Imekuwa fashion sasa wasichana kupiga mizinga wanailia kama suzuki ukimtongoza tuu umeisha hawakawii kuvua pichu.
Zamani ilikuwa ukimtongoza msichana mpaka umlale ilikua shughuli alafu wananiuzi...
Jamani wana JamiiiForums,
Niliweka post hapa mke wangu alivyoondoka na akaenda kuishi kwake yaani chumba cha kupanga.
Ila ninakaa namfikiria kila mara hasa kwa mabaya aliyonifanyia, hii hali...
LD,DENA AMSI,MICHELLE,MARIA ROZA,LIZZY,KIMEY,THE FINEST na wengine kibao wana muda gani humu jf?maana inaweza kua vigezo hufuatwa sana.mbona wengine 2kipost post ze2 hazpati wachangiaji?ndo kusema...
Mapacha wa kipekee wamezaliwa nchini Vietnam.
najua unajiuliza mapacha si kawaida tu ?
La hasha .
Mapacha hawa imegunduliwa kuwa walitungwa na baba wawili tofauti !
Amini usiamini !
Taarifa...
Habarini,
Naitwa Innocent(Me),Natafuta rafiki/marafiki wa kubadilishana nae/o mawazo ya kimaisha;awe dereva au kondakta wa magari ya abiria yafanyayo safari ndani ya jiji la Dar es Salaam.Umri...
Habari za jioni wakuu wote wa JF. Naomba msaada wenu wa kimawazo kuhusu hii situation.
Last year nikiwa chuo nilipigiwa simu na a close friend of mine akasemakua amekutana na ex wangu na alikua...
Nimeamua kujitosa kutafuta Mwanamke mwenye sifa zifuatazo:_
a. elimu angalau kidato cha sita
b.awe anatoka nchi za A/ mashariki
c. awe anaishi USA au UK
d. hanakazi au anakazi - sintojali
e. awe...
Asalam alekhum wanaJF!
Ni hivi, miezi misita hivi iliyopita demu wa best yangu kabisa alinipigia simu kuwa mchizi haeleweki kabisa. Nikaona isiwe kesi nikampigia mchizi kaniambia yuko na mtu...
Tukiwa tunasheherekea siku ya wanawake duniani tusiigeuze ikawa siku ya starehe kama ilivyo sikukuu zingine bali tupaze sauti zetu zisikike kila sehemu kuna wanawake wananyanyasika ndani ya ndoa...
Wadau nawasalimu,
Hivi karibuni nilikuja kugundua sina nguo kabisa, inafika asubuhi au wakati wa kutoka natafuta nguo kila nayoshika mkononi either inanibana au imechanika kabisa hivyo najikuta...
Niaje Wakuu Nimerudi tena baada ya jana kuleta UZI wangu wa Naombeni ushauri juu ya huyu binti nahisi kumchukia ghafla
Basi leo tulikubaliana tukapime mwanaume nikajitosa niakaenda kupima niko...
Fundi cherehani kaoa ana familia,muosha magari kaoa,muuza mkaa,mbeba taka hapa kitaa kwetu ana familia,muimba kwaya anaevaaga mabwanga kamuoa demu niliyemuacha lakini demu kapendeza sasa hivi...
Nakusalimuni nyote kwa jina la Mungu muumba mbingu na ardhi, poleni na majukumu,
Wapendwa nimeshakutana na hii kitu mara kadhaa kwa watu tofauti tofauti, kwamba wanna mahusiano na wachungaji au...
Mke wangu toka siku tujue kuwa mimba imenasa dah papuchi naisikia ktk redio tu nikavumilia nikajua mimba changa na kwel ilikuwa inamkimbiza kutapika kila siku..nw ina mwezi 7 inakwenda wa 8 ile...
Toka nimeanza mwaka huu mpya Wa mwaka 2016 nimeshatembea au kulala na wanawake 18 mpaka kufikia Leo wakiwemo wanafunzi Wa vyuo, wadada Wa mtaani,wake za watu,hadi najishangaa kuwa mpaka mwaka huu...
Nilikuwa Naye sehemu Fulani nikanunua mazaga ya home,mwanamke kakataa kubeba na Leo mvua imesababisha usumbufu nipo kwenye gari hapa na mizigo yangu sijui yeye alikoelekea
Ni kauli ya mdada mmoja tunafanya nae kazi hapa ofisini ni mara ya tatu sasa namsikia akisema hivo akiwa na maana kwamba angezaliwa mwanaume hawa wanawake wangemkoma angegegeda yoyote yule...
Wadau Sina lengo la kuwachosha bali nimeshtuka sana baada ya mama kunipigia simu jumapili na kufoka mno kwamba marafiki wote wa rika langu wameshaoa na wana watoto mm bado nahangaika
Kwamba...
Aisee, tangu nijiunge sijaona thread ya mdada wa JF kumzimikia mkaka, kama ipo mtu aniwekee link. Hadi sasa nina kumbukumbu ya wadada 12 wa jf walioanzishiwa na wakaka threads za namna ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.