Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.5K
Posts
209.9K
Threads
7.5K
Posts
209.9K

JF Prefixes:

Mapenzi, Mapenzi, Mapenzi. Kama kungekuwepo na chuo kinatoa shahada na kanuni halisi za mapenzi basi vijana wote ingekuwa MANDATORY kupata hiyo shahada. Mimi ni 'ME' wa 27yrs...
0 Reactions
28 Replies
2K Views
sio uongo wala utani wanawake wengi wahanga wa hili unakuta mdada anatamani gegego ila kumwomba mumewe au mpenzi wake anaogopa anaona aibu. me mwenyenye nilikua mhanga wa hili jambo ila kwa sasa...
1 Reactions
147 Replies
16K Views
Najijua napenda sana wanawake, lakini sijakaa maishani kwangu kufikiria kutembea na mke wamtu. Namuomba Mungu aendelee kunipigania kwa hilo. Nimeshakutana vishawishi vingi sana. Guys, kuna...
2 Reactions
70 Replies
7K Views
Hakopesheki tena, ndani kabaki na godoro shuka mto na nguo chache, anatembea na ufunguo wa vx v8, anadaiwa na wapangaji wote, mwenye nyumba, mangi dukani, barmaid, bodaboda, changudoa 3, muuza...
1 Reactions
16 Replies
2K Views
Habari za mwisho wa mwezi? Mwenzenu nakerwa sana na hii tabia sijui ndo ubahili sijui mfulio au laa. Kuna ofisi mate kila siku anakuja kazin na noti ya elfu 10. Yeye muda wote utamkuta na hiyo...
5 Reactions
103 Replies
7K Views
Niwasalim wana MMU... Bila kuleta uswahili nimalizie kimkasa changu cha msichana niliempenda kuliko wote na bado nililazimika kumuacha..... Nakumbuka karibu chuo kizima tayari kilikua kishajua...
1 Reactions
39 Replies
3K Views
Wazee wa michepuko na team bazazi leo tulieni makwenu na familia zenu, msisingizie kuwa mnaenda mei mosi kumbe mnataka kuingia chobingo, siku hizi kuna vifo vya ghafla ndani ya gesti house na...
0 Reactions
26 Replies
2K Views
Jamani mi nashindwa kufaham, mkitaka kuoana mnaambiwa eti lazima mpime,sasa nauliza je kupima ni hiari au cyo hiari?
1 Reactions
21 Replies
7K Views
"Kaka mambo? hajambo mke?". Kiukweli hujaoa bado na pengine una gf wako au hunaaaaa gf. Hili swali linalenga kutafuta nini kwa mwanaume? na ukiulizwa hivyo, unatoa majibu gani?
0 Reactions
22 Replies
3K Views
nampenda sana dada Evelyn Salt wakuu sasa gia ya kumuingilia ndo nakosa jamani embu nipeni gear, maana kila nikijaribu naishia kuambiwa mdogo japo nina age ya 26,i stand to be corrected but my...
0 Reactions
102 Replies
7K Views
Habari zenu wakuu. Nina rafiki angu (sio mpenzi, just a friend) mwalimu amepangiwa mkoani halafu porini sana. Leo kaniomba twende tukafunge ndoa za bomani ili apate cheti akaombe transfer...
0 Reactions
113 Replies
9K Views
Wacha wee! Kuna mdada mmoja nilisoma naye chuo miaka fulani hapo nyuma, sasa jana katika pilikapilika zangu mjini, tukakutana ghafla maeneo fulani, kwa hiyo tukaanza kusalimiana na tukaona ni...
5 Reactions
193 Replies
13K Views
Naomba nishuhudie kitu hapa.... Nilikua na uhusiano na mdada fulani ambae nilimjua kwao vyema tu...ni msomi wa chuo kikuu vizuri tu. Kwao niliwahi kusikia mama yake ana kashfa ya uchawi.mapenzi...
3 Reactions
29 Replies
4K Views
Wana JF, naomba ushauri wenu huyu binti niliye naye story yake inasikitisha sana, mpaka wakati mwingine inaniliza. Kama mjuavyo maisha yetu haya ya Mr & Mrs kuwahi maofisini lazima utafute...
0 Reactions
28 Replies
4K Views
Habari zenu wana MMU, nimekua single kwa muda wa miezi mi 3 sasa. Mpaka sasa nimeshafwatwa kutongozwa na wanaume wawili lakini kwa bahati mbaya wote wanaume za watu!! Na mimi nahitaji mwanaume...
0 Reactions
22 Replies
2K Views
Yule Mke wangu aliyenitoroka miezi miwili sasa bila kwao wala mimi kuju aliko, majuzi nilipiga simu kwa mama yake mdogo kutaka kujua kama walishampata, bahati mbaya kwangu alipopokea alinipa...
0 Reactions
31 Replies
2K Views
Kwa kawaida mtu anayeamini kwamba, ni dhaifu, hujaribu kwa kila njia kuficha udhaifu wake, na moja ya njia hizo ni kujikweza ili kujaribu kumshusha yule ambaye anadhani anamzidi. Mtu asiye na...
31 Reactions
233 Replies
25K Views
Habari wadau? Hebu tujichangamshe kwa kudondosha sifa moja ambayo anayokuwa nayo mtu anaekupenda kwa dhati. Kwa kusoma kile alichoandika mwingine nahisi kila mtu atapima kama kweli mpenzi wake...
0 Reactions
62 Replies
7K Views
Kiukweli nampenda sna my mummy coz amenilea na kunitunza kwa upendo na kunifunza mengi yaliyo mema. Je wampenda na kumjali mummy yako?
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Jamani wana JF karibuni tucheke ni hivi ktk kupiga soga shosti wangu alinipa kituko eti alikutana na mwanaume wa kihindi sasa akamtongoza wakaenda kwake kwaviel mke alikuwa safari lakini cha...
0 Reactions
61 Replies
6K Views
Back
Top Bottom