Bongo siwawezi! Eti kuna aina 3 za michepuko.
1. Mchepuko wa Lami: huu ni ule ambao hauombi pesa, upo njema unajua designer zote, katulia hana mapepe, uwe nae usiwe nae maisha yake yanaendelea...
Uko lindoni mvua inapiga mdogomdogo-mvua ya mahaba, kuna kibaridi kinapuliza na mamimo umemwacha peke yake home, chumba chenu kimoja kinapakana na chumba cha msela, anayejipenda mno na kupenda...
Rais Kenyatta asaini Muswada wa Sheria ya Ndoa ya mwaka 2014 punde huko Nairobi, sasa wanaume wako huru kuoa idadi ya wanawake kadri wawezavyo. Hii nimeipenda inatufaa sana hapa kwetu Tanzania...
Pindi muwapo katika mahusiano, nafahamu mnafanya kila kitu kwa sababu ya kuakikisha mnalinda penzi lenu kwa wapenzi wenu na pengine hata kuhatarisha hali za afya zenu
Wengi wenu inafikia kipindi...
Dereva bingwa wa mbio za magari nchini Sweden anayefahamika kwa kuendesha gari kwa kasi, alishindwa kumwahisha mkewe mjamzito hospitali na kufanya mtoto wao kuzaliwa ndani ya gari wakiwa njiani...
Wana MMU, wanawake kwa wanaume naombeni msaada. Ni siri gani mwanamke hawezi kusema hadi kaburini? Rafiki yangu wa kike anayeishi Moshi ambaye tumedumu kwenye uhusiano kwa miaka 2, katika...
Kuna tetesi kwamba ukimtahiri mtoto akiwa mdogo viungo vyake vya uzazi havikui sana ukilinganisha na waliotahiriwa wakiwa above ten. Hekima izingatiwe please.
Najua wapo waliotahoriwa wakiwa...
Hizi ndo marks (majibu) ya kupata ndoa mapema..........hii inawahusu hadi wale walio kwenye uchumba chronic/sugu
Hamna haja ya kunywa mchina uongeze makalio,wala kuenda kwa sangoma upate ndoa...
Haya mambo za mapenzi hayana dalili wala hodi sometimes, hiki ni kisa cha mtaani kwetu.
Familia mbili changa zimekuwa kwenye level ya juu sana ya family friendship.Wababa wenye hizo nyumba wameoa...
Namasteeeeee!!
Mwenzangu IS IT JUST ME AU NDO GAME LIMECHANGE SIKU HIZI? Au ndo nimeshakuwa mbuzi mzee bila taarifa? Naaaaaaah! Wanaume mnakoelekea siko. SIKO SIKO KABISAAAAA! Whats up with the...
Shalom wana MMU!! Kuna msichana nilimpenda ,propably alikua rafiki yangu. Siku moja nika maproch akasema ana boyfriend na tena ni rafiki yangu, baada ya hapo tukaendelea kuwa friends kama...
Hbr ya kuamka wana MMU wenzangu?
Siku yangu imeanza vema, hofu ni kwenu nyinyi.
Tuwaombee heri wagonjwa ili warudi ktk siha zao za kawaida na warejee ktk utebdaji wao wa kila siku.
Tuwafariji...
Duniani hapa hakuna kitu kinachoumiza kama mapenzi haswa ukute unampenda mtu hakupendi, au unampenda mtu anakutenda. Baada ya misukosuko mingi ya kimapenzi sitapenda tena! wala sitojaribu...
Habari wana JF,
Kila siku nimekua nkitamani sana kuolewa, nikiwa peke yangu ni kuononeka tu moyoni juu ya hilli. Na hii imetokea baada ya kuachana na aliyekuwa mpenzi wangu ambaye tulipanga...
Boy friend wangu yupo masomoni mwaka mzima,nilipozidiwa nkaanza tabia ya kutoka njee na bosi wa clearing and freight foward then kitabia cha kutoka na wenye hela kikashika kasi tena sana hapa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.