Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Nikijaribu kujifikiria kama mwanaume naona kidogo makosa mengine tunayatafuta ndio maana hatufurahii ndoa zetu. Na haya yanapelekea hawa wanawake wajionee wapo juu kwetu Tunaoa sana kwasababu...
5 Reactions
177 Replies
19K Views
Wakuu wa JF naomba kuuliza nani katika hawa waliotajwa hapo juu ni nani wa kwanza kuheshimiwa ,maana mwanamke anakaa kwako anakula ,analala na hela ya matumizi unampa lakini cha kuchangaza heshima...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Huyu dada ameolewa huko nchi za watu, miaka 7 ndoani ana watoto wawili. tatizo alilokuwa nalo dada anataka kurudisha makazi Tanzania mume wake hataki (jamaa ni raia wa hiyo nchi). Ugumu unakuja...
0 Reactions
37 Replies
5K Views
Naongelea waalimu wa shule za msingi na upili (baadhi sio wote) zamani enzi za mwalimu ukitaka kuoa waalimu ndio walikuwa ni candidate wa kupigiwa mifano kila mtu atakupongeza kwa kubahatika...
7 Reactions
191 Replies
16K Views
Thread closed
3 Reactions
166 Replies
18K Views
Habari za siku nyingi enyi watanganyika wenzangu?mpenzi wangu kajifungua mtoto wa kike,nilikua naomba kujulishwa kama ni sahihi kumuita jina linalofanana na la x wangu ambaye tuliachana in good...
1 Reactions
43 Replies
5K Views
Mwezi mmoja uliopita mke wangu alipata mkopo kutoka mahala fulani wa shilingi 6 million, lengo la mkopo huo ilikua ni kuimarisha biashara yake ya restaurant na kuipanua zaidi, mimi ndie nilitoa...
5 Reactions
270 Replies
21K Views
Niliwahi leta thread hapa kuhusiana na experience yangu ya kuwa baby mama. Ofcourse niliumia sana kwa yaliyo tokea,ila sikuwa na budi kumove on.Doctor wangu alinisaidia sana kisaikolojia,Mungu...
6 Reactions
111 Replies
15K Views
Natafuta rafiki (jinsia yoyote) anayesoma au aliyesoma maswala ya journalism especially utangazaji wa TV/Redio. Kwa ambaye atakuwa tayari kwa hilo, please send me a message!
0 Reactions
0 Replies
983 Views
Kuna kaugonjwa naona kanakua sana kwangu, yaani nikiona mkia wa mwanamke napata kama mshtuko fulani wa kimapenzi kwa mdada mwenyewe na kama kuna chance lazima nimtongoze huyo dada, haijalishi kama...
6 Reactions
176 Replies
17K Views
Kama ambavyo huwa nasema humu kila mara mimi ni mpenzi wa mikia. Mwanamke ambae hana mkia simuangalii mara mbili, napata wakati mgumu sana kurudia kumtazama. Hivi karubuni nilikutana na binti...
8 Reactions
135 Replies
33K Views
Wasalaam waungwana, Jana usiku nimerudi kutoka mihangaikoni namkuta mke wangu ana huzuni na majonzi huku macho yake yakiwa yamevimba. Nikamuuliza mbona una hali hiyo mama? Akanijibu in short tu "...
4 Reactions
97 Replies
10K Views
Naomba kupata ufafanuzi wa suala hili, nini kinaweza kukufanya ukafanya mapenzi na nduguyo (kaka, dada, mjomba, shangazi, mama mdogo, nk ) au ni mazingira yapi yanayochangia hii mambo?? Kesi hizi...
1 Reactions
45 Replies
8K Views
Habari wana MMU, Kama kweli we ni mpenzi wa jukwaa hili utakubaliana na mimi kwamba lugha inakua. Katika pitapita zangu humu ndani nimekua nikikutana na maneno mapya kabisa yanayoniacha hoi...
1 Reactions
59 Replies
5K Views
Naleta kwenu wadau, Yupo dada mmoja ambaye nimetokea sana kumpenda. Ukaribu wetu na kufahamiana kulianza mwaka huu mwezi January. Sasa baada ya kufahamiana kama marafiki kwa muda sasa nimetokea...
1 Reactions
68 Replies
11K Views
Nataka friend wa kike wa kuchat nami facetime Ani PM facetime user ID yake kama ni email or number.
0 Reactions
23 Replies
3K Views
"Nimekuwa ktk mahusiano na wasichana tofauti tofauti ktk nyakati tofauti, relationships hazijafanikiwa kumpata yule ambae nilitegemea atakuwa wangu wa milele,wasichana wengi nlokutana nao ni money...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
I am looking for a woman who is going to be my wife. Age of 22-27 and should be independent. I'll consider mostly those from lake zone except kagera region. I am 29 yrs old. More details will be...
1 Reactions
0 Replies
769 Views
Habari zenu wapendwa, Natafuta mwanaume mwenye umri kuanzia miaka 35-40 awe mkristo, najua mtaanza kushangaa umri lakini najua kabisa wapo hapa wanaume wenye umri huo na bado hawajaoa kwasababu...
2 Reactions
30 Replies
4K Views
Nauliza jamani, Kwanini tukiwa katika zile sarakasi za ukubwani pale kwenye 6 kwa 5 au popote pale tunafumba macho?...Je tunaoneana aibu?...
0 Reactions
40 Replies
7K Views
Back
Top Bottom