👉Ndani ya siasa za kimkakati, kuna wachezaji ambao huonekana kupambana hadharani lakini nyuma ya pazia wakawa sehemu ya operesheni kubwa zaidi isiyoonekana kwa macho ya kawaida.
👉Safari ya...
Sasa basi
-------
Mbunge wa Jimbo la Mchinga Salma Kikwete akizungumza nyakati tofauti Bungeni Dodoma, akisifia Uongozi wa Rais Samia ulivyoleta maendeleo Jimboni kwake ikiwemo miundombinu ya...
Ma consultance wa Makonda hawalali yaani wana kesha usiku kucha kumpa Makonda mbinu.
Makonda kaambiwa Mali asili na utalii ndiko hasa panamfaa ndiko kwenye mafuta, na ili aingie huko aanze...
👉Ogopeni watu wanaobadilisha misimamo kila wanapokosa wanachokitafuta. Leo ni waaminifu, kesho wanageuka maadui wa walewale waliokuwa wakiwatetea.
👉 Mchungaji Peter Msigwa aliwahi kuhubiri...
Naona kuna wimbi jipya la watu kurudi,kutaka kurudi (kurudisha mpira kwa kipa ili kuanza upya)
Hawa watu hawaaminiki,wasiaminike moja kwa moja maana wanarudisha mpira kwa kipa kipindi timu...
👉Hayati JPM alimlipia shilingi milioni 38 Mchungaji Peter Msigwa kati ya shilingi milioni 40 alizotakiwa kulipa kama faini baada ya kuhukumiwa na Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Hatua hiyo...
Mchungaji Peter Msigwa akiongea na wananchi wa jimbo la Ismani katika uzinduzi wa kampeni za chama cha Mapinduzi zilizo fanyika katika viwanja vya Nanenane, Kata ya Itunundu, mkoani Iringa 25...
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimewasilisha majibu rasmi na mazito kwa Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa, kikikataa tuhuma zote za ukiukwaji wa sheria zilizoelekezwa dhidi yake...
Wakuu,
Nlikuwa nasikiliza hotuba ya baba wa taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere aliyoitoa Julai 22 mwaka 1967 Baada ya kuwapokea Vijana waliotembea kwa Miguu kutoka Moshi.
Alikuwa anaongelea...
Ni kweli kwamba Mafunzo ya Ukakamavu aliyofuzu David DJumbe hapo awali yamemsaidia kuponyoka kutoka kwenye kifo cha kikatili bila hatia
Bali kwa upande mwingine hili jambo ni suala la kiroho la...
Watu wapo kazini katika kutafuta riziki kwa maneno matamu matamu yenye matumaini kwa wale waliokata tamaa,wanaofikiri pengine kubadilika kwa serekali huenda watafadika kwa namna fulani na maisha...
Sio kwa nia mbaya au kuwapangia mambo; CHAUMMA kwa hadhi yenu nyie sio wa kushindwa kutengeneza website hata ya bei kidogo ili kuenda na wakati wa sasa wa Teknolojia ya mawasiliano na kuleta...
Wanabodi,
Angalizo: Kama neno kulamba matapishi, linakutia kinyaa, nakushauri usiusome uzi huu!.
Hili ni swali kuhusu kitu kinachoitwa matapishi ya kisiasa!, kwa nini watu waone kulamba...
Ni takribani miezi saba sasa tangu Taifa liingie katika ukurasa mpya wa huzuni, majonzi na maumivu ya kijamii na kisiasa kufuatia yaliyotokea kwenye Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29. Tangu wakati huo...
Wanabodi,
Salaam.
Ijumaa ya leo, nimepata fursa ya kuendelea na zile makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa". Leo nazungumzia mada ya ukosefu wa fadhila, au ukosefu wa shukrani katika medani za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.