Wana MMU Arusha Nina ombi ambalo naitaji tulifanyie kazi nalo ni kufanya party ambayo itatufanya tufahamiane na tufurahi pamoja,si lazima iwe kesho au keshokutwa hapana,tujadili pamoja na...
KWA MFANO: Umeishi na mpenzi/mke wako kwa muda wa zaidi ya mwaka mmoja, kisha unakuja kugundua kuwa kumbe sehemu fulani ya mwilini mwake ana tattoo yenye jina la mwanaume mwingine... Utafanyaje?
Hapa sizungumzii nyumba ndogo, kwakuwa hii mara nyingi inakuwa imehalalishwa kiharamu
hapa ni wale wanaoitwa wa juu kwa juu, hit n run,ambao mmekutana tu kwa (BAHATI MBAYA),lakini kiukweli sio...
WanaJF leo nimeambiwa na Mpenzi wangu kuwa tarhe 13&14 atakuwa na training Arusha,hivyo atalazimika kuondoka tarehe 12 na kurudi 15,sielewi hebu na nyie semeni ndugu zangu!
Sent from my...
Kama Unataka Kufanya Chochote Kwenye Maisha Kiwe KIKUBWA AU KIDOGO Lazima Uzitumie Hatua Hizi Nne, Na Lazima Utapitia Hatua Hizi Nne.
Yaani Hizi Hatua Nne Ni MWONGOZO Wa Kukusaidia KUTIMIZA...
mapenzi na pesa huenda sambamba.hivyo bas nakupadili la kukuongezea kipato kupitia hapa VisitPayment.com Earn 10$ for every 30 second Task. Internet Job
Habari yenu naomba 2tafutane! Mabinti mnaoishi moro tu...2tafutane 2fahamiane na 2andae part ya pamoja kama wana jf members....(ladies)nitaigaramia....MWANAUME USIKOMENTI.
Wasichana wengi hupata bahati ya kugundua madhaifu ya wachumba wao mapema sana.
Madhaifu mengine huwa ni makubwa kiasi cha kuhatarisha furaha, amani, umuhimu katika jamii, afya na hata maisha ya...
Nimependezwa kuleta jamvini swala hili nina jamaa yangu mtu wa karibu ambaye nayafahamu maisha yake kiujumla..
issue ni kwamba msela akimface dem at the first time huwa anampenda na...
MIMI ni mdada ambaye nimepata matatizo,
nilikuwa nina mpenz wangu, kwa kweli alinipenda sana.Kila nikichohitaji amenisaidia.
Wik iliyopita kuna mkaka alikuwa ananisumbua sana kuonana na mimi...
Nimejikuta nikijiuliza swali hili baada ya kusoma habari hii ya kitambo kidogo iliyowahi kuwekwa hapa Jamii Forum kuhusu mashoga watano waliokamatwa jijini Dar es salaam. Je waliwekwa katika selo...
Kila kazi ina changamoto zake...
kuna kijana anafanya kazi ya kukata na kupaka rangi kucha za akina mama anasema tatizo kubwa wanayopata mikao ya hasara ya wanawake wakubwa na wadogo tena...
Wana MMU.
Jamaa mmoja hapa jirani yangu jina lake JOHN alitokea kumpenda sana bidada mmoja kwa jina la ANITA. Tatizo alikua anaogopa sana kumuambia ya moyoni.
Siku moja alijikakamua akaamua...
Ninae mchumba wangu ambaye tumejuana kwa muda wa mwaka na nusu sasa. Nataka nimuoe ila shart lake tufanye harusi lasivyo tuachane na mimi nikotayari kufunga ndoa ya selikali.
Mpenzi wako akikuambia we ni "My Number One", basi atakuwa amekuweka wazi kuwa kuna no. 2, no. 3, no. 4, no. 5.... Na ukiambiwa we ni "Special" basi ujue kuna na "Mitumba" pia.
Kwa wale wanaomiliki smart phone...nadhani suala la vifurushi sio geni, na nahisi huwa mnatamani zile sms kibao zinazotolewa kwenu zingebadilishwa na kuwa "data"kwa sababu hazina umuhimu manake...
Zhang Rongxiang was pregnant when a devastating car crash left her in a coma. Just moments after doctors told her husband that she would never recover, they realized she was with child and that...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.