Nimekumiss hadi nahisi kuumwa jamani

Nimekumiss hadi nahisi kuumwa jamani

Dejane

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2014
Posts
51,087
Reaction score
72,502
Yaan huyu mwanaume nimemmiss hadi nahisi kuzima jamani,sijui hata nifanyeje long distance inaniumiza,kwa vile nampenda hakuna jinsi japo ajue naumia jamani mi ni binadamu kha!Sio robot. Ngoja nijilalie mie.

Nawatakia usiku mwema.
 
Mfate tu. Ila pia,unashauriwa utumie dawa maumivu yakizidi muone daktari. Tafuta kakijana kengine kawe dawa yako huku unamsubiria daktari. Pole na ugua vyema na dawa ikusaidie
 
Dinazarde kumbe wewe ni jinsia ya kike?? Woii nkajuaga mvulana

Pole kwa long distance relationship
 
Yaan huyu mwanaume nimemmiss hadi nahisi kuzima jamani,sijui hata nifanyeje long distance inaniumiza ,kwa vile nampenda hakuna jinsi japo ajue naumia jamani mi ni binadamu kha!!!!sio robot
ngoja nijilalie mie
nawatakia usiku mwema

Pole sana mpendwa, kuna mawili vumilia ukishndwa ndo hivyo kimya kimya akili ikae sawa.
 
Mfate tu. Ila pia,unashauriwa utumie dawa maumivu yakizidi muone daktari. Tafuta kakijana kengine kawe dawa yako huku unamsubiria daktari. Pole na ugua vyema na dawa ikusaidie

dawa gani nimezee
 
Mimi hiyo longi disitensi tredi imeishanishinda siku nyingi nikiwa mbali lazima nipinde kushoto.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom