mbali mbali kufuatia ongezeko hili la makusanyo ya kodi
~*~*~*~*~*~*~*~*~*~*~*~*~*~*~*~*~*~*~*~*~*~*~*~*
Biashara na Fedha TRA yakusanya bilioni 320/- Septemba
Shadrack Sagati, Mbozi...
Klabu ya Everton ya nchini Uingereza inatarajia kutua nchini na kucheza meche ya kirafiki na na mshindi wa kombe la SportPesa Julai 13.
Waziri wa sanaa utamaduni na michezo Harrison Mwakyembe...
Thursday, June 1, 2017
Stakeholders in darkness as govt declares new tax system
By By Ludger Kasumuni @TheCitizenTz lkasumuni@tz.nationmedia.com
Dar es Salaam. Stakeholders are in the dark...
Nimeamua kuandika machache dhidi ya Mkurugenzi manispaa ya Ubungo.
Wananchi wa Mbezi ni watu,na raia wa nchi hiii,hutakiwi kuwafanyia unavyofanya sasa kisa Diwani wa Mbezi kwa Msuguri wewe kama...
Huyu jamaa anajiita ni wa darasa la saba lakini nikipitia katika clip nyingi mara nyingi anaongea sana ukweli. Pitia video zifuatavyo halafu mkosoe halafu linganisha na wabunge wasomi wa CCM na...
Madelo Gawiza.
Naomba niende moja kwa moja kwenye mada husika..hali ya uchumi ya nchi yetu iko taabani..hili limejidhihirisha wazi kabisa kupitia hotuba ya leo ya Rais wetu katika uzinduzi wa...
Kuna kila dalili ya Magufuli kushinda tena 2020 pamoja na watu wengi kutovutiwa sana na style ya uongozi ya Magufuli.
Ukilinganisha kinachotokea leo ni sawa kabisa na yale yaliyotokea baada ya...
Nimesoma maoni-kauli mbalimbali kuhusu Ripoti ya Kamati ya Prof. Mruma juu ya mchanga wa dhahabu iliyowasilishwa kwa Rais Magufuli.
Kimsingi,watanzania kwa mamilioni yetu,akiwemo Wakili Msomi na...
Taarifa rasmi ni kuwa Bwana Emanuel Pendael Mollel Aliyekuwa Diwani wa kata ya Makiba Halmashauri ya Meru Avuliwa uachama rasmi.
Hii ni baada ya Mwendo wake kutiliwa mashaka kwa kukosa uaminifu...
ANAANDIKA TUNDU LISU...
Suala sio nia njema ya Rais. Suala ni consequences za hiyo nia njema. The road to hell is paved with good intentions.
Mugabe most likely alikuwa na nia njema. The...
Suala sio nia njema ya Rais. Suala ni consequences za hiyo nia njema. The road to hell is paved with good intentions.
Mugabe most likely alikuwa na nia njema. The consequences za nia njema hiyo...
A. UTANGULIZI
Mheshimiwa Spika, kufuatia taarifa iliyowasilishwa leo hapa Bungeni na Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini, naomba kutoa hoja kwamba Bunge lako...
Habari wakuu..
Kwa wale ambao wangependa kujua kuhusiana na ratiba ya mazishi ya kumpumzisha mzee wetu Mh Philemon Ndesamburo ambaye alikuwa mbunge wa Jimbo la Moshi mjini kwa tiketi ya CHADEMA...
Ni jambo la kujivunia kuwa leo Mh. Rais ameongea kwa upole kama baba wa watoto kama taifa. Watot wanapata matumaini, ni jambo jema. Mwanzo wa mabadiriko.
Aliyekuwa Mbunge wa Moshi mjini kwa Takriban miaka 15, Marehemu Mzee Philemon Ndesamburo Atazikwa siku ya Jumanne Tarehe 06/06/2017.
Mwili wake utaagwa rasmi katika viwanja vya mashujaa Moshi...
Nimepata habari hizi muda na mtu mmoja kwa kuniandikia mail .Lakini pia huu ni uzoefu wangu wa miaka madhaa niliyo kuwa nakaa Ughabuni kwamba mabalozi wetu watumishi wao wamejaa dharau , majivuno...
Ni kwa nini kwenye hili sakata la mchanga kuna watu (wana siasa) wanameanza kutaka kuonekana wenye nia njema,na wengine hawana nia njema. Lakini hawa wanasiasa wenye nia njema na wasio na nia...
Waziri wa Viwanda , Biasharana Uwekezaji, Charles Mwijage leo Alhamisi amevaa viatu vya Profesa Sospeter Muhongo kwa kusoma bajeti ya Wizara ya Nishati na Madini bungeni.
Mwijage anavaa viatu...