Ni live kutoka ukumbi wa mikutano wa Diamond jijini DSM, wanaongea kwa uchungu mno. fuatilia LIVE kupitia TBC1 NA HAPA JF KATIKA UZI HUU
=======
Anaeongea kwa sasa ni mgeni Rasmi, mzee Butiku na...
Katika kile nilichowaonea huruma Wananchi wa Singida ni pale waliponiambia kuwa wamekosa Uwakilishi ndani ya Bunge la Muungano wa Tanzania. Mwananchi Mmoja aliongea kwa uchungu kuwa Mbunge wake...
Ni mbuge wa jimbo la kilwa kupitia tiketi ya chama cha wananchi CUF nimetokea kupenda uwasilishaji wa jumbe zake kwa mtindo wa mzaha lakini ukichunguza kwa umakini mara zote huongea vitu vyenye...
Mheshimiwa Rais sasa mwendo Mdundo na hataki mchezo kabisaa na hajaribiwi.
Kampuni hizi zilikuwa zinachimba dhahabu huko kwenye migodi ya Bulyanhulu, North Mara na Buzwagi.
Tusisahu kuwa hawa...
Ripoti ya Amnesty International
Kwa mujibu wa shirika la Amnesty International Kenya na Tanzania zimetajwa katika jumla ya nchi za kiafrika ambazo zimekuwa mstari wa mbele kuwakandamiza...
Waliosaini mikataba mibovu wako nchini wanakula raha, kada wa CHADEMA Yeriko Nyerere amelala sero, alafu bado unamatumaini na maendeleo na taifa.
Kwa tafsiri ya sheria za Tanzania, Yeriko Nyerere...
Najiuliza swali kama hilo juu ya taharuki itakayoikumba Tanzania pale tume namba mbili iliyoundwa kwa ajili ya kuchunguza mchanga itakapokuja na matokeo tofauti kabisa na Yale ya time no mbili...
#KutokaBungeni Mbunge wa Jimbo la Kibamba John Mnyika ametolewa Bungeni na Askari wa Bunge kwa amri ya Spika. Kufuatilia tukio hilo Wabunge wa Upinzani wametoka nje baada ya Mbunge huyo kutolewa...
Wanaccm, salaam!!
Nafahamu kuwa huenda Mhe. Dkt John Pombe Magufuli - Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania akaamua kwa mara nyingine kugombea nafasi hiyo kwa awamu ya pili. Hata sambamba na...
Huu ni ushauri ninaoupeleka kwa Mamlaka ya uteuzi ya Tanzania .
Nafahamu kwamba nafasi za uteuzi wa wabunge kwa mujibu wa katiba umemalizika , lakini chini ya ccm hakuna kisichowezekana , anaweza...
Uzalendo siyo kupingana namafisadi tu Bali hata kuipenda nchi, watu wake na maisha yao kwa ujumla ni uzalendo.
Sasa tujiulize kama mtu kaingia madarakani kafuta Ajira na kuwaacha vijana wakielea...
BULLIONISM, IMPERIALISM na NEOCOLONIALISM.
Bullionism is an economic theory that defines wealth by the amount of precious metals owned. Bullionism is an early or primitive form of mercantilism...
Baada ya Rais Magufuli kuzindua mfumo utakaotumika kulipa kodi hapa nchini ni dalili tosha kuwa serikali inaelekea kuthibiti ukwepaji wa kodi za ndani uliokuwa ukifanywa na makampuni makubwa.
Kwa...
kwanza nashukuru kwa maoni ya wanaojiita wasomi ni kweli wanajiita wasomi
wametoa maoni yao walioyaita ya kisomi,sasa mimi ctaki kuwanukuu ila mimi kama Darasa LA Saba natoa maoni Yangu
1:Kwanini...
Moja ya vitu ambavyo vipo dhahiri kwa sasa ni Tundu Lissu kutokuwa na mvuto wa kisiasa jimboni kwake Singida Mashariki. Hii ndio sababu kuu kwa sasa inyomfanya kuangalia jinsi atakavyotengeneza...
Wazungumzaji:
Ndugu Kabwe Z. Ruyagwa Zitto
Kiongozi wa Chama - ACT Wazalendo
Mama Anna Elisha Mghwira
Mwenyekiti wa Chama - ACT Wazalendo.
Dr. Rugemeleza Nshala
Mkurugenzi Mtendani -Chama cha...
Mwaka 1955 Libya iliingia mkataba wa kuchimba mafuta na kampuni ya Kimarekani iliyokuwa inaitwa 'Libyan American Oil Company' wakati huo Libya ikiwa chini ya Mfalme Idris. Baadaye Marehemu...
Kuna hii issue ambayo siku za hivi karibuni imekuwa inaongeleka na kujitokeza mara nyingi sana hasa kunapotokea majanga/maafa au misiba hasa ya kitaifa kuwa pesa/michango ya rambirambi huwa...
IGP Sirro amewaita makamanda wa polisi wa mikoa yote kuja Dar es Salaam kwa ajili ya kikao maalumu ambacho kitafanyika kesho kuanzia saa moja na nusu asubuhi.
“Nimewaita makamanda wote wa mikoa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.