Ijumaa iliypita nilkua nmekaa na mdogo wangu wa kiume tunapiga stori akanambia hivi bro ukisikia mdogo wako shoga utamfanyeje,,?? Nikamuambia ntampiga sana na ntamchukia milele na kumkana pia...
Nimeikuta hii Yahoo, nikamua kuitafsiri tu mjue dunia ina mambo yake.
Baada ya kupoteza watoto wao saba kwenye janga baya na kubwa sana la moto, miaka 5 iliyopita, Janelle na Ted Clouse...
Kuna dhana kwamba hawa wanawake wana nyota zao, kwamba unaweza ukawa na msichana flani alafu ukakuta mipango inaenda vibaya sana na unaweza ukawa na msichana mwengine mambo yakanyooka hadi raha...
Ukitaka kujihadhari na aina za mademu hawa je ni tahadhari ipi nichukue,maana wengi mnadai ni wepesi kukubali ofa mitoko ya pombe na pub za uswahilini ,wakati kwa upande wangu sipendi type...
Hapa bi mdada mmoja akimwomba Dina Marios amsetie kwa millard Ayo endelea ujioneee
"Da Dina kwanza naomba radhi kuwa huenda nayoandika sio mahali pake, pili naomba kuuliza na unisaidie mie ni...
Wiki iliyopita nikiangalia kipindi cha Television na mama yangu, Mtangazaji akawa anasimilia kisa cha dada mmoja kumwacha mume wake na kurudi kwao kwa kisa cha kukuta meseji ya mapenzi kwenye Simu...
Habari wandugu
Nimeona in vyema tuambiane kuhusu tabia za hawa wenzetu ,Siku hizi wadada wengi hasa wale wa rika la kuanzia miaka 25 kwenda juu asilimia 90 hawana mapenzi ya kweli hata uwapende...
Salaaam kwenu wakuu,
Mimi ni kijana, namshangaa shemeji yangu huyu wa kike amekuwa akinichonganisha na mke wangu mara kadhaa.
Baada ya kumuoa dada yeke akahamia kwangu wakati anasoma chuo kimoja...
Habari zenu wadau,
Mi swali langu ni kuwa kwanini hawa watu wamekuwa wengi sikuhizi kisa nini na pia adi nchi za ulaya wanalazimisha nchi zetu ziuhalalishe.
Swali, ni nini kinacho sababisha adi...
WHO SAID LADIES ARE MORE IMPORTANT THAN MEN,IF SO ANSWER
THESE QUESTIONS FOR ME?
1. Can you spell madam without Adam?
2. Or woman without man?
3. 0r maybe you can spell female without male...
Habari wanajamiiForums, natumaini mu wazima wa afya.
Hii kitu nimeikuta sehemu sasa nikaona niilete hapa tulijadili.
Ukweli kuhusu asilimia kubwa ya wanawake;
1. Wanaamini katika kutunza akiba...
Habarini wanaJF,
Hivi unapokea simu unaitwa polisi unaelezwa mme/mke amekamatwa na yupo lokapu unawahi kujua msaada gani ili atoke unapofika kuuliza kosa lake unaambiwa kafumani na mme/mke wa mtu...
Sio mara chache nimeshasikia kuwa kuna baadhi ya wanawake fulani wana neema sana. Unapowaoa basi baraka zinamiminika na mafanikio makubwa unayaona. Sote tunafahamu karibu kila mafanikio ya baadhi...
Umepata bwana, umempenda kweli kweli na umemlalamikia sana eti kwanini hakupeleki kwa wazazi wake kukutambulisha, jamaa akagoma sana mwishowe akaona isiwe kesi akakupeleka.
Wewe badala hata utake...
NJIA 59 ZA KUMFURAHISHA MKEO
1. Mfanye ahisi kuwa yuko salama; acha kuwa mbabe na mgomvi!
2. Unapoingia nyumbani ‘toa salamu' Salamu humfukuza shetani nyumbani kwako!
3. Mke ni mfano wa chombo...
Wasalam!
Kama mnavyoona hali ya hewa imebadilika ni mvua kila kona tahadhari tu wandugu mkipita pale sinza mori mfunge vioo na milango vya magari yenu wale wadada wanaosimama pale ni wezi...
Nakumbuka enzi nipo kijana mdogo nilikuwa napenda sana kuwa na wasichana wa jirani, shuleni, kanisani nk, ila wengi walikuwa wananitolea nje ila kwa sasa baada ya wao kuona mambo yangu yapo safi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.