Wadau nimeufuatilia utendaji kazi wa Rais Magufuli nimebaini ana sifa maalum zifuatazo:
1. Hana Uchama bali uchapakazi tu.
2. Ni mzalendo
3. Hana ujomba wala ubabu kwenye kazi
4. Ana lengo moja...
Naona chama Kiko kimya kukanusha shutuma juu ya mwenyekiti kuhusu Ile audio dhidi ya wema sepetiu..
Kimya maana yake nini?
Au Kuna kaukweli ndani yake?
Kama ni Kweli basi mbowe awajibishwe.
Na...
Waziri Mkuu Majaliwa Kassim Majaliwa (mwenye tai nyekundu) akikata utepe kuashiria uzinduzi rasmi wa zoezi la usambazaji wa vifaa vya maabara na vifaa vya wanafunzi wenye mahitaji maalum mapema...
[/IMG]
Rais Gloria Macapagal-Arroyo wa Philippines akipeana mkono na Mh. Balozi Abdul Cisco Mtiro baada ya kukabidi hati zake za utambulisho kama Balozi wa Tanzania ambaye anawakilisha...
Nimekua nikifuatilia sana mauaji yanayotokea mkoa wa Pwani kwa ndugu zetu nakuona hili tatizo limekua likikua siku baada ya siku licha ya ulinzi na usalama ambao tunaambiwa kua umeimarishwa mkoani...
Kama watu tuliungana vyama vinne ili kuiangusha ccm na bado tukashindwa,ubunge tukazidiwa,udiwani tukazidiwa,kura za uraisi tukazidiwa na hata serikali za mitaa tukazidiwa,sasa hapo bado unaamini...
Nimeona teuzi za Kitila na Anna zikizua mijadala kana kwamba hili ni jambo geni. Ikumbukwe wakati wa uchaguzi Chadema walimuazima mzee Juma Duni Haji ili kufanikisha malengo yao ya kisiasa...
Askari mgambo auawa Kibiti
Watu wa karibu katika eneo hilo wamesema marehemu huyo aliyekuwa askari mgambo alipigwa risasi tatu akiwa uvunguni mwa kitanda alikokuwa amejificha.
Soma zaidi: Askari...
ACT-Wazalendo Kwafukuta, Wamtaka Anna Mghirwa Kukataa Uteuzi..!!!
Hali ya sintofahamu imekikumba chama cha ACT-Wazalendo baada ya Mwenyekiti wa chama hicho kuteuliwa na Rais wa Jamhuri ya...
Mbunge wa Nkasi Kaskazini Ally Keissy
Mbunge wa Nkasi Kaskazini (CCM), Ally Keissy amependekea kuwapo na sheria ya kuwapima wabunge matumizi ya dawa za kulevya ili kuepukana na ukorofi...
Mbunge wa Muleba Anna Tibaijuka ametoa onyo kwa watu wanaopotosha kauli yake na kukata vipande vifupi vya video na kuharibu maana ya aliyokuwa anamaanisha kwa mchango wake bungeni
Amesema kufanya...
Nina rafiki yangu ambaye amekuwa akilalamika kwa miaka mingi kuuliwa kwa Wakala wa meli Tanzania yaani National Shipping Agency Company au NASACO.
Ukimsikiliza Mkinga kwenye hizi Video...
Habari zenu wanajukwaa.
Hili andiko ilibidi nilipeleke jukwaa la elimu ila ni vyema lijadiliwe hapa kwa kuwa huyu anayeivuruga elimu ni mwana siasa.
Mimi ni mwanafunzi wa chuo kikuu niliyeadiliwa...
Kama ulidhani sakata la ubunge kyela limemalizika basi futa mawazo hayo , taarifa kutoka kyela zinabainisha kwamba mgombea wa UKAWA Mh Abraham Mwanyamaki anaelekea mahakamani kupinga ubunge wa...
Ni ishara tosha kwamba huyu Mama yuko vizuri na ni moja kati ya hazina kubwa sana kwa nchi yetu, kwa maana ni kama vile watu (chadema, CUF -Mtatiro &Co.) wamechanganyikiwa na hawajielewi tena...
Ki msingi ukitizama siasa zetu zilivyokuwa zikienda unaweza kuona wazi kuwa kuwa taifa limejaa wanasiasa au viongozi wa mitaani.
mwanasiasa au kiongozi wa mitaani ni yule mtu anayejilea mwenyewe...
*Muhidin Issa Michuzi amlilia Balozi Abdulkarim Omar Cisco Mtiro*
Hebu jaribu kulielezea jiji la Dar, au la Arusha, ama la Mwanza, Mbeya ama jiji lolote lile, tena kwa kutumia ukurasa mmoja tu...
Tulitaka kumwaga baba yetu kwenye uwanja wa mashujaa kwa kuwa huyu ni shujaa wetu nikafanya juhudi mpaka kuongea na Waziri mkuu majaliwa akaniambia anashughulikia lakini mpaka ninapoongea...
71.-(1) Mbunge atakoma kuwa Mbunge na ataacha kiti chake
katika Bunge litokeapo lolote kati ya mambo yafuatayo -
(a) ikiwa litatokea jambo lolote ambalo, kama asingekuwa Mbunge lingemfanya asiwe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.