Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.9K
Posts
231.7K
Threads
7.9K
Posts
231.7K

On JF:

Mdau wa MMU, Ni imani yangu umeyaanza vyema mapumziko marefu ya mwishoni mwa wiki. Ninakuja kwenu kuomba ushauri kwa tatizo linalo nikabili. Mnamo wiki iliyopita niliamua kwenda kutembea...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Habari wadau, Naomba niulize, hivi kwanini watu wakimya, au wengine hutumia lugha " wapole" wanakuwa regarded kama "silent killers".Juzi nilikuwa kijiweni, kuna kijana mmoja ambae ukweli ni...
1 Reactions
22 Replies
6K Views
Salamu kwenu wapendwa? Fikiria unatokea kumpenda mdada/mkaka unamkuta tayari ana frustration za kutendwa/ kutapeliwa kimapenzi na matapeli wa mapenzi, Je unaweza kumrejeshea upendo wa awali na...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Tulipendana sana,nikakuita "darling" ukaitika "yes honey" Tulifanyiana mengi mazuri. Leo mpenzi umepata mwingine,nimekubembeleza usiniache umekataa,sasa hunitaki tena. Mara matusi...
3 Reactions
86 Replies
8K Views
Nimeona watu wengi ambao wapo kwenye mahusiano wakitofautiana. Lakini cha kushangaza ni hiki cha kipigo hasa kwa wadada, wanapigwa na wapenzi wao. Nikakajiuliza kama mahusiano tu unapigwa hata...
0 Reactions
28 Replies
5K Views
Ulimi ni kiungo kidogo sana katika mwili wa binadamu,ila unapotumiwa vibaya unaweza leta madhara ambayo pengine usingeyategemea mfano watu kuuana, kupigana n.k. Ulimi huu huu unaweza enda mbali...
1 Reactions
61 Replies
10K Views
Hii stori ni ya kweli jamani, hataki niwe na demu ,kila nikipata demu sikai nae ,sasa niendelee na huyu jini mahaba au nifanyeje? Ushauri jamani sio mzaha na hawa jini mahaba hawana magonjwa...
1 Reactions
149 Replies
36K Views
Jamani aliniita majina mengi na kejeli nyingi mambo yangu yalipoyumba..Akaamua kuniach. Akadakwa na deveva tax Majuzi kaniona nimeweka kishoka gari ya Ofisi....Bahati mbaya kaja ofisini kanikuta...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Mkiwa kwenye mahusiano bahati mbaya hayakustawi lakini hapo katikati mlipeana vitu/pesa je mahusiano yakiwa yamekufa lazima mdaiane? Je hii tabia ipo kwa akina dada au akina kaka?.
1 Reactions
25 Replies
4K Views
Mimi nina uhusiana wa kimapenzi na housegirl wangu.Siku moja tulikuwa faragha, tukifanya mapenzi,baada ya kumaliza kufanya mapenzi nilimsifia sana na kumwambia penzi alilonipa ni tamu sana kuliko...
1 Reactions
190 Replies
22K Views
Hey guys... Well, kwa wale wapenzi mliokuwa mkiikubali hadithi ya zawadi napenda kuwataarifu kwamba karibu inaisha na hii ni sehemu ya muendelezo wake. Kwa ambao hamkuwahi kusoma mwanzo...
13 Reactions
16 Replies
4K Views
Kuna jamaa aliwahi niambia kuwa ukiona mwanamke ametoka matembezi na kufikia bafuni kufua nguo yake ya ndani jua amechepuka je hii inaukweli? Wanaojua kuwa kuna ukweli juu ya hili watujulishe.
2 Reactions
42 Replies
11K Views
Amani, upendo na mshikamano kwenu wanajamvi, Ilikua ni kawaida yangu kila inapofika asubuhi mida ya kati ya saa 10 mpaka saa 12 dushe langu lazima lipandishe mnara.Na hii ni hali ambayo kila...
1 Reactions
43 Replies
7K Views
Halina mjadala na lipo wazi kuwa wengi wetu huwa hatupendi sana kuongozana na wake zetu, haswa tunapokuwa tunatembea barabarani na kinachofanyika huwa tunawatanguliza tu utafikiri mpira wa miguu...
1 Reactions
39 Replies
6K Views
Unakuta mwanamke, 1. Kucha sio zake. 2. Nywele sio zake. 3. Kope sio zake. 4. Midomo sio rangi yake. 5 Ngozi sio ile Halisi ya Kwake. 6. Wengine makalio sio yake . 7. Maziwa, sio...
10 Reactions
65 Replies
8K Views
Dada umetongozwa January 1 unakuja kutoa jibu April 4,huo ni uzamani na hautakiwi kuwepo kwenye hii karne yetu ya 21.Ulitakiwa uwe kwenye karne ya 18 au 19 hivi. Wanawake wa karne ya 21...
1 Reactions
38 Replies
4K Views
Habari, Naombeni mnisaidie ni namna gani nitamuomba msamaha huyu rafiki yangu, nimemkosea kwa kweli wala sio mara moja sasa wakati huu kakataa kata kata kwamba atachukua uamuzi ambao mimi na yeye...
1 Reactions
65 Replies
8K Views
SIFA ZA MWANAMKE (SIFA NJEMA) 1. Awe mwema 2. Mwenye hekima 3. Mwenye adabu 4. Mwenye busara 5. Awe mkarimu 6. Msafi (mwili na nyumba) 7. Mpole 8. Mwenye huruma 9. Mdadisi 10. Mvumilivu 11...
0 Reactions
1 Replies
8K Views
Sex has turned many ladies into a mystery of thinking what they feel for a particular guy is true love.You meet a guy, he takes you out; He had a great sex with you, it was like heaven to you...
16 Reactions
38 Replies
5K Views
Habar zenu wanajamvi wenzangu, nimekuwa kimya kwa muda sasa kwa sababu ya majukumu. ushauri wenu ni muhimu sana kwangu. Ni mwezi mzima umepita tangu nikutane kimwili na wangu laazizi. tatizo ni...
0 Reactions
21 Replies
6K Views
Back
Top Bottom