Lumbi9
JF-Expert Member
- Oct 12, 2014
- 8,665
- 12,170
Wakuu za mchana,
Kwanza samahani kama hii inaweza kuwakwaza baadhi ya watu lakini sina mrengo huo.
Katika kuishi kwangu uswahilini nimekutana na mambo mengi lakini kuna hili moja ambalo bado sijajua undani wake labda matabibu na waliokula chumvi nyingi wanisaidie, nimewahi kusikia kuwa mtoto wa kiume akizaliwa na kitovu kikaangukia katika uume mtoto huyo atakuwa hanisi na tiba pekee ni endapo mama huyo atajua hali hiyo basi akubali kuingiliwa na mwanawe ili kumnusuru na hali hiyo, hayo ni mambo ambayo siyajui hata na natamani nipate ufumbuzi katika uzi huu kwani naamini, je ni kweli au ni misemo ambayo wazee wa zamani waliitumia wakiwa na maana fulani.
cc mshana jr Dark City @gergousmimi na wengineo
Kwanza samahani kama hii inaweza kuwakwaza baadhi ya watu lakini sina mrengo huo.
Katika kuishi kwangu uswahilini nimekutana na mambo mengi lakini kuna hili moja ambalo bado sijajua undani wake labda matabibu na waliokula chumvi nyingi wanisaidie, nimewahi kusikia kuwa mtoto wa kiume akizaliwa na kitovu kikaangukia katika uume mtoto huyo atakuwa hanisi na tiba pekee ni endapo mama huyo atajua hali hiyo basi akubali kuingiliwa na mwanawe ili kumnusuru na hali hiyo, hayo ni mambo ambayo siyajui hata na natamani nipate ufumbuzi katika uzi huu kwani naamini, je ni kweli au ni misemo ambayo wazee wa zamani waliitumia wakiwa na maana fulani.
cc mshana jr Dark City @gergousmimi na wengineo