Chadema kwa sasa ni chama cha kudakia dakia tu matukio. Mimi kama mlipa kodi ambayo inachangia kwenye ruzuku wanayopewa Chadema sipati thamani au value for money ya pesa yangu. Chama kinatakiwa...
Tumeona vituko vingi katika kipindi hiki kifupi tangu mh wa awamu ya tano aingie madarakani kitendo cha aliyekuwa waziri wa habari kuenguliwa katika wadhifa wake kumefanya wapinzani wajiunge...
Baada ya kumhoji Makonda kutokana na tuhuma za kutoeshimu bunge.
Basi ni bora bunge likawahoji watuhumiwa wa dawa ili waweze kuueleza uma kama ni kweli wanauza madawa au siyo kweli.
Tunasubiri taarifa ya kikao cha kamati ya maadili na madaraka ya bunge dhidi ya mtuhumiwa aliyelikashifu bunge,mheshimiwa Paul Christian Makonda mkuu wa mkoa Dar es salaam. Taarifa hii ni muhimu...
Matumizi ya Bajeti ya Maendeleo
"Mheshimiwa Mwenyekiti, katika mwaka wa 2016/2017, Wizara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi ilitengewa jumla ya Shilingi 100,527,497,000 kupitia Fungu 43 kwa ajili ya...
Port / TRA is going bonkers, now also transit export minerals are stopped from shipment.
( as received )
Kindly be notified that we have received instruction from Tanzania Revenue Authority(TRA)...
Wakuu habari,
Kwa hakika naomba nikiri kuwa mimi ni mmoja wa watu waliopata changamoto katika kipindi cha Rais Magufuli. Hii inatokana na sera zisizobashirika kuhusu uchumi,benki nyingi...
Shirika la kimataifa la world vision ambalo linashughulika na misaada ya ustawi wa mtoto linafanya kazi mikoa 13 tanzania na linatumia mabilioni ambayo ni kazi ya serikali.
Shirika hili ofisi...
Makonda amewashinda nguvu wauza madawa ya kulevya na kila propanganda yao, juu yake imeshindwa vibaya.
Wamejaribu kuzuia Makonda asiripotiwe na vyombo vya habari wakashindwa.
Wamejaribu...
Nimeona kupitia Citizen Tv bajeti ya Kenya inasomwa leo.Au utamaduni wa pamoja uko kwenye kuhitimisha?Nijuzeni tafadhali.BTW bajeti ya Kenya ni zaidi ya Tsh 40 tririon vs Tsh 32 tririon bajeti ya...
Ndugu wana JF kama mada inavyohusika katika somo tajwa hapo juu. Mheshimiwa Rais anasimamia UKWELI na kuongea UKWELI kila anapopata wasaa. Sisi watawaliwa tunampongeza kwa kusimamia UKWELI na...
Shughuli ya kuaga na kutoa heshima za mwisho kwa mwili wa wa Mch Christoper Mtikila zitafanyika leo katika viwanja vya Karimjee, jijini Dar es Salaam.
Shughuli hiyo itaanza saa 4:00 asubuhi na...
Nimepewa taarifa toka Dodoma kuwa Mkuu wa mkoa wa Dar, Ndugu Daudi Albert Bashite alias Paul Makonda amejitokeza mbele ya Kamati ya Maadili ya Bunge. Nimeambiwa kuwa Makonda amekwenda huko...
Mwaka jana, niliwahi andika andiko lililomhusu hakimu ajulikanae kwa jina la RIYONI, kuwa mh hakimu huyu anakula rushwa, anaishi kama Mungu mtu huko Ifakara. Chanzo cha andiko langu kilikuwa...
Tumekataa kuanzia saa moja mpaka saa 3 asubuhi maeneo ya Kibamba Kisa eti kuna msafara wa kiongozi anatoka Dodoma. Stupid kabsa. Watu wanakaa kwenye foleni kisa wewe Kiongozi mmoja. Kwanini...
Leo (30 Machi 2017) mchana huu (around 1:15pm), RC wa Dar Ndg. Paulo C. Makonda ameongea na waandishi wa habari akiwa mjini Dodoma (alikokwenda kuhojiwa na ile kamati ya bunge) na kuwaelezea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.