Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.6K
Threads
7.6K
Posts
193.6K

JF Prefixes:

Habari wakuu.. Kwa wale ambao wangependa kujua kuhusiana na ratiba ya mazishi ya kumpumzisha mzee wetu Mh Philemon Ndesamburo ambaye alikuwa mbunge wa Jimbo la Moshi mjini kwa tiketi ya CHADEMA...
5 Reactions
23 Replies
5K Views
  • Redirect
Ni jambo la kujivunia kuwa leo Mh. Rais ameongea kwa upole kama baba wa watoto kama taifa. Watot wanapata matumaini, ni jambo jema. Mwanzo wa mabadiriko.
0 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
Aliyekuwa Mbunge wa Moshi mjini kwa Takriban miaka 15, Marehemu Mzee Philemon Ndesamburo Atazikwa siku ya Jumanne Tarehe 06/06/2017. Mwili wake utaagwa rasmi katika viwanja vya mashujaa Moshi...
1 Reactions
Replies
Views
Nimepata habari hizi muda na mtu mmoja kwa kuniandikia mail .Lakini pia huu ni uzoefu wangu wa miaka madhaa niliyo kuwa nakaa Ughabuni kwamba mabalozi wetu watumishi wao wamejaa dharau , majivuno...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Ni kwa nini kwenye hili sakata la mchanga kuna watu (wana siasa) wanameanza kutaka kuonekana wenye nia njema,na wengine hawana nia njema. Lakini hawa wanasiasa wenye nia njema na wasio na nia...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
  • Redirect
Waziri wa Viwanda , Biasharana Uwekezaji, Charles Mwijage leo Alhamisi amevaa viatu vya Profesa Sospeter Muhongo kwa kusoma bajeti ya Wizara ya Nishati na Madini bungeni. Mwijage anavaa viatu...
0 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
Rais wa Tanzania John Magufuli amesema kuanzishwa kwa mfumo mpya wa serikali wa ukusanyaji kodi kwa njia ya Kielekroniki, (Data Center) itakuwa dawa kwa wale wote wanaokwepa kulipa kodi...
0 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
Jee ni kweli Mohamed Iqbal Dar, mwenye asili ya kihindi, aliyekuwa akiishi Tanga, mnamo mwaka 1964 ndiye aliipa nchi yetu jina zuri la "Tanzania" Kama ni kweli huyu mtu yuko wapi kwa sasa? Na...
0 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
Leo raisi wetu mpendwa JP Magufuli alizindua mfumo wa kukusanya kodi ambao umetengenezwa na watanzania wenzetu mwanzo mwisho, pia raisi alipata wasaa wa kutoa hotuba fupi yenye maneno mazito kama...
0 Reactions
Replies
Views
Katika majadiliano ya jana kati ya Balozi Amina Salum Ali na mwandishi wa Nipashe unaweza kuuona muhma alionao baada ya kuhusika moja kwa moja katika uchafuzi wa suluhu iliowekwa na waliomtangulia...
1 Reactions
4 Replies
863 Views
  • Redirect
Nsaidieni jamani,basi gani la kwenda mbeya ni luxury kuliko yote?
0 Reactions
Replies
Views
Uzalendo unaharibiwa kwa Uhamasishaji wa kiitikadi , kejeli , mipasho, matusi, uonevu , kutoyatenda yaliyo ya haki kwa tabaka la chini, kuwagawa, wananchi kwa misingi ya ukabila, ukanda , udini na...
4 Reactions
5 Replies
862 Views
“Kwa masikitiko nimepokea taarifa za kifo cha Mbunge Mstaafu wa Jimbo la Moshi Mjini, Mzee wangu Philemon Ndesamburo kilichotokea leo tarehe 31 Mei, 2017 katika Hospitali ya Rufaa ya KCMC iliyopo...
2 Reactions
49 Replies
5K Views
  • Redirect
Kuwa na nia njema ni jambo moja ila njia ya kufikia malengo ya nia njema ni muhimu sana. Hakuna uwezekano katika maisha kutumia mbinu mbaya kufanikisha jambo jema. Hivi mtu akivunja benki na...
3 Reactions
Replies
Views
(ShareCast News) - Tanzania has launched a new investigation after Acacia Mining was accused by a government committee of under-reporting gold exports, with analysts in disagreement over how much...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
  • Redirect
Miaka Hamsini na ushee ya Uhuru , bado taifa halijui ni kwa namna Gani nembo ya taifa ilipatikana, wala hawajui ni nani aliyebuni. Ivi kweli tunajua hata zile alama kwnye nembo zinazungumza nini ...
0 Reactions
Replies
Views
Zanzibar Daima Akina Lukuvi musiojua Zanzibar. Ukristo uliingia hapa kabla hata mababu zenu hawajabatizwa. Musitufitini. Anuani ya mjadala huu inalazimika kuwa refu kutokana na haja iliyopo ya...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kuna habari iko mitandaoni ikimnukuu kiongozi mkubwa kabisa wa ccm,akidai kwamba kuna watu wa migodi waliandaa bilioni 300 kwa ajili ya kuhonga Sijasikia kauli ya PCCB kuhusu hili kama walimuhoji...
2 Reactions
13 Replies
2K Views
TANZANIA ANTI-MINERALS SMUGGLING FAILURE The anti-minerals smuggling campaign has hoted up in Tanzania, but there is a huge cover-up. 270 Kgs of gold worth some Tsh 12bn/- and 2 tons of uranium...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
  • Redirect
Wanaoitetea Acacia Wako Kwenye Stage ya Ujinga Wanaelekea Upumbavu...!!!! Akiongea kwenye kipindi cha jambo leo tbc1 leo kwenye mahojiano maalum yaliyo kuwa yakiendeshwa na mtangazaji Shaban...
0 Reactions
Replies
Views
Back
Top Bottom