Castle_Lite
JF-Expert Member
- Sep 10, 2016
- 4,497
- 9,921
Nawaza tu.
2030 kamati kuu wamfanyie Figisu Imma, asiorodheshwe kwenye 5 bora ya watia nia nafasi ya Uraisi.
Alaf Imma akaamua kwenda Chadema.
Mind you Lissu pia yuko Huru.
Huo Mtanange wake utakuwa sio wa kitoto.💥💥💥💥
Yale ya 2015 yatajirudia.
Anyway . Haiwez kutokea hili.
NB:
Tumeona waliokuwa wana nia ya kugombea alaf wakakatwa na CCM na Chadema walihamia Chauma na ACT
Ref Mpina na Salum Mwalimu.
2030 kamati kuu wamfanyie Figisu Imma, asiorodheshwe kwenye 5 bora ya watia nia nafasi ya Uraisi.
Alaf Imma akaamua kwenda Chadema.
Mind you Lissu pia yuko Huru.
Huo Mtanange wake utakuwa sio wa kitoto.💥💥💥💥
Yale ya 2015 yatajirudia.
Anyway . Haiwez kutokea hili.
NB:
Tumeona waliokuwa wana nia ya kugombea alaf wakakatwa na CCM na Chadema walihamia Chauma na ACT
Ref Mpina na Salum Mwalimu.