Hili nime liobserve long time, popote ninapopishana na mdada,mmama wanapenda kuangalia chini ya kiuno cha mwanaume kwenye boxer.
Wapo wanaotoa macho kodo! Kama fundi saa! Wengine wanaangalia kwa...
Wadau nawasalimu,
Kuna mtoto nilizaa na binti mmoja wakati makazi yangu yakiwa Dar, kwa sasa ana miaka 7 na darasa la pili.Nilipoondoka Dar na kuamia mwanza kwa shughuli zangu binafsi niliamua...
Yesterday i went to a birthday.
And my ooh my. Despite the good time i had; i got blown away when a daddy stood up with an acoustic guitar and covered a song Go Gentle by Robbie Williams.
Every...
Ewe mama, ewe baba kama hakuna tatizo la msingi hakikisha mwanao ananyonya maziwa ya mama tu miezi sita ya mwanzo. Hii ni kwa manufaa ya afya yake ya sasa na ya baadae. Tuache mazoea, eti kisa...
Habari,
Natumai mko poa wana MMU,
Nimekuwa nikipitia nyuzi mbalimbali humu za watu mbalimbali na wakipatiwa ushauri wa hapa na pale,tuje kwenye mada,ishu iko hivi;
Kuna msichana mmoja ninaishi...
Hii tabia ambayo inafanywa na hawa dada zetu huwa inatukera sisi wanaume. Wapo wanaume baadhi wanaougulia moyoni kwa kuogopa kuonekana ni wa aina fulani.
Ni hii tabia ya kuhamishia matatizo ya...
AMRI NANE (8) KWA WAPENDA OFA
1. Uwe na heshima kwa anayekununulia
2. Toa saalam kwa anayetoa ofa kabla hajaketi
3. Uwe ndio mchekeshaji wa kikao
4. Usithubutu kumkatisha kitu yeye akiwa...
Je, Unasumbuka juu ya penzi?
Unakosa mahala sahihi pa kuweka penzi lako?
Mpenzi au mume wako hatulii?
Je, Unataka kumiliki na kuwa na mamlak juu ya ndoa yako?
Kama ndiyo, fuatana nami...
Habari wana jamii forum, LEO nataka niwape somo ambalo pengine wengi wenu hamkubahatika kufahamu. Katika urithishaji wa kumbukumbu kwa mtoto anayezaliwa limekua ni jambo ambalo kwa...
Habari zenu wanaJF. Eti ni ukweli gani mgumu(hardest truth) ambao ushawahi kuambiwa either kwenye mahusiano, eneo la kazi, shule, mtaani n.k.? I mean jambo ambalo uliambiwa likawa gumu kulipokea...
Si mara yangu ya kwanza wala ya pili kujitokeza katika jukwaa hili, sijafanikiwa bado natafuta..
Natafuta msichana anayejitambua, awe matured! awe mkweli mcha Mungu wa kweli, awe at least form...
Nilijua wanawake ndo huwa wanadanganya umri (na sielewi kwanini)
Huyu mkaka nilivyokutana naye alikuwa na miaka 36. Muda ukaenda akawa na 34. Sasa hivi ana 32.
Ukiuliza anapotezea anasema tu...
Ifuatayo ni hadithi kuhusu uvumilivu katika ndoa na mahusiano. Hakuna haja ya kugombana kwa kimahusiano. Kuwa tayari kusamehe kwani hiyo ndio siri ya Ndoa kudumu kwa muda mrefu.
Soma na...
WanaMMU leo mnisamehe... nikiwa kwenye browsing ziszo na maana nikakutana na semi moja inasema "utamjua mwanamke mmbeya - midomo ya ke myeusiiiiiiii"
Hawa jamaa huwa wanafikiria nini??
AT FT...
Wewe sasa ni mwanaume. Kuanzia kesho utakuwa na mwanamke mwigine wa maisha yako. Mpishi mwingine na mtu mwingine wa kushare nae siri zako, sitakuwa mimi tena.
Mpende mwanamke wako pengine kuliko...
Wiki ya pasaka nina likizo na nilikua nimepanga nisafiri mbeya kwenda kumwona mtoto niliezaa na mwanamke mwingine.
Kwani kipindi naishi na huyu nilie nae tulikaa Muda bila kupata mtoto nilitoka...
Unakuta jitu lina minyege yake likifika ndani haliulizi linavua nguo na kuanza mambo.Maandalizi kabla ya tendo ndiyo mpango.Uko ndani na kipenzi chako anza kupiga stori za mahaba.
Msifie uzuri...
Yaani mimi, mwanaume kama hajui kupika kiukweli nitamruka futi 3,000 kutoka usawa wa bahari.
Yaani utapata boy hajui kuwasha hata sigara, achilia jiko, yaani kama ni hajui kupika pita hivi...
Najua hii italeta sekeseke, ila ningependa kila mmoja atoe maoni yake. Nini msimamo wake kama ingetokea hali hii, soma story hii na andika maoni yako tu.
Siku moja katika darasa la jioni la watu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.