Katika suala la uhusiano wa kimapenzi, hakuna kanuni maalumu ambayo itakupa jibu la moja kwa moja kwamba, uhusiano uliokuwapo utadumu milele au la. Bali unapokuwa kwenye uhusiano huo njia pekee...
Naumia sana akili yangu toka nilipogundua kuwa upande wa mke wangu karibia kila familia yao kuna kichaa mmoja, kuanzia kwao mdogo wake wa mwisho ni kichaa, mama yake mkubwa ana mtoto wa kwanza...
Hali zenu wana Jamii forum naombeni ushauri wenu,
Mimi ni msichana wa miaka 28 nina degree Bcom,boyfriend wangu ana miaka 34 ni mwalimu serikalini.tulipoanza uhusiano nilikua mpweke tukaingia...
Ni binti mmoja wa mtaa wa pili karibia apa nnapokaa.Binti mwenyewe bado ni mbichi kabisa lakini kaolewa na mzee mvi zimeanza kumjaa kichwani.Huyu binti ni mama wa nyumbani lakini mumewe...
Habari zenu wanajamvi,
Hii kauli hutumiwa na wadada wanaoyaweza majambozi, mwanamke anapojituma sikuzote mwanaume hufanya juu chini kuhakikisha anamhudumia mpenzi kwa hali na mali.
Wewe unaonaje?
Mimi namfundisha yupo form two ni mzuri jamani nyie anapenda kuwa close na mimi nikiwa nafundisha ananiangalia usoni mda wote yaani hana akili ata za darasani.
Aliniandikia barua eti kananipenda...
Habari za jumapili wanajamvi,
Hakika kama unaishi na mwanamke kuna raha yake na karaha zake.Nijikite kwenye kero. Mfano mwanamke anataka kila unapokwenda muongozane.
Huu kama ni upendo...
Kuna wanawake wengine au wasichana bila hata kujua, wamejikuta wakipoteza wanaume wanaowapenda katika maisha yao.
Kwa sehemu kubwa, wanawake huwa hawanatafuti habari, taarifa au yanayowahusu...
Kipi bora na salama kwa afya kati ya kupiga punyeto au kununua malaya ovyo hasa unapokuwa mbali na mpenzi wako kwa muda mrefu kama miezi sita hadi mwaka.
Tushauriane hii imemtokea jamaa yangu...
Amedondoka huko kwenye kanisa la kilokole akiwa mtupu na amekiri kuwa yeye ni kiongozi wa kundi lao.
Jambo hili limeniletea mfadhaiko na kuniathiri kisaikolojia.
Ni miaka mitatu sasa nimejaribu ku control hisia zangu, lakini nimeshindwa nifanyeje rafiki wa mpenzi wangu atanionaje na je mpenzi wangu niliyemuahidi ndoa itakuaje? This is killing me...
Habari za usiku wadau,
Kwa mara ya kwanza najitokeza kuomba ushauri kwenye jukwaa hili.
Mimi ni kijana ninaekaribia miaka thelathini ninae mpenzi wangu ambae nilihisi kumpenda sana mwanzoni...
Wadau habari ya wakati huu,wana JF wenzangu napenda ushauri wenu juu ya hili,
Nina mchumba ambaye tuko nae katika mahusiano kwa muda sasa, tumeshapanga mengi, kilichobaki ni taratibu za kuishi...
Kuna dada mmoja nilikua katika mahusiano nae ya mda mfupi tu na kusema kweli nilimgegeda mara moja tu.Ila wakati namfukuzia nakiri nilifanya kosa kubwa sana.Nilimdangnya kua bado naishi mwenyewe...
Poleni wadau na majukumu.
Naomba tujadili kidogo umuhimu wa marafiki kwenye mahusiano yenu.Kuna faida au hasara ya kuwashirikisha baadhi ya mambo yenu kama kutatua matatizo yenu pindi mkigombana...
Nilikuwa katika mahusiano na msichana wa kidato cha kwanza hapo mimi nilikuwa kidato cha pili katika shule hihyo but alinipenda sana na mahusiano yetu yalijulikana shule nzima lakini nimewahi...
Heshima kwenu Jf,
Kutokana na hali na mienendo ya mahusiano ya sasa kutokuwa na uaminifu ndani yake,aidha uhusiano wa kimapenzi au ndani ya ndoa.Je, kuna umuhimu wowote wa kumjua X wa...
Wakuu,
Mwagikeni hapa eti ni wapi zaidi kati ya michepuko au kwa yule ulie nae kwenye ndoa? Yupi anakuchanganya na kwanini? Mwenye uzoefu na hii mambo atujuze.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.