Mimi ni Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa sehemu fulani hapa nchini.
Jana nilipata ugeni wa mwalimu mkuu msaidizi wa shule moja kutoka Kata ya jirani na kata yetu. katika mazungumzo naye tulijadili...
Nchi yetu ina aina ya kodi na tozo zaidi ya 52, na hivi ndio vyanzo vikuu vya mapato ya serikali.
Wewe kama mlipa kodi una maoni gani juu ya mfumo wa ulipaji kodi ktk nchi yetu?
Ni kodi ipi...
Tunaumizwa sana na matendo ya wanadamu wenzetu wawe viongozi au wanausalama.
Mungu ametuumba na mapungufu makubwa lakini akikosekana mwanafalsafa kiongozi badi ni taabu na mateso makubwa.
Nchi...
Nimeandika nikijua nitakosolewa mno, naweza pia kutafutwa, japo mimi ni mtu rahisi sana kupatikana.
Ila naongea ukweli wa moyo wangu.
Kuna vitu vinakera, yani inafika mahali hata kama wewe ni...
Wakuu
Kumekuwa na kasumba iliyozuka ivi karibuni kuzuia wananchi kufarijiana wenyewwe eti mpaka umkabidhi mkuu wa mkoa ndo awasilishe wameende mbali zaidi na kusema ukikabidhi mwenyewe unakiuka...
Wakuu nawasalimu wote....Nashukuru nipo salama na cheti changu safiii mimi ni halali sio wakughushi....
Napenda kutoa hoja ambayo wenye akili waipime juu ya huu mchakato wa vyeti feki. Ni aibu...
Vyombo vya habari Tanzania wakuwa wanalia kila kukicha kuwa serikali inaminya uhuru wa habari. Lakini kuna jambo linanitatiza na ningeomba 'Great thinkers' mnisaidie.
Jukumu la msingi la vyombo...
Mkuu wetu tumeona jitihada zako kuanzia kutumbuwa kule bandarini na kushughulikia wakwepa kodi,kushughulikia waliovamia viwanja na ubomoaji hapa Dar es Salaam, kuzuiya vibali vya kuagiza sukari...
Upelelezi wazidi kukwamisha kesi ya Kitilya na wenzake
Upelelezi wa kesi inayomkabili Kamishna Mkuu Mstaafu wa TRA, Harry Kitilya, mshindi wa Mashindano ya Urembo (Miss Tanzania), mwaka 1996...
Mstahiki Meya wa Jiji la Arusha Mhe.Kalist Lazaro,baadhi ya Madiwani,katibu wa Mbunge,viongozi wa dini pamoja na walimu bado wanashikiliwa na Jeshi la polisi tangu wakamatwe jana katika shule ya...
Ndg Wanajamvi kama nilivoandika hapo kwenye heading... Walimu wa ajira hzi za mwezi april znatufanya tunaishi kama njiwa ugenini mpaka muda huu kuna halmashauri hazijatoa pesa ya kujikim ikiwemo...
Meck Sadick anasema hawezi kuweka wazi sababu kubwa iliyopelekea yeye kuomba kuacha kazi hiyo kwani tayari alishazisema kwa Rais Magufuli ambaye ameamua kukubaliana naye na sasa anasema haitaji...
Sio lazima mtu akutamkie wewe ni kijakazi wake lakini kauli zingine ni dharau kubwa sana na hii ni sawa na kukuona wewe kama kondoo kwamba hata akutamkie nini huwezi kumfanya kitu.
Haya matamshi...
Ahsante sana Regional Chief Accountant ndugu Mrisho MASHAKA Gambo kwa mahesabu haya sema ni ile haraka haraka tuu hapo kwenye Sub total ilipaswa kuwa Tsh163,069,540/= na siyo Tsh 158,569,540 =...
Rais mstaafu Jakaya Kikwete amechaguliwa kuwa mwenyekiti mwenza wa Baraza la Kimataifa la Wakimbizi.
Rais Kikwete amechaguliwa kushika wadhfa huo wakati akiwa bado ni Mwenyekiti wa jopo la ngazi...
Naaum, ni uhakika wa asilimia zaidi ya tisini bado tu kutangazwa mrithi wa Meck Sadick katika nafasi ya Ukuu wa Mkoa wa Kilimanjaro. Hadi sasa ni Kippi Warioba ndiye jina lake limetawala viunga...
Naamini kuwa hii ni wilaya/jimbo ambalo ni maskini kuliyo yote Tanzania
Hivi wana kisarawe mnashindwa kumput to task huyo mbunge wenu (kama yupo)?
Mambo ya musing kama Maji, Umeme, Barabara na...
Katika kuendeleza "hapa kazi tu" tunaomba umpandishe cheo mkuu wa wilaya ya Kinondoni Ally Hapi kuwa mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro.
Mkoa wa Kilimanjaro miaka ya karibuni umekuwa ukirudi nyuma...
Ndugu zangu,
Ninaposikiliza mijadala bungeni juu ya dhana ya uchumi wa viwanda napata uelewa mpya kuwa huenda hatuelewani kama taifa tuna maana gani katika hilo la uchumi wa viwanda.
Mimi...
Waziri wa elimu na mafunzo ya ufundi Joyce Ndalichako amesema hawezi kuomba msamaha kwa vitabu kukosewa ila atawawajibisha waliokosewa, na hapo akawasimamisha mara moja kaimu mkurugenzi wa taasisi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.