VIDEO FUPI:- Kleruu vs Mwamwindi

VIDEO FUPI:- Kleruu vs Mwamwindi

Mkuu Buji, Bujibuji Simba Nyamaume , thanks for this, kuna vitu havikusemwa, wakati akiyakanyaga makaburi ya mkewe na mtoto wake alisema hapa ndipo ulipozika mizoga ya mbwa zako!
hivyo he was provoked hivyo ali act under provocation, it was not murder, it was manslaughter!

Daktari Bingwa wa afya ya akili wa Mirembe, Dr. Pendael, alithibitisha wakati akiua he was insane!, baada ya shooting, ali search switch ya gari kutoka mfukoni kwa marehemu, akauweka mwili kwenye butt, akavaa pama ya RC, aka drive mpaka kituoni na kuwaambia nimewaletea mzoga wa mbwa wenu!. hivyo alipaswa kuachiwa kwa insanity!.

Kutosaini Death Warrant ni Busara, Kuna Wanao Hukumiwa kwa Makosa na Kunyongwa Bila Hatia!, Hata Mwamwindi Alihukumiwa Kifo na Kunyongwa Kwa Makosa!


Hivyo nika toa Asante Rais Samia Kutosaini Hati ya Kumyonga Yeyote!, Tusiishie Kutonyonga Tuu, Bali Pia Tusiue!. Tuifute Adhabu Kifo ni Adhabu ya Kikatili Sana!.

Na kushauri Kitendo cha Marais wa Tanzania, Kutosaini Death Warrants, Je Kuna Haja ya Kuendelea Kuwepo Adhabu Hii ya Kifo cha Kikatili kwa Kunyonga?

Chadema pia sikuwaacha kuwapa Habari njema kuhusu Kesi ya Uhaini ya Tundu Lissu, Hata akihukumiwa kunyongwa!, Hatanyongwa! Rais mwenye Sifa hizi, hawezi Kusaini Death Warrant
P
 
Mkuu Buji, Bujibuji Simba Nyamaume , thanks for this, kuna vitu havikusemwa, wakati akiyakanyaga makaburi ya mkewe na mtoto wake alisema hapa ndipo ulipozika mizoga ya mbwa zako!
hivyo he was provoked hivyo ali act under provocation, it was not murder, it was manslaughter!

Daktari Bingwa wa afya ya akili wa Mirembe, Dr. Pendael, alithibitisha wakati akiua he was insane!, baada ya shooting, ali search switch ya gari kutoka mfukoni kwa marehemu, akauweka mwili kwenye butt, akavaa pama ya RC, aka drive mpaka kituoni na kuwaambia nimewaletea mzoga wa mbwa wenu!. hivyo alipaswa kuachiwa kwa insanity!.

Kutosaini Death Warrant ni Busara, Kuna Wanao Hukumiwa kwa Makosa na Kunyongwa Bila Hatia!, Hata Mwamwindi Alihukumiwa Kifo na Kunyongwa Kwa Makosa!


Hivyo nika toa Asante Rais Samia Kutosaini Hati ya Kumyonga Yeyote!, Tusiishie Kutonyonga Tuu, Bali Pia Tusiue!. Tuifute Adhabu Kifo ni Adhabu ya Kikatili Sana!.

Na kushauri Kitendo cha Marais wa Tanzania, Kutosaini Death Warrants, Je Kuna Haja ya Kuendelea Kuwepo Adhabu Hii ya Kifo cha Kikatili kwa Kunyonga?

Chadema pia sikuwaacha kuwapa Habari njema kuhusu Kesi ya Uhaini ya Tundu Lissu, Hata akihukumiwa kunyongwa!, Hatanyongwa! Rais mwenye Sifa hizi, hawezi Kusaini Death Warrant
P
Swadakta kwa kuboresha zaidi comment yako
 
Mkuu Buji, Bujibuji Simba Nyamaume , thanks for this, kuna vitu havikusemwa, wakati akiyakanyaga makaburi ya mkewe na mtoto wake alisema hapa ndipo ulipozika mizoga ya mbwa zako!
hivyo he was provoked hivyo ali act under provocation, it was not murder, it was manslaughter!

