Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Naomba msaada wa kiafya. Kuna tatizo endapo unafanya mapenzi na mke wako mara nne tu kwa mwaka. Hili tatizo ninalo mimi ni msalaba nilionao kwa mke wangu ni mgumu wa kutoa penzi. Kila siku...
3 Reactions
106 Replies
14K Views
Hahaha! Hivi nyie baba zetu mnashindwa kabisa kuvumilia mkeo akijifungua lazima uchepuke? Huoni raha kaongeza baraka kwenye familia wewe full kufanya mapenzi na michepuko.
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Jamani mwanaume unatia aibu romans hauwezi, kazi nayo huwezi,ukiingia dakika sifuri chali.Mapenzi ni raha na sio karaha ya kuchafuana kwa bao la dakika sifuri, khaaa! Stukeni jamani.
26 Reactions
417 Replies
61K Views
Wapo mtakaoniita mbaguzi ila ukweli utabaki nyumbani ni nyumbani lazima upapatie kipaumbele. Kumekuwa na wimbi kubwa la vijana wa kisukuma kuoa wanawake wa makabila mengine na kutupilia mbali...
4 Reactions
107 Replies
22K Views
Wakuu, Nahitaji msaada wenu wa mawazo. Hapa ni kwamba wife ameanza kufanya mazoezi makali ya kungfuu na judo karate mpaka ananitishia amani mpaka nafikiria kusepa zangu na kumuacha, lakini...
3 Reactions
42 Replies
6K Views
Wataalamu huwa wanashauri njia bora ya kuepusha balaa kunapokuwa na sexual tension kati ya watu wawili ni ku avoid kukutana....sasa najiuliza what if huwezi kuepuka kuonana na mtu huyo, na tayari...
9 Reactions
100 Replies
10K Views
Baada ya mwezi kupita mimi na wife tukiwa tumetengana nilipigiwa simu na Afande flan mwenye cheo cha Inspector na kuniomba nifike Kesho yake saa nne hasubui, bila kuchelewa nilifika kumbe wife...
2 Reactions
48 Replies
5K Views
Kumekuwa na tabia ya baadhi ya watu wa kabila moja hasa wanapokutana kwenye mkoa mwingine kuitana kaka/dada. Hii inakaaje?
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Hey hey good people, Leo ningependa tujadiliane kuhusu usaliti kwa njia ya mtandao na kanuni zipi ambazo zinaweza kutumika kuashiria usaliti kwa njia hio. Kama tunavyotambua usaliti upo katika...
8 Reactions
36 Replies
5K Views
Habarini, Hivi mwanamke anapokutosa kila apatapo kazi na kurudiana na wewe kila anapopigwa chini maana yake ni nini? Kwa ufupi mimi nilianza mahusiano ya karibu na dada mmoja tangu tupo chuoni...
0 Reactions
45 Replies
5K Views
KUPIGWA, kubakwa na msururu wa wanaume bila kupata chochote ni baadhi tu ya madhila yanayowakumba wasichana na wanawake wanaofanya biashara ya ukahaba katika mitaa mbalimbali ya jiji la Dar es...
0 Reactions
8 Replies
12K Views
Huu ni utafiti tuliofanya mi na rafiki zangu kadhaa,whether ukatae au ukubali ila ukweli utabaki ndio huu na nimeandika kitu nilicho na imani nacho na nakijua. Nimefanya mapenzi na wanawake wengi...
4 Reactions
64 Replies
10K Views
Ile misemo mizuri na mitamu kama asali kuhusu ndoa kwangu ni kama hadithi fulani hivi. Wakati naingia kwenye mahusiano ya ndoa nilikuwa very optimistic, sasa hivi nimenywea, sina hamu tena. Mwaka...
6 Reactions
161 Replies
19K Views
Nimefuatilia sana msichana akishaingi chuo tu wanajiona matawi sana yani wananata sana ukitaka tu kumtongoza ni shida, appointment zake ni viwanja vikubwa kubwa alafu hataki mpaka umfuate na gari...
5 Reactions
195 Replies
16K Views
SEVEN KEY FACTORS TO KNOW IF A WOMAN IS GOOD IN BED (A MUST READ) One of the biggest let downs for a guy is to find that the girl you have been chasing for months is a total let down in bed and...
1 Reactions
13 Replies
10K Views
Kwanza haijawahi kunitokea,huu ni ukweli.Alivyoniambia nilihisi miguu ikilegea! Nilikutana na dada huyu akaniambia ni Mkenya. . . Akaniuliza kama ni mwenyeji hapa Mwanza nikamwambia ndio...
7 Reactions
185 Replies
24K Views
Ukichekewa na mashosti wake kama hivi, basi ujue umelamba dume.......! Wanasaikolojia wakiongozwa na mwanasaikolojia Benedict Jones wamegundua kwamba, mwanamke akitaka kupima uzuri wa mwanaume...
13 Reactions
99 Replies
38K Views
Nina msichana wa kazi anayemsaidi mama Ngina shughuli za nyumbani, tumeishi naye kwa takriban miezi mitatu sasa, ni binti wa miaka 16. Lakini tangu aje amekuwa akisumbuliwa na maumivu makali sana...
5 Reactions
214 Replies
21K Views
Wakati matangazo ya kuongeza nguvu za kiume na ukubwa wa uume yakiongezeka Tanzania. kumbeni tatizo hili ni dead serious kwani wanaume wa Tanzania hatumo katika top twenty ya nchi zinazoongoza...
6 Reactions
324 Replies
43K Views
Back
Top Bottom