Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

👉Ndani ya siasa za kimkakati, kuna wachezaji ambao huonekana kupambana hadharani lakini nyuma ya pazia wakawa sehemu ya operesheni kubwa zaidi isiyoonekana kwa macho ya kawaida. 👉Safari ya...
0 Reactions
4 Replies
246 Views
Sasa basi ------- Mbunge wa Jimbo la Mchinga Salma Kikwete akizungumza nyakati tofauti Bungeni Dodoma, akisifia Uongozi wa Rais Samia ulivyoleta maendeleo Jimboni kwake ikiwemo miundombinu ya...
1 Reactions
3 Replies
117 Views
Ma consultance wa Makonda hawalali yaani wana kesha usiku kucha kumpa Makonda mbinu. Makonda kaambiwa Mali asili na utalii ndiko hasa panamfaa ndiko kwenye mafuta, na ili aingie huko aanze...
11 Reactions
32 Replies
571 Views
  • Redirect
0 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
👉Ogopeni watu wanaobadilisha misimamo kila wanapokosa wanachokitafuta. Leo ni waaminifu, kesho wanageuka maadui wa walewale waliokuwa wakiwatetea. 👉 Mchungaji Peter Msigwa aliwahi kuhubiri...
0 Reactions
Replies
Views
Naona kuna wimbi jipya la watu kurudi,kutaka kurudi (kurudisha mpira kwa kipa ili kuanza upya) Hawa watu hawaaminiki,wasiaminike moja kwa moja maana wanarudisha mpira kwa kipa kipindi timu...
2 Reactions
2 Replies
70 Views
  • Redirect
👉Hayati JPM alimlipia shilingi milioni 38 Mchungaji Peter Msigwa kati ya shilingi milioni 40 alizotakiwa kulipa kama faini baada ya kuhukumiwa na Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Hatua hiyo...
0 Reactions
Replies
Views
Mchungaji Peter Msigwa akiongea na wananchi wa jimbo la Ismani katika uzinduzi wa kampeni za chama cha Mapinduzi zilizo fanyika katika viwanja vya Nanenane, Kata ya Itunundu, mkoani Iringa 25...
1 Reactions
4 Replies
282 Views
  • Featured
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimewasilisha majibu rasmi na mazito kwa Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa, kikikataa tuhuma zote za ukiukwaji wa sheria zilizoelekezwa dhidi yake...
20 Reactions
44 Replies
1K Views
Wakuu, Nlikuwa nasikiliza hotuba ya baba wa taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere aliyoitoa Julai 22 mwaka 1967 Baada ya kuwapokea Vijana waliotembea kwa Miguu kutoka Moshi. Alikuwa anaongelea...
53 Reactions
327 Replies
52K Views
Ni kweli kwamba Mafunzo ya Ukakamavu aliyofuzu David DJumbe hapo awali yamemsaidia kuponyoka kutoka kwenye kifo cha kikatili bila hatia Bali kwa upande mwingine hili jambo ni suala la kiroho la...
8 Reactions
29 Replies
720 Views
Watu wapo kazini katika kutafuta riziki kwa maneno matamu matamu yenye matumaini kwa wale waliokata tamaa,wanaofikiri pengine kubadilika kwa serekali huenda watafadika kwa namna fulani na maisha...
0 Reactions
0 Replies
57 Views
Sio kwa nia mbaya au kuwapangia mambo; CHAUMMA kwa hadhi yenu nyie sio wa kushindwa kutengeneza website hata ya bei kidogo ili kuenda na wakati wa sasa wa Teknolojia ya mawasiliano na kuleta...
0 Reactions
20 Replies
305 Views
Wanabodi, Angalizo: Kama neno kulamba matapishi, linakutia kinyaa, nakushauri usiusome uzi huu!. Hili ni swali kuhusu kitu kinachoitwa matapishi ya kisiasa!, kwa nini watu waone kulamba...
10 Reactions
54 Replies
9K Views
Ni takribani miezi saba sasa tangu Taifa liingie katika ukurasa mpya wa huzuni, majonzi na maumivu ya kijamii na kisiasa kufuatia yaliyotokea kwenye Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29. Tangu wakati huo...
2 Reactions
2 Replies
101 Views
Wanabodi, Salaam. Ijumaa ya leo, nimepata fursa ya kuendelea na zile makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa". Leo nazungumzia mada ya ukosefu wa fadhila, au ukosefu wa shukrani katika medani za...
49 Reactions
119 Replies
18K Views
  • Redirect
Je,
Malengo ya kisiasa ya Mchungaji Msigwa na Joseph Selasini ndani ya chadema yatafikiwa kabla ya mwaka 2026 kwisha?🐒 Mungu Ibariki Tanzania
0 Reactions
Replies
Views
Back
Top Bottom