoa shahada na kanuni halisi za mapenzi basi vijana wote ingekuwa MANDATORY kupata hiyo shahada. Mimi ni 'ME' wa 27yrs...
sio uongo wala utani wanawake wengi wahanga wa hili unakuta mdada anatamani gegego ila kumwomba mumewe au mpenzi wake anaogopa anaona aibu.
me mwenyenye nilikua mhanga wa hili jambo ila kwa sasa...
Najijua napenda sana wanawake, lakini sijakaa maishani kwangu kufikiria kutembea na mke wamtu. Namuomba Mungu aendelee kunipigania kwa hilo. Nimeshakutana vishawishi vingi sana.
Guys, kuna...
Hakopesheki tena, ndani kabaki na godoro shuka mto na nguo chache, anatembea na ufunguo wa vx v8, anadaiwa na wapangaji wote, mwenye nyumba, mangi dukani, barmaid, bodaboda, changudoa 3, muuza...
Habari za mwisho wa mwezi?
Mwenzenu nakerwa sana na hii tabia sijui ndo ubahili sijui mfulio au laa. Kuna ofisi mate kila siku anakuja kazin na noti ya elfu 10. Yeye muda wote utamkuta na hiyo...
Niwasalim wana MMU...
Bila kuleta uswahili nimalizie kimkasa changu cha msichana niliempenda kuliko wote na bado nililazimika kumuacha.....
Nakumbuka karibu chuo kizima tayari kilikua kishajua...
Wazee wa michepuko na team bazazi leo tulieni makwenu na familia zenu, msisingizie kuwa mnaenda mei mosi kumbe mnataka kuingia chobingo, siku hizi kuna vifo vya ghafla ndani ya gesti house na...
"Kaka mambo? hajambo mke?".
Kiukweli hujaoa bado na pengine una gf wako au hunaaaaa gf.
Hili swali linalenga kutafuta nini kwa mwanaume? na ukiulizwa hivyo, unatoa majibu gani?
nampenda sana dada Evelyn Salt wakuu sasa gia ya kumuingilia ndo nakosa jamani embu nipeni gear, maana kila nikijaribu naishia kuambiwa mdogo japo nina age ya 26,i stand to be corrected but my...
Habari zenu wakuu.
Nina rafiki angu (sio mpenzi, just a friend) mwalimu amepangiwa mkoani halafu porini sana.
Leo kaniomba twende tukafunge ndoa za bomani ili apate cheti akaombe transfer...
Wacha wee!
Kuna mdada mmoja nilisoma naye chuo miaka fulani hapo nyuma, sasa jana katika pilikapilika zangu mjini, tukakutana ghafla maeneo fulani, kwa hiyo tukaanza kusalimiana na tukaona ni...
Naomba nishuhudie kitu hapa....
Nilikua na uhusiano na mdada fulani ambae nilimjua kwao vyema tu...ni msomi wa chuo kikuu vizuri tu.
Kwao niliwahi kusikia mama yake ana kashfa ya uchawi.mapenzi...
Wana JF, naomba ushauri wenu huyu binti niliye naye story yake inasikitisha sana, mpaka wakati mwingine inaniliza.
Kama mjuavyo maisha yetu haya ya Mr & Mrs kuwahi maofisini lazima utafute...
Habari zenu wana MMU, nimekua single kwa muda wa miezi mi 3 sasa. Mpaka sasa nimeshafwatwa kutongozwa na wanaume wawili lakini kwa bahati mbaya wote wanaume za watu!! Na mimi nahitaji mwanaume...
Yule Mke wangu aliyenitoroka miezi miwili sasa bila kwao wala mimi kuju aliko, majuzi nilipiga simu kwa mama yake mdogo kutaka kujua kama walishampata, bahati mbaya kwangu alipopokea alinipa...
Kwa kawaida mtu anayeamini kwamba, ni dhaifu, hujaribu kwa kila njia kuficha udhaifu wake, na moja ya njia hizo ni kujikweza ili kujaribu kumshusha yule ambaye anadhani anamzidi. Mtu asiye na...
Habari wadau?
Hebu tujichangamshe kwa kudondosha sifa moja ambayo anayokuwa nayo mtu anaekupenda kwa dhati.
Kwa kusoma kile alichoandika mwingine nahisi kila mtu atapima kama kweli mpenzi wake...
Jamani wana JF karibuni tucheke ni hivi ktk kupiga soga shosti wangu alinipa kituko eti alikutana na mwanaume wa kihindi sasa akamtongoza wakaenda kwake kwaviel mke alikuwa safari lakini cha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.