Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Kumekuwa na tabia ya baadhi ya watu wa kabila moja hasa wanapokutana kwenye mkoa mwingine kuitana kaka/dada. Hii inakaaje?
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Hey hey good people, Leo ningependa tujadiliane kuhusu usaliti kwa njia ya mtandao na kanuni zipi ambazo zinaweza kutumika kuashiria usaliti kwa njia hio. Kama tunavyotambua usaliti upo katika...
8 Reactions
36 Replies
5K Views
Habarini, Hivi mwanamke anapokutosa kila apatapo kazi na kurudiana na wewe kila anapopigwa chini maana yake ni nini? Kwa ufupi mimi nilianza mahusiano ya karibu na dada mmoja tangu tupo chuoni...
0 Reactions
45 Replies
5K Views
KUPIGWA, kubakwa na msururu wa wanaume bila kupata chochote ni baadhi tu ya madhila yanayowakumba wasichana na wanawake wanaofanya biashara ya ukahaba katika mitaa mbalimbali ya jiji la Dar es...
0 Reactions
8 Replies
12K Views
Huu ni utafiti tuliofanya mi na rafiki zangu kadhaa,whether ukatae au ukubali ila ukweli utabaki ndio huu na nimeandika kitu nilicho na imani nacho na nakijua. Nimefanya mapenzi na wanawake wengi...
4 Reactions
64 Replies
10K Views
Ile misemo mizuri na mitamu kama asali kuhusu ndoa kwangu ni kama hadithi fulani hivi. Wakati naingia kwenye mahusiano ya ndoa nilikuwa very optimistic, sasa hivi nimenywea, sina hamu tena. Mwaka...
6 Reactions
161 Replies
19K Views
Nimefuatilia sana msichana akishaingi chuo tu wanajiona matawi sana yani wananata sana ukitaka tu kumtongoza ni shida, appointment zake ni viwanja vikubwa kubwa alafu hataki mpaka umfuate na gari...
5 Reactions
195 Replies
16K Views
SEVEN KEY FACTORS TO KNOW IF A WOMAN IS GOOD IN BED (A MUST READ) One of the biggest let downs for a guy is to find that the girl you have been chasing for months is a total let down in bed and...
1 Reactions
13 Replies
10K Views
Kwanza haijawahi kunitokea,huu ni ukweli.Alivyoniambia nilihisi miguu ikilegea! Nilikutana na dada huyu akaniambia ni Mkenya. . . Akaniuliza kama ni mwenyeji hapa Mwanza nikamwambia ndio...
7 Reactions
185 Replies
24K Views
Ukichekewa na mashosti wake kama hivi, basi ujue umelamba dume.......! Wanasaikolojia wakiongozwa na mwanasaikolojia Benedict Jones wamegundua kwamba, mwanamke akitaka kupima uzuri wa mwanaume...
13 Reactions
99 Replies
38K Views
Nina msichana wa kazi anayemsaidi mama Ngina shughuli za nyumbani, tumeishi naye kwa takriban miezi mitatu sasa, ni binti wa miaka 16. Lakini tangu aje amekuwa akisumbuliwa na maumivu makali sana...
5 Reactions
214 Replies
21K Views
Wakati matangazo ya kuongeza nguvu za kiume na ukubwa wa uume yakiongezeka Tanzania. kumbeni tatizo hili ni dead serious kwani wanaume wa Tanzania hatumo katika top twenty ya nchi zinazoongoza...
6 Reactions
324 Replies
43K Views
Mimi ni kijana wa kitanzania mwenye umri wa miaka 22 natafuta mpenzi mwenye sifa zifuatazo. 1:Jina lake liwe linaanzia na herufi A,hapa kuna akina Asha,Angel,Amina,Anna,Asma,Aneth na wengineo(hii...
0 Reactions
98 Replies
8K Views
Wahenga walisema wastara hasumbuki,wambili havai moja.Nisiwachose,ni kuwa nimevumilia mengi kwa mwanaume huyu. Tuna mtoto mmoja wa kiume ana miezi mi5 sasa.mwanaume amekuwa hashikiki,hashauriki...
7 Reactions
177 Replies
17K Views
Mwaka uliopita tulikubaliana na baba watoto tukatambulishane kwa wazazi pande zote mbili, ili tukamilishe taratibu za kufunga ndoa, ila ghafla mwenzangu amebadili gia angani anasema inabidi...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Wakuu salaam, Samahani kwa nitakaowakwaza ila ni kwamba ninaelezea yanayonisibu na nahitaji ushauri wenu. Nina mpenzi wangu niko nae kwa miaka miwili mpaka sasa ila tumepitia changamoto nyingi...
0 Reactions
133 Replies
13K Views
Habari zenu wana mmu. naomba niwashirikishe katika tips hizi za kuyafanya matiti yako (ya mwanamke) kutolala... jaribu kusoma hizi step kwa makini na pia kuzifuata kama ikiwezekana.. **********...
5 Reactions
42 Replies
54K Views
Kwa wajuzi wa mambo hivi unawezaje kumgundua mpenzi aliyetoka kuchepuka.Najua wengi tutajifunza hapa na lengo hasa ni kupeana uzoefu na kupeana mbinu mbadala za kukabiliana na wachepukaji coz...
3 Reactions
67 Replies
12K Views
Mimi ni msichana Nna miaka 25,mkristo(RC),mchagga Nimeajiriwa Nina umbo la wastani,rangi(maji ya kunde) Makazi yangu ni dar Elimu-BA Nna mtoto mmoja Sifa: Awe na umri kati ya 29-35 Awe mkristo Awe...
3 Reactions
87 Replies
12K Views
Habar zenyuu MMU,i have been in relationship with certain cute girl almost miaka miwili sasa.Tmeishi vizuri tu bila tatizo although kutofautiana kupo in some days.To be honest,tulikuwa tunapendana...
1 Reactions
31 Replies
4K Views
Back
Top Bottom