Unaweza pia kurejea mada yangu ya Feb 9, 2016 ambayo nayo inaendana na maudhui ya leo. Mada ile inasema Swali la Ugomvi: Ni Kina Nani WAsiotaka Mafuguli Afanikiwe na Kwanini?
DOGO JANJA NAE NI WA KUTUMBULIWA TU.
Akiwasilisha ripoti ya watumishi hewa, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda amesema katika mkoa wake baada ya kufanya uchunguzi kwa kushirikiana na...
Rais Mstaafu Jakaya Mrisho Kikwete ameshirikia katika Kongamano la Kimataifa la Afya lijulikanalo kama World Health Congress lililofanyika jijini Washington D.C. tarehe 12 Machi, 2016. Katika...
1. Wewe ni waziri tena wa wizara ambayo kampuni uliyoianzisha wewe wana mahusiano ya kibiashara. Je huoni kwamba kuna mgongano wa kimaslahi?
2. Ikiwa wizara yako imetangaza tenda kampuni yangu...
Ndugu wana JF, kama kuna jambo litakalothibitisha dhamira ya ndani ya JPM katika kuchukua hatua za kiuwajibikaji ni issue ya lugumi ambayo ni kampuni imefanya kazi kwa karibu na kampuni ya infosy...
Ophir iliingia Tanzania kwa mara ya kwanza Oktoba 2005, wakati iliposaini mkataba wa Makubaliano ya Kuchangia Uzalishaji (PSA) kwenye Kitalu namba 1 na kumiliki asilimia 80 ya hisa katika Kitalu...
DOGO JANJA NAE NI WA KUTUMBULIWA TU.
Akiwasilisha ripoti ya watumishi hewa, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda amesema katika mkoa wake baada ya kufanya uchunguzi kwa kushirikiana na...
SHUGHULI MBALIMBALI ZA RAIS MSTAAFU DKT JAKAYA MRISHO KIKWETE JIJINI WASHINGTON D.C
Rais Mstaafu Jakaya Mrisho Kikwete ameshirikia katika Kongamano la Kimataifa la Afya lijulikanalo kama World...
nashangaa mtu yupo serikalini na ajira yake anamsema mwananchi amemaliza shule au chuo anaambiwa ajishughulishe na kazi wakati hana lolote na pakuanzia.
serikali iwawezeshe watafanya kazi.
kwa...
Za asubuhi wadau..
Kiukweli hamna kitu kilikuwa kina nikera kama hiki kidudu kilikuwa kinaitwa service charge kwenye ununuaji wa umeme...
Niwapongeze tanesco kwa kufuta huyu mdudu... Leo...
CHAMA CHA ACT WAZALENDO
---------------------------------------------
KAMATI YA BUNGE NA SERIKALI ZA MITAA
TAARIFA MUHIMU KWA UMMA.
Ndugu wanahabari na watanzania kwa ujumla.
Mtakumbuka kwamba...
Tukiwa tunashangalia kufutwa kwa service charge kwa shirika la umeme Tanzania imefahamika kua shirika hilo sasa linavujia damu ndani kwa ndani huku likiponzwa kiutendaji kwa kuingiliwa...
Watanzania tu watu wa ajabu sana na hatuna tofauti na watoto wadogo,
Ccm imekaa madarakani miaka zaidi ya 50 na viongozi wake ni wale wale wanaotokana na mfump wa ccm. Toka enzi ya mkapa mpaka...
Sisi watanzania ni wajinga, lakini sisi sio wajinga siku zote, utatufanya wajinga kwa mda tu lakini hutatufanya wajinga watu wote na wakati wote.
Tutafakari kuona kwamba Harbinder Singh...
MBIVU na mbichi kuhusu ukweli wa mkataba kati ya Jeshi la Polisi na kampuni ya Lugumi Enterprises Limited wa ufungaji wa vifaa vya kuchukulia alama za vidole katika vituo vya polisi nchini...
Kufuatia ziara ya JPM Rwanda sasa madaktari wa moyo kutoka JKCI watakuwa wakienda Rwanda kufanya matibabu ya moyo wakisaidiana na madaktari wa Rwanda na washirika wao kutoka nchi mbalimbali...
Serikali ya Tanzania imetakiwa kushusha kiwango cha kodi kinachokatwa kwenye mishahara ya wafanyakazi sambamba na kupandisha kima cha chini cha mshahara kufikia 750,000 ili kuweza kuboresha maisha...
Vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) jijini Dar es Salaam vimeanza kufilisiwa na Serikali ya Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Mpango wa Serikali ya Rais John Magufuli kupoka vyanzo...
Rais Magufuli asema watumishi hewa wamejaa mpaka Ikulu, Ofisi ya Waziri mkuu, Majeshini etc.
Amuagiza Katibu mkuu kiongozi kuunda "task force" yenye ulinzi maalumu ku-deal na watumishi hewa.
10%...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.