Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Hili nime liobserve long time, popote ninapopishana na mdada,mmama wanapenda kuangalia chini ya kiuno cha mwanaume kwenye boxer. Wapo wanaotoa macho kodo! Kama fundi saa! Wengine wanaangalia kwa...
9 Reactions
119 Replies
26K Views
Wadau nawasalimu, Kuna mtoto nilizaa na binti mmoja wakati makazi yangu yakiwa Dar, kwa sasa ana miaka 7 na darasa la pili.Nilipoondoka Dar na kuamia mwanza kwa shughuli zangu binafsi niliamua...
1 Reactions
124 Replies
14K Views
Yesterday i went to a birthday. And my ooh my. Despite the good time i had; i got blown away when a daddy stood up with an acoustic guitar and covered a song Go Gentle by Robbie Williams. Every...
3 Reactions
25 Replies
2K Views
Ewe mama, ewe baba kama hakuna tatizo la msingi hakikisha mwanao ananyonya maziwa ya mama tu miezi sita ya mwanzo. Hii ni kwa manufaa ya afya yake ya sasa na ya baadae. Tuache mazoea, eti kisa...
7 Reactions
23 Replies
6K Views
Habarini wadau...ninataka kuoa binti niliyempita miaka 15...kuna ubaya wowote?mi nina miaka 38 na yeye 23.Asanteni
1 Reactions
50 Replies
6K Views
Habari, Natumai mko poa wana MMU, Nimekuwa nikipitia nyuzi mbalimbali humu za watu mbalimbali na wakipatiwa ushauri wa hapa na pale,tuje kwenye mada,ishu iko hivi; Kuna msichana mmoja ninaishi...
0 Reactions
40 Replies
5K Views
Hii tabia ambayo inafanywa na hawa dada zetu huwa inatukera sisi wanaume. Wapo wanaume baadhi wanaougulia moyoni kwa kuogopa kuonekana ni wa aina fulani. Ni hii tabia ya kuhamishia matatizo ya...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
AMRI NANE (8) KWA WAPENDA OFA 1. Uwe na heshima kwa anayekununulia 2. Toa saalam kwa anayetoa ofa kabla hajaketi 3. Uwe ndio mchekeshaji wa kikao 4. Usithubutu kumkatisha kitu yeye akiwa...
2 Reactions
17 Replies
3K Views
Je, Unasumbuka juu ya penzi? Unakosa mahala sahihi pa kuweka penzi lako? Mpenzi au mume wako hatulii? Je, Unataka kumiliki na kuwa na mamlak juu ya ndoa yako? Kama ndiyo, fuatana nami...
1 Reactions
23 Replies
5K Views
Habari wana jamii forum, LEO nataka niwape somo ambalo pengine wengi wenu hamkubahatika kufahamu. Katika urithishaji wa kumbukumbu kwa mtoto anayezaliwa limekua ni jambo ambalo kwa...
0 Reactions
17 Replies
3K Views
Habari zenu wanaJF. Eti ni ukweli gani mgumu(hardest truth) ambao ushawahi kuambiwa either kwenye mahusiano, eneo la kazi, shule, mtaani n.k.? I mean jambo ambalo uliambiwa likawa gumu kulipokea...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Si mara yangu ya kwanza wala ya pili kujitokeza katika jukwaa hili, sijafanikiwa bado natafuta.. Natafuta msichana anayejitambua, awe matured! awe mkweli mcha Mungu wa kweli, awe at least form...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nilijua wanawake ndo huwa wanadanganya umri (na sielewi kwanini) Huyu mkaka nilivyokutana naye alikuwa na miaka 36. Muda ukaenda akawa na 34. Sasa hivi ana 32. Ukiuliza anapotezea anasema tu...
1 Reactions
61 Replies
6K Views
Ifuatayo ni hadithi kuhusu uvumilivu katika ndoa na mahusiano. Hakuna haja ya kugombana kwa kimahusiano. Kuwa tayari kusamehe kwani hiyo ndio siri ya Ndoa kudumu kwa muda mrefu. Soma na...
16 Reactions
21 Replies
12K Views
WanaMMU leo mnisamehe... nikiwa kwenye browsing ziszo na maana nikakutana na semi moja inasema "utamjua mwanamke mmbeya - midomo ya ke myeusiiiiiiii" Hawa jamaa huwa wanafikiria nini?? AT FT...
3 Reactions
36 Replies
13K Views
Wewe sasa ni mwanaume. Kuanzia kesho utakuwa na mwanamke mwigine wa maisha yako. Mpishi mwingine na mtu mwingine wa kushare nae siri zako, sitakuwa mimi tena. Mpende mwanamke wako pengine kuliko...
14 Reactions
15 Replies
3K Views
Wiki ya pasaka nina likizo na nilikua nimepanga nisafiri mbeya kwenda kumwona mtoto niliezaa na mwanamke mwingine. Kwani kipindi naishi na huyu nilie nae tulikaa Muda bila kupata mtoto nilitoka...
2 Reactions
60 Replies
6K Views
Unakuta jitu lina minyege yake likifika ndani haliulizi linavua nguo na kuanza mambo.Maandalizi kabla ya tendo ndiyo mpango.Uko ndani na kipenzi chako anza kupiga stori za mahaba. Msifie uzuri...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Yaani mimi, mwanaume kama hajui kupika kiukweli nitamruka futi 3,000 kutoka usawa wa bahari. Yaani utapata boy hajui kuwasha hata sigara, achilia jiko, yaani kama ni hajui kupika pita hivi...
3 Reactions
216 Replies
14K Views
Najua hii italeta sekeseke, ila ningependa kila mmoja atoe maoni yake. Nini msimamo wake kama ingetokea hali hii, soma story hii na andika maoni yako tu. Siku moja katika darasa la jioni la watu...
9 Reactions
104 Replies
10K Views
Back
Top Bottom