Mrembo aliyetayari kuolewa

Mrembo aliyetayari kuolewa

onyx

JF-Expert Member
Joined
Mar 17, 2016
Posts
1,587
Reaction score
1,318
Ni mara yangu ya kwanza kutafuta mrembo aliyetayari kuolewa.

Vigezo;
Asiwe mfanyakazi sehemu yeyote
Maji ya kunde rangi yake
Mwembamba wastani
Asiwe na mtoto
Anayetokea mikoa ya kanda ya Pwani
Awe tayari kufunga ndoa wakati wowote
Umri 22-27

Karibuni kwa michango yenu
 
Mbona hujasema wewe una umri gani? Elimu yako kiwango gani? umejiajiri au kuajiriwa? uko vipi kimo chako na rangi yako? ila sharti la kwanza gumu kumeza, utakuwa unatoka znz wewe, lakin waznz siku hizi nao huwaachia wake zao wafanye kazi au wewe Mwalabu (Mwarabu)
 
Mbona hujasema wewe una umri gani? Elimu yako kiwango gani? umejiajiri au kuajiriwa? uko vipi kimo chako na rangi yako? ila sharti la kwanza gumu kumeza, utakuwa unatoka znz wewe, lakin waznz siku hizi nao huwaachia wake zao wafanye kazi au wewe Mwalabu (Mwarabu)
Ni kweli mi ni mtu wa pwani, ila atakayekuwa serious ni kunipm ndo ntamueleza yote uliyouliza hapo.Samahani kama ntakuwa nimekukwaza
 
Ni kweli mi ni mtu wa pwani, ila atakayekuwa serious ni kunipm ndo ntamueleza yote uliyouliza hapo.Samahani kama ntakuwa nimekukwaza
haya subiri wari watakuja muda si mrefu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom