Kuna tukio limenitokea leo kuna mdada miaka kama 28+ nimemkuta kwenye mgahawa anakunywa chai alivyoonekana ni kama alikuwa na kitu kinamchanganya pamoja na hasira alipomaliza kunywa chai akatoka haraka huku akiacha simu pale mezani.
Nikatoka nje kumuita akanitukana nikachukua ile simu nikapanda gari nikaondoka nimefika nyumbani akanipigia simu nikamwambia njoo maeneo fulani uchukue simu yako alipofika ndipo akanieleza sababu hasa ya kuwa na hasira anadai kuwa amekuwa na uhusiano na wanaume wawili kwa vipindi tofauti ambao walimuahidi watamuoa lakini wanaishia kumumwaga na anavyoona umri unaenda na amekataa wanaume wengi waliokuwa wana nia ya kumuoa hali imepelekea kuchukia wanaume.
Hali kama hii huwapata wanawake wengi unakuta binti yupo kwenye form yake anawakataa watu wenye nia ya dhati ya kumuoa kwa kigezo kwamba ana mchumba mwisho wa siku anamwaga na umri unakuta umesonga presha toka kwa wazazi unakuwa mwanzo wa stress na kujipeleka kokote kule ili mradi tu aolewe.
Wadada shtukeni.
Nikatoka nje kumuita akanitukana nikachukua ile simu nikapanda gari nikaondoka nimefika nyumbani akanipigia simu nikamwambia njoo maeneo fulani uchukue simu yako alipofika ndipo akanieleza sababu hasa ya kuwa na hasira anadai kuwa amekuwa na uhusiano na wanaume wawili kwa vipindi tofauti ambao walimuahidi watamuoa lakini wanaishia kumumwaga na anavyoona umri unaenda na amekataa wanaume wengi waliokuwa wana nia ya kumuoa hali imepelekea kuchukia wanaume.
Hali kama hii huwapata wanawake wengi unakuta binti yupo kwenye form yake anawakataa watu wenye nia ya dhati ya kumuoa kwa kigezo kwamba ana mchumba mwisho wa siku anamwaga na umri unakuta umesonga presha toka kwa wazazi unakuwa mwanzo wa stress na kujipeleka kokote kule ili mradi tu aolewe.
Wadada shtukeni.