Daktari Bingwa wa afya ya akili wa Mirembe, Dr. Pendael, alithibitisha wakati akiua he was insane!, baada ya shooting, ali search switch ya gari kutoka mfukoni kwa marehemu, akauweka mwili kwenye butt, akavaa pama ya RC, aka drive mpaka kituoni na kuwaambia nimewaletea mzoga wa mbwa wenu!. hivyo alipaswa kuachiwa kwa insanity!.

Kutosaini Death Warrant ni Busara, Kuna Wanao Hukumiwa kwa Makosa na Kunyongwa Bila Hatia!, Hata Mwamwindi Alihukumiwa Kifo na Kunyongwa Kwa Makosa!


Hivyo nika toa Asante Rais Samia Kutosaini Hati ya Kumyonga Yeyote!, Tusiishie Kutonyonga Tuu, Bali Pia Tusiue!. Tuifute Adhabu Kifo ni Adhabu ya Kikatili Sana!.

Na kushauri Kitendo cha Marais wa Tanzania, Kutosaini Death Warrants, Je Kuna Haja ya Kuendelea Kuwepo Adhabu Hii ya Kifo cha Kikatili kwa Kunyonga?

Chadema pia sikuwaacha kuwapa Habari njema kuhusu Kesi ya Uhaini ya Tundu Lissu, Hata akihukumiwa kunyongwa!, Hatanyongwa! Rais mwenye Sifa hizi, hawezi Kusaini Death Warrant
P
P.nawe,unatoka,unakuja!
 
... hili picha liki-ektiwa vizuri ni bonge la video kwa kizazi hiki na vijavyo.

Linawakilisha mtawala katili na mwenye dharau asiyesikia wananchi wanataka nini; asiye na kauli za staha.

Mtawala anayeamini neno lake ndio final! Mtawala asiyeheshimu hisia wala desturi za watu - kutukana marehemu na makaburi! Loh!

upande wa pili linawakilisha mtawaliwa aliyekataa unyonge! Kwamba heri kufa kuliko kudhalilishwa kwa kiwango kile! Pamoja na kwamba hatua aliyochukua sio nzuri wala ya kufurahia; uchokozi ule ulizidi viwango vote vya uvumilivu wa kibinadamu.

Ujumbe: watawala wabadilike; binadamu sio wa kuswaga kama ng'ombe. Kazi aliyomkuta nayo ni njema tu; hakumkuata akilewa gongo bali shambani akichapa kazi. Alistahili pongezi na sio kudhalilishwa vile!
 
Enzi hiyo nani ali record hii! Hapakuwa na facilities kama jizo kijijini
Usisahau kampeni endelevu toka enzi za kutafuta uhuru wa Tanganyika hadi hii leo.
.
This is insane.

Na watu wataamini kabisa kuwa hili ndivyo lilivyotokea hivyo hivyo kama lilivyorekodiwa..
 
Usisahau kampeni endelevu toka enzi za kutafuta uhuru wa Tanganyika hadi hii leo.
.
This is insane.

Na watu wataamini kabisa kuwa hili ndivyo lilivyotokea hivyo hivyo kama lilivyorekodiwa..
Kalamu sasa huyu alitoka ofisini akaenda peke yake kumkabiri Mwamwindi, hapakuwa na smart phones na manual cameras usingeliweza kuzipata kwanmazingira alivyokwenda huyo RC
 
Hii video ilipita humu jukwaani a few weeks ago.
 
Video hii ni ya kugushi, Kleruu hakuwa na hakuwahi kuwa mhehe, wakati anauawa hapakuwa na mashuhuda wowote, pia filamu nchini zilikuwa zinapigwa na serikali tu chini ya Tanzania Film Unit pale Magogoni.
Hata hivyo asante kwa kutuletea igizo la tukio kasoro rangi ya hiyo Pijo ilikuwa ya kijivu na trekta halikuwa kubwa enzi hizo.
Ni bongo movie hiyo kutoka Kwa Gabo Zigamba.
 
Enzi za Yesu kulikuwa na cinema?
Video hii ni ya kugushi, Kleruu hakuwa na hakuwahi kuwa mhehe, wakati anauawa hapakuwa na mashuhuda wowote, pia filamu nchini zilikuwa zinapigwa na serikali tu chini ya Tanzania Film Unit pale Magogoni.
Hata hivyo asante kwa kutuletea igizo la tukio kasoro rangi ya hiyo Pijo ilikuwa ya kijivu na trekta halikuwa kubwa enzi hizo.
 
Back
Top Bottom