Ringo Edmund
JF-Expert Member
- May 10, 2010
- 4,879
- 1,134
Shirika la kimataifa la world vision ambalo linashughulika na misaada ya ustawi wa mtoto linafanya kazi mikoa 13 tanzania na linatumia mabilioni ambayo ni kazi ya serikali.
Shirika hili ofisi zake zipo arusha eneo la njiro nyuma ya chuo cha uhasibu kama km 2 kutoka barabara ya lami,cha kushangaza njia ya kuingia huko ni mahandaki matupu.serikali ya mkoa na kuu zimeshindwa kuonyesha shukrani kwa kuweka kipande cha lami cha 800 mil ukizingatia sera ya hilo shirika sio kujenga barabara?
Kuweni na aibu jamani,juzi nilikuwa nafuatilia katenda pale na kabaloon kangu kakaingia kwenye shimo na kuchomoka ball joint na tenda nikaikosa.
cc Pinda, Magufuli, Mulongo,nk.
Shirika hili ofisi zake zipo arusha eneo la njiro nyuma ya chuo cha uhasibu kama km 2 kutoka barabara ya lami,cha kushangaza njia ya kuingia huko ni mahandaki matupu.serikali ya mkoa na kuu zimeshindwa kuonyesha shukrani kwa kuweka kipande cha lami cha 800 mil ukizingatia sera ya hilo shirika sio kujenga barabara?
Kuweni na aibu jamani,juzi nilikuwa nafuatilia katenda pale na kabaloon kangu kakaingia kwenye shimo na kuchomoka ball joint na tenda nikaikosa.
cc Pinda, Magufuli, Mulongo,nk.