Simple wife anatafutwa

Simple wife anatafutwa

SN.BARRY

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2012
Posts
4,046
Reaction score
8,979
Kaka yangu anahitaji mke ambaye ni very simple, yaani asiwe mcharuko na mpenda starehe hasa pombe n.k umri wake ni 34years.

Mwanamke yoyote ambaye yupo serious awasiliane naye kwa 0629141421 yeye ni mwalimu sm- Arusha.
 
WASILIANA NAYE KWA NAMBA HIZO HAPO!
 
Sasa hzo sifa atazionaje kwenye social media humu, si atafute watoto wazuri kwa macho yake hapo Arusha au ana kale kaupungufu wanaitaga domo nini sijui?
 
KAKA YANGU ANAHITAJI MKE AMBAYE NI VERY SIMPLE...YAANI ASIWE MCHARUKO NA MPENDA STAREHE HASA POMBE N.K UMRI WAKE NI 34YEARS. MWANAMKE YOYOTE AMBAYE YUPO SERIOUS AWASILIANE NAYE KWA 0629141421 YEYE NI MWALIMU SM-ARUSHA.
Je, huyo mke akipatikana utamsaidia pamoja na vitu vingine? Au umemsaidia tu kutafuta? au Huyo mwanamke ndiye atakakulipa wewe? Na Kama mwanamke ndiye atakayekulipa ungependa akulipe nini?
 
Sasa hzo sifa atazionaje kwenye social media humu, si atafute watoto wazuri kwa macho yake hapo Arusha au ana kale kaupungufu wanaitaga domo nini sijui?
YUPO BIZE PIA YEYE SIO MEMBER JF..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom