Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.5K
Posts
210.2K
Threads
7.5K
Posts
210.2K

JF Prefixes:

Bongo siwawezi! Eti kuna aina 3 za michepuko. 1. Mchepuko wa Lami: huu ni ule ambao hauombi pesa, upo njema unajua designer zote, katulia hana mapepe, uwe nae usiwe nae maisha yake yanaendelea...
2 Reactions
9 Replies
1K Views
Uko lindoni mvua inapiga mdogomdogo-mvua ya mahaba, kuna kibaridi kinapuliza na mamimo umemwacha peke yake home, chumba chenu kimoja kinapakana na chumba cha msela, anayejipenda mno na kupenda...
0 Reactions
30 Replies
4K Views
Rais Kenyatta asaini Muswada wa Sheria ya Ndoa ya mwaka 2014 punde huko Nairobi, sasa wanaume wako huru kuoa idadi ya wanawake kadri wawezavyo. Hii nimeipenda inatufaa sana hapa kwetu Tanzania...
1 Reactions
45 Replies
3K Views
Pindi muwapo katika mahusiano, nafahamu mnafanya kila kitu kwa sababu ya kuakikisha mnalinda penzi lenu kwa wapenzi wenu na pengine hata kuhatarisha hali za afya zenu Wengi wenu inafikia kipindi...
2 Reactions
20 Replies
2K Views
Dereva bingwa wa mbio za magari nchini Sweden anayefahamika kwa kuendesha gari kwa kasi, alishindwa kumwahisha mkewe mjamzito hospitali na kufanya mtoto wao kuzaliwa ndani ya gari wakiwa njiani...
0 Reactions
0 Replies
939 Views
Nasafiri naelekea Kongo nipo Geita kwa sasa naelekea Nyakanazi nitalala hapo. Naweza kupata basi la kwenda Bujumbura then Kinshasa?
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Most people don't love you they just love What u can do for them.
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Wana MMU, wanawake kwa wanaume naombeni msaada. Ni siri gani mwanamke hawezi kusema hadi kaburini? Rafiki yangu wa kike anayeishi Moshi ambaye tumedumu kwenye uhusiano kwa miaka 2, katika...
0 Reactions
120 Replies
16K Views
Kuna tetesi kwamba ukimtahiri mtoto akiwa mdogo viungo vyake vya uzazi havikui sana ukilinganisha na waliotahiriwa wakiwa above ten. Hekima izingatiwe please. Najua wapo waliotahoriwa wakiwa...
0 Reactions
69 Replies
5K Views
Hizi ndo marks (majibu) ya kupata ndoa mapema..........hii inawahusu hadi wale walio kwenye uchumba chronic/sugu Hamna haja ya kunywa mchina uongeze makalio,wala kuenda kwa sangoma upate ndoa...
18 Reactions
244 Replies
15K Views
Haya mambo za mapenzi hayana dalili wala hodi sometimes, hiki ni kisa cha mtaani kwetu. Familia mbili changa zimekuwa kwenye level ya juu sana ya family friendship.Wababa wenye hizo nyumba wameoa...
3 Reactions
50 Replies
4K Views
Namasteeeeee!! Mwenzangu IS IT JUST ME AU NDO GAME LIMECHANGE SIKU HIZI? Au ndo nimeshakuwa mbuzi mzee bila taarifa? Naaaaaaah! Wanaume mnakoelekea siko. SIKO SIKO KABISAAAAA! Whats up with the...
20 Reactions
261 Replies
21K Views
Utajuaje kama mpenzio anakupenda kwa dhati, Ishara gani huonyesha kwako au dalili zipi huonyesha......
0 Reactions
24 Replies
2K Views
Habari WANA MMU...
0 Reactions
51 Replies
7K Views
Shalom wana MMU!! Kuna msichana nilimpenda ,propably alikua rafiki yangu. Siku moja nika maproch akasema ana boyfriend na tena ni rafiki yangu, baada ya hapo tukaendelea kuwa friends kama...
0 Reactions
52 Replies
4K Views
Hbr ya kuamka wana MMU wenzangu? Siku yangu imeanza vema, hofu ni kwenu nyinyi. Tuwaombee heri wagonjwa ili warudi ktk siha zao za kawaida na warejee ktk utebdaji wao wa kila siku. Tuwafariji...
0 Reactions
11 Replies
878 Views
Duniani hapa hakuna kitu kinachoumiza kama mapenzi haswa ukute unampenda mtu hakupendi, au unampenda mtu anakutenda. Baada ya misukosuko mingi ya kimapenzi sitapenda tena! wala sitojaribu...
3 Reactions
53 Replies
6K Views
Habari wana JF, Kila siku nimekua nkitamani sana kuolewa, nikiwa peke yangu ni kuononeka tu moyoni juu ya hilli. Na hii imetokea baada ya kuachana na aliyekuwa mpenzi wangu ambaye tulipanga...
1 Reactions
68 Replies
7K Views
Hivi kuwa na MTU unampenda sana lakini anakupa stress na kuwa na MTU usiyempenda lakini anakukufanya uwe happy every day.YUPI BORA
1 Reactions
15 Replies
1K Views
Boy friend wangu yupo masomoni mwaka mzima,nilipozidiwa nkaanza tabia ya kutoka njee na bosi wa clearing and freight foward then kitabia cha kutoka na wenye hela kikashika kasi tena sana hapa...
15 Reactions
499 Replies
34K Views
Back
Top Bottom