Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.6K
Threads
7.6K
Posts
193.6K

JF Prefixes:

"Lugumi amefariki dunia, atazikwa huko huko, hakuna mwandishi Wa habari anaeruhusiwa kuhudhuria msiba wake, infact hata ndugu zake hawaruhusiwi kuhudhuria" : 14/04/2017
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mwenyekiti wa CCM, Rais Mstaafu Jakaya Kikwete akimkaribisha Rais wa Vietnam Truong Tan Sang, kwa ajili ya mazungumzo ya pamoja na viongozi wengine katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Mtaa...
2 Reactions
80 Replies
11K Views
Wadau naomba tujadili bila ya jazba! Naomba tuangazie kanuni anazotumia mh. Rais katika kusimamia misingi ya uadilifu na utendaji uliotukuka! Hebu na tujikumbushe matukio haya mawili! Serikali...
6 Reactions
57 Replies
7K Views
Kwanza napenda nimpe pongezi Mh. Rais kwa kanzi nzuri anayoifanya ya kupambana na rushwa, kuongeza ufanisi wa kazi kwa watumishi wa serikali na kuongeza mapato ya serikali kutokana na ukusanyaji...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Ziara ya CHADEMA, mbinyo mkubwa zaidi unakuja dhidi ya mafisadi wa ESCROW. Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe mwanzoni mwa wiki hii alikutana na kufanya mazungumzo na Kansela wa Ujerumani Bibi...
12 Reactions
71 Replies
11K Views
Kwa muda mrefu yamekuwepo madai kwamba Chama cha Mapinduzi na wanachama wake wamekua mstari wa mbele kupandikiza mbegu za ubaguzi na kuwagawa watanzania kwa misingi ya dini, ukanda, ukabila au...
10 Reactions
40 Replies
6K Views
wakati mkiwa mmehamia katika hii record mpya ya LUGUMI huku ufipa mambo si mambo. Yule Mseminary wetu KATIBU MKUU nae kaanza kuisoma namba, watendaji wamemkaushia kwelikweli. The famous gang...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Hivi karibuni tulisikia serikali ikichukua hatua dhidi ya wabunge waliokuwa wakidaiwa kutotambua wajibu wao wa kazi na kutumia nafasi za kusimamia na kushauri serikali kuomba rushwa. hili ni la...
0 Reactions
1 Replies
969 Views
  • Redirect
Nimeona nitoe hii tahadhari mapema. Anapokuwepo EL si rahisi kumkuta Tundu Lissu. Jana taifa limeuaga mwili wa Dada yake Tundu Lissu, ambae alikuwa mbunge viti maalum. Kinachosikitisha EL...
1 Reactions
Replies
Views
Mvuvi katika bwawa la Kindai manispaa ya Singida, Mzee Salumu Kikomeko (84),akionyesha moja ya vyandarua vya mbu vinavyotumiwa na wavuvi haramu katika bwawa hilo. Matumizi ya vyandarua katika...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
  • Redirect
Adaiwa kupanda ndege usiku wa manane,hajulikani alikokwenda. Chanzo: Mtanzania(kupita magazeti Channel 10) ====================== Lugumi atoroka nchi *Adaiwa kupanda ndege usiku wa manane...
1 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
Ni maneno yanayoanza kujizolea umaarufu kwenye serikali ya JPM lakini hapaswi kuendelea kuyatumia, yanaleta ukakasi kwa mtu anayejinasibu kusimamamia ukweli bila wog. Kwakuwa ameamua nyeupe...
6 Reactions
Replies
Views
Tathmini ya matunizi ya gharama za usafiri wa Pombe kutoka Dar es Salaam kwenda Kigali na kurudi Gari moja kutoka tanzania kwenda Rwanda na kurudi katika msafara wa JPM lilitumia lita 1250, jumla...
6 Reactions
114 Replies
16K Views
  • Redirect
Adaiwa kupanda ndege usiku wa manane,hajulikani alikokwenda. Chanzo: Mtanzania(kupita magazeti Channel 10) ====================== Lugumi atoroka nchi *Adaiwa kupanda ndege usiku wa manane...
1 Reactions
Replies
Views
Vifo vingi vinasababishwa na mafisadi indirect au direct ukiibia serikali maana yake unakosesha hospitali kununua dawa hivyo kusababisha vifo,serikali inashindwa kujenga barabara nzuri hivyo...
0 Reactions
2 Replies
981 Views
POLISI watatu wa wilayani Urambo, Mkoa wa Tabora wamefikishwa mahakamani kwa mashitaka ya kuomba na kupokea rushwa. Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) mkoani Tabora, iliwafikisha...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kwanza kabisa nianze kwa kukiri juu ya umuhimu wa upinzani nchini, Ili tanzania isonge mbele licha ya serikali imara kama iliopo sasa, tunahitaji upinzania imara na madhubuti. Lakini kwa hali...
13 Reactions
106 Replies
12K Views
Mbunge wa Arusha Mjini Kamanda Godbless J.Lema amekabidhi gari la wagonjwa leo jijini Arusha. Tukumbuke gari hili lilikua likabidhiwe mwaka jana lakini mkurugenzi alisusia kulipokea leo...
3 Reactions
84 Replies
8K Views
Bunge latoa siku tatu kwa Jeshi la Polisi kuwasilisha mkataba wa Lugumi wenye kiasi cha takribal Bil 37. Hayo yamesemwa na Mwenyekiti wa Kamati za Bunge Aishi Hilali ili mkataba huo uweze...
2 Reactions
49 Replies
7K Views
14 Oct 2015@MagufuliJP: Nitaunda serikali ndogo ya watu makini, waadilifu, wachapakazi, werevu na waliotayari kushughulikia kero za wananchi. Jee vipengele vipi ambavyo bado havijatekelezwa ya...
1 Reactions
1 Replies
813 Views
Back
Top Bottom