mujimali
Senior Member
- Jun 21, 2013
- 190
- 116
Habari zenu wanaJF. Eti ni ukweli gani mgumu(hardest truth) ambao ushawahi kuambiwa either kwenye mahusiano, eneo la kazi, shule, mtaani n.k.? I mean jambo ambalo uliambiwa likawa gumu kulipokea au hata kulisahau pia, lakini mwisho wa siku ilibidi ukubaliane nalo kwa sababu ndo ukweli wenyewe.
Asanteni.
Asanteni.