Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.6K
Posts
210.7K
Threads
7.6K
Posts
210.7K

JF Prefixes:

Wana MMU Arusha Nina ombi ambalo naitaji tulifanyie kazi nalo ni kufanya party ambayo itatufanya tufahamiane na tufurahi pamoja,si lazima iwe kesho au keshokutwa hapana,tujadili pamoja na...
0 Reactions
146 Replies
7K Views
KWA MFANO: Umeishi na mpenzi/mke wako kwa muda wa zaidi ya mwaka mmoja, kisha unakuja kugundua kuwa kumbe sehemu fulani ya mwilini mwake ana tattoo yenye jina la mwanaume mwingine... Utafanyaje?
0 Reactions
22 Replies
2K Views
Hapa sizungumzii nyumba ndogo, kwakuwa hii mara nyingi inakuwa imehalalishwa kiharamu hapa ni wale wanaoitwa wa juu kwa juu, hit n run,ambao mmekutana tu kwa (BAHATI MBAYA),lakini kiukweli sio...
1 Reactions
1 Replies
882 Views
WanaJF leo nimeambiwa na Mpenzi wangu kuwa tarhe 13&14 atakuwa na training Arusha,hivyo atalazimika kuondoka tarehe 12 na kurudi 15,sielewi hebu na nyie semeni ndugu zangu! Sent from my...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Kama Unataka Kufanya Chochote Kwenye Maisha Kiwe KIKUBWA AU KIDOGO Lazima Uzitumie Hatua Hizi Nne, Na Lazima Utapitia Hatua Hizi Nne. Yaani Hizi Hatua Nne Ni MWONGOZO Wa Kukusaidia KUTIMIZA...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
mapenzi na pesa huenda sambamba.hivyo bas nakupadili la kukuongezea kipato kupitia hapa VisitPayment.com Earn 10$ for every 30 second Task. Internet Job
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Habarini za asubuhi wana MMU nabisha hodi kwenu tafadhali mnipokee.... nawasilisha.........
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Habari yenu naomba 2tafutane! Mabinti mnaoishi moro tu...2tafutane 2fahamiane na 2andae part ya pamoja kama wana jf members....(ladies)nitaigaramia....MWANAUME USIKOMENTI.
0 Reactions
1 Replies
715 Views
Wasichana wengi hupata bahati ya kugundua madhaifu ya wachumba wao mapema sana. Madhaifu mengine huwa ni makubwa kiasi cha kuhatarisha furaha, amani, umuhimu katika jamii, afya na hata maisha ya...
15 Reactions
76 Replies
7K Views
Nimependezwa kuleta jamvini swala hili nina jamaa yangu mtu wa karibu ambaye nayafahamu maisha yake kiujumla.. issue ni kwamba msela akimface dem at the first time huwa anampenda na...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
MIMI ni mdada ambaye nimepata matatizo, nilikuwa nina mpenz wangu, kwa kweli alinipenda sana.Kila nikichohitaji amenisaidia. Wik iliyopita kuna mkaka alikuwa ananisumbua sana kuonana na mimi...
2 Reactions
193 Replies
16K Views
Nimejikuta nikijiuliza swali hili baada ya kusoma habari hii ya kitambo kidogo iliyowahi kuwekwa hapa Jamii Forum kuhusu mashoga watano waliokamatwa jijini Dar es salaam. Je waliwekwa katika selo...
2 Reactions
41 Replies
25K Views
Kila kazi ina changamoto zake... kuna kijana anafanya kazi ya kukata na kupaka rangi kucha za akina mama anasema tatizo kubwa wanayopata mikao ya hasara ya wanawake wakubwa na wadogo tena...
0 Reactions
30 Replies
14K Views
Ndg wanajf. Mwanaume ukiona unapendwa sana na wanafunzi wa kike wa shule za Msingi na Sekondari ujue una nyota ya KUISHI GEREZANI!!! Jihurumie sana.
0 Reactions
3 Replies
981 Views
Wana MMU. Jamaa mmoja hapa jirani yangu jina lake JOHN alitokea kumpenda sana bidada mmoja kwa jina la ANITA. Tatizo alikua anaogopa sana kumuambia ya moyoni. Siku moja alijikakamua akaamua...
2 Reactions
15 Replies
2K Views
Ninae mchumba wangu ambaye tumejuana kwa muda wa mwaka na nusu sasa. Nataka nimuoe ila shart lake tufanye harusi lasivyo tuachane na mimi nikotayari kufunga ndoa ya selikali.
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Mpenzi wako akikuambia we ni "My Number One", basi atakuwa amekuweka wazi kuwa kuna no. 2, no. 3, no. 4, no. 5.... Na ukiambiwa we ni "Special" basi ujue kuna na "Mitumba" pia.
0 Reactions
1 Replies
988 Views
1. Ndo mnavua nguo 2. Ndo mana mnazima taa 3. Ndo mana hamsimulii watu jinsi mnavyolifanya nawakilisha
2 Reactions
57 Replies
7K Views
Kwa wale wanaomiliki smart phone...nadhani suala la vifurushi sio geni, na nahisi huwa mnatamani zile sms kibao zinazotolewa kwenu zingebadilishwa na kuwa "data"kwa sababu hazina umuhimu manake...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Zhang Rongxiang was pregnant when a devastating car crash left her in a coma. Just moments after doctors told her husband that she would never recover, they realized she was with child and that...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Back
Top Bottom