Viongozi wa Serikali mtumie ndege kwa safari zenu. Usumbufu huu unakwamisha maendeleo

The retired soldier

Senior Member
Feb 26, 2017
104
218
Tumekataa kuanzia saa moja mpaka saa 3 asubuhi maeneo ya Kibamba Kisa eti kuna msafara wa kiongozi anatoka Dodoma. Stupid kabsa. Watu wanakaa kwenye foleni kisa wewe Kiongozi mmoja. Kwanini usitumie Ndege kurahisisha shughuli za wengine. Kwanza ndege ni cheap kwa gharama na security.

Mnatumia magari gharama tu. Mnajua njia ni moja alafu mnataka na nyie mnatumia hiyo hiyo. Kuongozwa na Upeo mdogo shida sana. Kuna kiongozi anatoka Dodoma tunamsubiri mpaka apite. Upuuzi sana.
 
Tumekataa kwenye kuanzia saa moja mpaka saa 3 asubuhi maeneo ya Kibamba Kisa eti kuna msafara wa kiongozi anatoka Dodoma. Stupid kabsa. Watu wanakaa kwenye foleni kisa wewe Kiongozi mmoja. Kwanini usitumie Ndege kurahisisha shughuli za wengine. Kwanza ndege ni cheap kwa gharama na security.

Mnatumia magari gharama tu. Mnajua njia ni moja alafu mnataka na nyie mnatumia hiyo hiyo. Kuongozwa na Upeo mdogo shida sana. Kuna kiongozi anatoka Dodoma tunamsubiri mpaka apite. Upuuzi sana.
Nafikiri hapo una pointi.WAZINGATIE timing ya KUWASILI kwa VIP na USALAMA wake bila kuathiri
UZALISHAJI,
SHUGHULI za watu na
UCHUMI kwa ujumla.
 
Tumekataa kwenye kuanzia saa moja mpaka saa 3 asubuhi maeneo ya Kibamba Kisa eti kuna msafara wa kiongozi anatoka Dodoma. Stupid kabsa. Watu wanakaa kwenye foleni kisa wewe Kiongozi mmoja. Kwanini usitumie Ndege kurahisisha shughuli za wengine. Kwanza ndege ni cheap kwa gharama na security.

Mnatumia magari gharama tu. Mnajua njia ni moja alafu mnataka na nyie mnatumia hiyo hiyo. Kuongozwa na Upeo mdogo shida sana. Kuna kiongozi anatoka Dodoma tunamsubiri mpaka apite. Upuuzi sana.
Yaani nyie achen serikali ya viwanda hii acheni kumbe tuko werngi yanatukuta sijui pangaboy ni za nini.
 
Tumekataa kwenye kuanzia saa moja mpaka saa 3 asubuhi maeneo ya Kibamba Kisa eti kuna msafara wa kiongozi anatoka Dodoma. Stupid kabsa. Watu wanakaa kwenye foleni kisa wewe Kiongozi mmoja. Kwanini usitumie Ndege kurahisisha shughuli za wengine. Kwanza ndege ni cheap kwa gharama na security.

Mnatumia magari gharama tu. Mnajua njia ni moja alafu mnataka na nyie mnatumia hiyo hiyo. Kuongozwa na Upeo mdogo shida sana. Kuna kiongozi anatoka Dodoma tunamsubiri mpaka apite. Upuuzi sana.




Hariri hapo penye wekundu basi...!!
 
Nafikiri hapo una pointi.WAZINGATIE timing ya KUWASILI kwa VIP na USALAMA wake bila kuathiri
UZALISHAJI,
SHUGHULI za watu na
UCHUMI kwa ujumla.

Ni kweli kabisa...! inabidi watu wa itifaki wazingatie hilo.... kuwa, misafara izingatie mida ya watu wakienda makazini na kurudi manyumbani, misafara isubiri! kwani mida hio wengi wapo kwenye magari yao, ama wamesima kwenye daladala nk,

Yaani kuanzia saa moja asbuhi hadi saa tatu, na saa kumi hadi saa kumi na mbili jioni misafara isiwepo, ili watu wawahi makazini au majumbani....! Maana kwa mida hio. magari yanakuwa mengi barabarani, na hata msafara ukishapita...ili hali ijirudie sawa, inachukua karibu masaa kadhaa mengine!

Au pengine kama kuna haja ya kuwataarifu wenye vyombo vya moto kuwa, kuanzia mida fulani hadi fulani kutakuw na misafara ya viongozi kupitia bara bara fulani na fulani, ili kwamba ama wajiepushe na barabra hizo au watumie njia nyingine ili kufika waendapo!
 
Nadhani viongozi wengi wanafurahia kutuona tumeganda barabarani kusubiri wapite..
Wanajihisi kama miungu watu pale wanapotuchungulia kupitia vioo vyao tinted..!
 
Tumekataa kwenye kuanzia saa moja mpaka saa 3 asubuhi maeneo ya Kibamba Kisa eti kuna msafara wa kiongozi anatoka Dodoma. Stupid kabsa. Watu wanakaa kwenye foleni kisa wewe Kiongozi mmoja. Kwanini usitumie Ndege kurahisisha shughuli za wengine. Kwanza ndege ni cheap kwa gharama na security.

