Ophir iliingia Tanzania kwa mara ya kwanza Oktoba 2005, wakati iliposaini mkataba wa Makubaliano ya Kuchangia Uzalishaji (PSA) kwenye Kitalu namba 1 na kumiliki asilimia 80 ya hisa katika Kitalu...
DOGO JANJA NAE NI WA KUTUMBULIWA TU.
Akiwasilisha ripoti ya watumishi hewa, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda amesema katika mkoa wake baada ya kufanya uchunguzi kwa kushirikiana na...
SHUGHULI MBALIMBALI ZA RAIS MSTAAFU DKT JAKAYA MRISHO KIKWETE JIJINI WASHINGTON D.C
Rais Mstaafu Jakaya Mrisho Kikwete ameshirikia katika Kongamano la Kimataifa la Afya lijulikanalo kama World...
nashangaa mtu yupo serikalini na ajira yake anamsema mwananchi amemaliza shule au chuo anaambiwa ajishughulishe na kazi wakati hana lolote na pakuanzia.
serikali iwawezeshe watafanya kazi.
kwa...
Za asubuhi wadau..
Kiukweli hamna kitu kilikuwa kina nikera kama hiki kidudu kilikuwa kinaitwa service charge kwenye ununuaji wa umeme...
Niwapongeze tanesco kwa kufuta huyu mdudu... Leo...
CHAMA CHA ACT WAZALENDO
---------------------------------------------
KAMATI YA BUNGE NA SERIKALI ZA MITAA
TAARIFA MUHIMU KWA UMMA.
Ndugu wanahabari na watanzania kwa ujumla.
Mtakumbuka kwamba...
Tukiwa tunashangalia kufutwa kwa service charge kwa shirika la umeme Tanzania imefahamika kua shirika hilo sasa linavujia damu ndani kwa ndani huku likiponzwa kiutendaji kwa kuingiliwa...
Watanzania tu watu wa ajabu sana na hatuna tofauti na watoto wadogo,
Ccm imekaa madarakani miaka zaidi ya 50 na viongozi wake ni wale wale wanaotokana na mfump wa ccm. Toka enzi ya mkapa mpaka...
Sisi watanzania ni wajinga, lakini sisi sio wajinga siku zote, utatufanya wajinga kwa mda tu lakini hutatufanya wajinga watu wote na wakati wote.
Tutafakari kuona kwamba Harbinder Singh...
MBIVU na mbichi kuhusu ukweli wa mkataba kati ya Jeshi la Polisi na kampuni ya Lugumi Enterprises Limited wa ufungaji wa vifaa vya kuchukulia alama za vidole katika vituo vya polisi nchini...
Kufuatia ziara ya JPM Rwanda sasa madaktari wa moyo kutoka JKCI watakuwa wakienda Rwanda kufanya matibabu ya moyo wakisaidiana na madaktari wa Rwanda na washirika wao kutoka nchi mbalimbali...
Serikali ya Tanzania imetakiwa kushusha kiwango cha kodi kinachokatwa kwenye mishahara ya wafanyakazi sambamba na kupandisha kima cha chini cha mshahara kufikia 750,000 ili kuweza kuboresha maisha...
Vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) jijini Dar es Salaam vimeanza kufilisiwa na Serikali ya Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Mpango wa Serikali ya Rais John Magufuli kupoka vyanzo...
Rais Magufuli asema watumishi hewa wamejaa mpaka Ikulu, Ofisi ya Waziri mkuu, Majeshini etc.
Amuagiza Katibu mkuu kiongozi kuunda "task force" yenye ulinzi maalumu ku-deal na watumishi hewa.
10%...
Huwezi kuzungumzia mafanikio ya upatikanaji wa gesi kutoka Mnazi bay bila kuitaja Maurel and Prom Tanzania. Kampuni hiyo imechangia kwa kiasi kikubwa kupatikana kwa gesi hiyo ambayo tayari...
Habari zilizotufikia hivi punde kutoka Uganda katika kikao cha Makatibu Wakuu wa Kenya, Uganda na Tanzania kujadili mradi wa Bomba la mafuta ghafi kutoka Uganda.
Kikao hicho kiliisha Saa 6:30...
Balozi wa marekani akiwa na ujumbe wake leo wamekutana na viongozi wakuu wa serikali ya Tanzania na kuihakikishia nchi yetu kuwa wataendeleza uhusiano mwema kati ya nchi hizi mbili.
Akiongea...
Mh Anne Kilango Maleccela anasubiri kupangiwa kazi nyingine na Rais Dr Magufuli na huenda akapangiwa kazi nzuri zaidi ya kazi yake ya awali ya Ukuu wa Mkoa.
Kuna baadhi ya taarifa zinasema kwamba...
Neno la Leo: Kuna watu hawataki kuamini kabisa kati ya watu wawili ambao Watanzania walipewa wawachague kuwa viongozi wao kwa miaka mitano Magufuli alikuwa bora zaidi kuliko yule mwingine. Lakini...