Swali kwa CHADEMA: Wakati wa uchaguzi Duni Haji alinadi ilani ya chama gani?

Martin George

JF-Expert Member
Jun 4, 2017
1,695
1,470
Nimeona teuzi za Kitila na Anna zikizua mijadala kana kwamba hili ni jambo geni. Ikumbukwe wakati wa uchaguzi Chadema walimuazima mzee Juma Duni Haji ili kufanikisha malengo yao ya kisiasa.

Japokuwa walitumia mwamvuli wa muungano usiotambulika kisheria uitwao UKAWA, lkn ukweli unabaki palepale kwamba Chadema kama chama ndio waliowania nafasi ya urais.

Je, mzee Duni aliinadi ilani IPI na endapo Lowasa angebahatika kushinda mzee Duni angeenda kutekeleza ilani IPI? Karibu tufahamishane.
 
Nimeona teuzi za Kitila na Anna zikizua mijadala kana kwamba hili ni jambo geni. Ikumbukwe wakati wa uchaguzi Chadema walimuazima mzee Juma Duni Haji ili kufanikisha malengo yao ya kisiasa. Japokuwa walitumia mwamvuli wa muungano usiotambulika kisheria uitwao UKAWA, lkn ukweli unabaki palepale kwamba Chadema kama chama ndio waliowania nafasi ya urais.Je, mzee Duni aliinadi ilani IPI na endapo Lowasa angebahatika kushinda mzee Duni angeenda kutekeleza ilani IPI? Karibu tufahamishane.
chadema hawakuwa na ilani Ya uchaguzi kabisa uchaguzi uliopita sababu waliunganisha vyama kwa ajili Ya uchaguzi wakaita huo muungano koko Ukawa. Huo muungano koko wa vyama haukuwa na ilani Ya pamoja hata Ya kuzuga wasivyokuwa na haya. Hivyo kila mgombea wa ukawa alikuwa akijinadi kwa chochote cha kujitungia kichwani kinachomujia. Kwa hiyo duni haji na lowasa kwa kuwa hakukuwa na ilani Ya ukawa kila mmoja alikuwa akijinadi kwa kuropoka chochote alichoota usiku au kinachomjia kichwani. Wagombea wote ukawa hakuna aliyekuwa na ilani!!!!!
 
Swali rahisi kwako

Wakati wa uchaguzi 2015 CUF walikuwa na Ilani ya Uchaguzi kwa nafasi ya Raisi

Nakuongeza jingine,

Wakati wa uchaguzi wa 2015, Juma Duni apikiwa mwanachama wa CUF au wa CHADEMA?
 
Swali rahisi kwako

Wakati wa uchaguzi 2015 CUF walikuwa na Ilani ya Uchaguzi kwa nafasi ya Raisi

Nakuongeza jingine,

Wakati wa uchaguzi wa 2015, Juma Duni apikiwa mwanachama wa CUF au wa CHADEMA?
OK, ni kama umejibu kwamba Duni alinadi ilani ya Chadema kwa kuwa Cut haikuwa na mgombea urais. Pili wakati wa uchaguzi Duni aliazimwa na Chadema na kwa kukusaidia huu ni utaratibu wa kawaida kwa cdm, walishawahi kumuazima RIP Mtikila ktk uchaguzi mdogo wa ubunge jumbo la ludewal baada ya kifo cha Kolimba. So hata Mghwira atatekeleza ilani ya CCM bila kuathiri uanachama wake ACT
 
Nimeona teuzi za Kitila na Anna zikizua mijadala kana kwamba hili ni jambo geni. Ikumbukwe wakati wa uchaguzi Chadema walimuazima mzee Juma Duni Haji ili kufanikisha malengo yao ya kisiasa.

Japokuwa walitumia mwamvuli wa muungano usiotambulika kisheria uitwao UKAWA, lkn ukweli unabaki palepale kwamba Chadema kama chama ndio waliowania nafasi ya urais.

Je, mzee Duni aliinadi ilani IPI na endapo Lowasa angebahatika kushinda mzee Duni angeenda kutekeleza ilani IPI? Karibu tufahamishane.
duni haji alikuwa mwanachama wa CHADEMA
 
OK, ni kama umejibu kwamba Duni alinadi ilani ya Chadema kwa kuwa Cut haikuwa na mgombea urais. Pili wakati wa uchaguzi Duni aliazimwa na Chadema na kwa kukusaidia huu ni utaratibu wa kawaida kwa cdm, walishawahi kumuazima RIP Mtikila ktk uchaguzi mdogo wa ubunge jumbo la ludewal baada ya kifo cha Kolimba. So hata Mghwira atatekeleza ilani ya CCM bila kuathiri uanachama wake ACT
Serikali ilikosea sana kutanua magoli na kupeleka wanafunzi mbumbumbu sekondari!
 
Back
Top Bottom