Kibo10
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 11,277
- 8,859
Kapo ka hulka kamezuka siku hizi kwenye muundo wa njia za kuanzisha mahusiano.Wanawake wa leo si wale tuliowajuwa enzi zile.Kwanza wamekuwa wepesi kung'oleka kirahisi sana.Miaka ile papuchi ilisotewa kweli kweli.
Pili wengi wamefanya mapenzi yamekosa ladha yake halisi niijuwayo,Wanawake wengi sasa hivi hawasubiri kutongozwa,Wengi hujipendekeza kwa wanaume (Kujilengesha) na wakitupiwa nduano fasta washaitika kwa herufi kubwa"SAWA".
Haya ni maradhi,Na ndio uchangia mahusiano ya siku hizi hayadumu,Tulieni mtongozwe.Tuangaisheni angalau kidogo tujione nasi kuna kitu tulisotea.Hata hela ukizipata ghafla ghafla nazo uwezekano wa kuyenyuka kwa kasi ni mkubwa.
Ni tofauti na yule aliyezisotea zikaingia kidogo kidogo huwa zinadumu mfukoni.Ndivyo ilivyo hata kwenye PENZI likiwa la ghafla nalo hufa ghafla pia.
Badilini tabia mambo ya kujirahisisha na kujipendekeza kwa mwanaume ili akutongoze ni janga kuu kenyu mabinti wa kileo.
Raha ya Mapenzi kupendwa sio kujipendekeza.Ushauri wa bure badilini taabia.
Pili wengi wamefanya mapenzi yamekosa ladha yake halisi niijuwayo,Wanawake wengi sasa hivi hawasubiri kutongozwa,Wengi hujipendekeza kwa wanaume (Kujilengesha) na wakitupiwa nduano fasta washaitika kwa herufi kubwa"SAWA".
Haya ni maradhi,Na ndio uchangia mahusiano ya siku hizi hayadumu,Tulieni mtongozwe.Tuangaisheni angalau kidogo tujione nasi kuna kitu tulisotea.Hata hela ukizipata ghafla ghafla nazo uwezekano wa kuyenyuka kwa kasi ni mkubwa.
Ni tofauti na yule aliyezisotea zikaingia kidogo kidogo huwa zinadumu mfukoni.Ndivyo ilivyo hata kwenye PENZI likiwa la ghafla nalo hufa ghafla pia.
Badilini tabia mambo ya kujirahisisha na kujipendekeza kwa mwanaume ili akutongoze ni janga kuu kenyu mabinti wa kileo.
Raha ya Mapenzi kupendwa sio kujipendekeza.Ushauri wa bure badilini taabia.