Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

WIFE....Honey plz lets come and help me in the garden to clean these flowers?? UYU.......Are you mad ,do I look like a gardener? WIFE.....Ok sory babie,...but sweetheart please go and fix that...
5 Reactions
29 Replies
5K Views
Habari wadau Katikati na mwishoni mwa miaka ya tisini tulikua tukichangia harusi 5000 unapata single card na 10,000 unapewa bibi na bwana Mwanzoni mwa miaka ya 2000 hadi Katikati mwa 2000...
19 Reactions
86 Replies
9K Views
Habari zenu wana JF, Ninaomba ushauri kwenu. Juzi nilirudi nyumbani muda ambao si kawaida yangu. Kawaida narudi kuanzia mida ya saa 1 moja jioni. Juzi nilipofika ofisini niliitwa kwa MD...
2 Reactions
136 Replies
13K Views
Kapo ka hulka kamezuka siku hizi kwenye muundo wa njia za kuanzisha mahusiano.Wanawake wa leo si wale tuliowajuwa enzi zile.Kwanza wamekuwa wepesi kung'oleka kirahisi sana.Miaka ile papuchi...
8 Reactions
127 Replies
18K Views
Habari Wana JF, Natafuta msichana mkristu ambae atakuwa mchumba au mke wangu baadae,awe na shughuli ya kufanya,awe na elimu kuanzia darasa la saba,akiwa mwalimu ni poa zaidi mimi. Wasifu wangu...
1 Reactions
19 Replies
3K Views
Wakuu za mchana, Kwanza samahani kama hii inaweza kuwakwaza baadhi ya watu lakini sina mrengo huo. Katika kuishi kwangu uswahilini nimekutana na mambo mengi lakini kuna hili moja ambalo bado...
2 Reactions
16 Replies
2K Views
Mabinti zangu Unasema, "kila mwanaume anayekuja kwangu ananitaka kimapenzi anautaka mwili wangu sipati wanaume serious. Wanaokubali kuwa na mimi bila kutaka 'asali yangu'...." Jibu ni rahisi...
6 Reactions
22 Replies
4K Views
ULIYE NDANI YA NDOA NA UNAYETEGEMEA KUINGIA SIKILIZA NENO HII ROHO AWAAMBIA NINYI KUPITIA KINYWA CHANGU....... Uchafu ni asili ya shetani, uchafu huo hautofautiani, nazungumza uchafu wa kiroho...
2 Reactions
3 Replies
2K Views
Katika pita pita zangu nimekutana na maneno haya juu ya aina za ndoa nimeamua nishare nanyi wana jamii. Angalizo kwa ulie katika aina yoyote tajwa,usijitie hatia ktk hali uliyonayo. Kikubwa...
2 Reactions
4 Replies
4K Views
UNFORGETABLE KISS ON MY LIPS(BUSU NISILOLISAHAU KATIKA MIDOMO YANGU)....EP 01 WRITER; KELVIN .E. BIATUSI. Ilikuwa asubuhi njema kwangu siku ya ijumaa mida ya saa mbili hivi nilikuwa nikipiga...
0 Reactions
2 Replies
5K Views
Ni mara yangu ya kwanza kutafuta mrembo aliyetayari kuolewa. Vigezo; Asiwe mfanyakazi sehemu yeyote Maji ya kunde rangi yake Mwembamba wastani Asiwe na mtoto Anayetokea mikoa ya kanda ya Pwani...
0 Reactions
23 Replies
2K Views
Habari za weekend wana jamii, Salamu nyingi kutoka huku shamba. Hebu tutizame mambo kadhaa yanayomtofautisha mwanamume na mvulana kwa faida ya jamii yetu. Ushauri kwa wanaume. Dear men, 1...
7 Reactions
49 Replies
12K Views
Habari za wakati huu wanajamvi. Bila kupoteza muda ngoja niende kwenye mada. Wapendanao wakigombana kujulikana ni rahisi sana. Baada ya kuona shem akitaka kuwasiliana na jamaa anapitishia ujumbe...
7 Reactions
144 Replies
15K Views
Hi, wapendwa nakusalimuni nyote kwa jina la Mungu muumba mbingu na dunia, natumai hamjambo hapo mlipo. Ukiwa umelala, upo kazini nk, nikukumbushe nyuma kidogo kuhusu mpendwa wako mliyependana...
1 Reactions
61 Replies
6K Views
1 - USILALE UKIWA UMEVAA SAA. Saa ya mkononi ina madhara iwapo utaivaa kwa muda mrefu, wanasayansi wanashauri sio sahihi kulala ukiwa umevaa Saa(ya mkononi) 2 - USILALE UMEVAA SIDILIA(wanawake...
17 Reactions
46 Replies
14K Views
Habari wanajamvi? Mke na mume asubuhi moja wamegombana ndani ya nyumba. Mwanaume anadai kwamba mkewe ndio mwenye kosa na anapaswa kumuomba msamaha. Mke hakuona ni issue kwake na hakuona haja ya...
6 Reactions
13 Replies
3K Views
Habari wanaJF, Umeoa na unaishi na mkeo mlie jaliwa naye watoto wawili ambaye mmoja yupo nje ya nchi anasoma,katika hali ambayo ni ya kawaida japo ngumu kuizoea unaambiwa mzazi wako wa kike...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Habarini wana jamvi, natumai muwazima. Miaka kadhaa iliyopita nilianza kumfatilia mdada mmoja ivi, kipindi iko mimi nipo chuo mwaka wa kwanza na yeye alikua amemaliza kidato cha nne. Sasa...
0 Reactions
176 Replies
18K Views
Yaan huyu mwanaume nimemmiss hadi nahisi kuzima jamani,sijui hata nifanyeje long distance inaniumiza,kwa vile nampenda hakuna jinsi japo ajue naumia jamani mi ni binadamu kha!Sio robot. Ngoja...
7 Reactions
204 Replies
17K Views
Ijumaa iliypita nilkua nmekaa na mdogo wangu wa kiume tunapiga stori akanambia hivi bro ukisikia mdogo wako shoga utamfanyeje,,?? Nikamuambia ntampiga sana na ntamchukia milele na kumkana pia...
0 Reactions
68 Replies
9K Views
Back
Top Bottom