Mnatumia magari gharama tu. Mnajua njia ni moja alafu mnataka na nyie mnatumia hiyo hiyo. Kuongozwa na Upeo mdogo shida sana. Kuna kiongozi anatoka Dodoma tunamsubiri mpaka apite. Upuuzi sana.
Dah! Unenistus kiongozi unamuita stupid? Tumefikia hapa! Masikini tanzania yangu watu wanapoteza uzalendo du.
 
Tumekataa kwenye kuanzia saa moja mpaka saa 3 asubuhi maeneo ya Kibamba Kisa eti kuna msafara wa kiongozi anatoka Dodoma. Stupid kabsa. Watu wanakaa kwenye foleni kisa wewe Kiongozi mmoja. Kwanini usitumie Ndege kurahisisha shughuli za wengine. Kwanza ndege ni cheap kwa gharama na security.

Mnatumia magari gharama tu. Mnajua njia ni moja alafu mnataka na nyie mnatumia hiyo hiyo. Kuongozwa na Upeo mdogo shida sana. Kuna kiongozi anatoka Dodoma tunamsubiri mpaka apite. Upuuzi sana.
Hawa watakuwa ni pm majaliwa na VP Samia kwa sana, maana mkuu huwa hana tabia ya kutoka sana
 
Ni kweli kabisa...! inabidi watu wa itifaki wazingatie hilo.... kuwa, misafara izingatie mida ya watu wakienda makazini na kurudi manyumbani, misafara isubiri! kwani mida hio wengi wapo kwenye magari yao, ama wamesima kwenye daladala nk,

Yaani kuanzia saa moja asbuhi hadi saa tatu, na saa kumi hadi saa kumi na mbili jioni misafara isiwepo, ili watu wawahi makazini au majumbani....! Maana kwa mida hio. magari yanakuwa mengi barabarani, na hata msafara ukishapita...ili hali ijirudie sawa, inachukua karibu masaa kadhaa mengine!

Au pengine kama kuna haja ya kuwataarifu wenye vyombo vya moto kuwa, kuanzia mida fulani hadi fulani kutakuw na misafara ya viongozi kupitia bara bara fulani na fulani, ili kwamba ama wajiepushe na barabra hizo au watumie njia nyingine ili kufika waendapo!
Hii kitu mtu anaweza akaipuuzia lakini kwa ukweli huwa inakera mno...Fikiria unawahi safari yako airport unawekwa masaa matatu njiani kusubiri mkubwa....Na tatizo la askari wetu huwa hata hawataki kusikia neno DHARULA hata kama utawaonyesha ticket yako hawawezi kukuruhusu...sijui ni kitu gani hiki....
Mtu unachelewa ofizsini au kwenuye shughuli zako kisa kiongozi anapita....!!!!
Na balaa ni pale kiongozi anapotembelea jiji la Mwanza.....maana halina barabara zitokazo nje ya mjini za kutosha...huwa mtafutano....kiongozi anatoka Geita kabla hajafika Ferry tayarimmeshapigwa stop ....
 
Tunabana matumizi. Unaanza ziara dar hadi rwanda kwa gari halafu unakuja kuchukuliwa na ndege iliyotoka dar ha rwanda. Urais ni mgumu, watanzania mniombee. Kipaumbele mwaka huu ni kununua ndege 3 cash bajeti ya tr. 30+

Kweli heri uwe masikini wa mali lakini siyo .......
 
Hii kitu mtu anaweza akaipuuzia lakini kwa ukweli huwa inakera mno...Fikiria unawahi safari yako airport unawekwa masaa matatu njiani kusubiri mkubwa....Na tatizo la askari wetu huwa hata hawataki kusikia neno DHARULA hata kama utawaonyesha ticket yako hawawezi kukuruhusu...sijui ni kitu gani hiki....
Mtu unachelewa ofizsini au kwenuye shughuli zako kisa kiongozi anapita....!!!!
Na balaa ni pale kiongozi anapotembelea jiji la Mwanza.....maana halina barabara zitokazo nje ya mjini za kutosha...huwa mtafutano....kiongozi anatoka Geita kabla hajafika Ferry tayarimmeshapigwa stop ....

Askari huwezi watupia lawama kwenye hili, maana wanafanya kazi yao kulingana na maelekezo ya kazi yao juu ya misafara!

Kwa maelezo ulio yatoa huko mwanza, bado mimi naona umuhimu wa wananchi kuambiwa mapema ujio au uwepo au kupita kwa misafara ya viongozi barabara fulani, au eneo fulani mida fulani haid fulani....hivyo wenye haraka zao ambao ni lazma wapite maeneo husika, basi wapite kabla au baada ya misafara, au wabadili njia! Hii haitaeleta usumbufu, au malalamiko kama haya!

Nafikiri badala ya kulaumu tu au baada ya kulaumu, pia tutoe mawazo yetu ya namna bora ya ku'handle misafara na usumbufu wanao upata wananchi na shughuli zao kiuchumi wakti wa kungojea ipite!
 
kama taifa tunakazi kubwa siku zijazo kutanua barabara zetu hasa katika majiji na manispaa
 
Back
Top Bottom