Akizungumza kwenye mahojiano na Crown Media Julai 27, 2026, Mkuu wa Idara ya Habari na Uenezi wa CHADEMA, Gerva Lyenda, ameeleza kuhusu wanaotoa tuhuma dhidi ya Makamu mwenyekiti wa chama hicho, John Heche kuhusu wizi wa fedha, akisisitiza kuwa fedha za CHADEMA huingizwa kwenye akaunti rasmi ya chama na kukaguliwa na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Hivyo ajenda zinazozushwa ni za kisiasa kumchafua Heche huku akitoa wito kwa yeyote mwenye ushahidi dhidi ya Heche
"Fedha za CHADEMA zinaingia kwenye akanti ya chama. Heche siyo signatory. Pesa zile zinakaguliwa na CAG. Heche anakuleje hela za CHADEMA?, Kama yeye kweli anahusika, na mimi nitoe wito kwenye media hii, kwa wote wanaonisikia: walete ushahidi!."
"
"Fedha za CHADEMA zinaingia kwenye akanti ya chama. Heche siyo signatory. Pesa zile zinakaguliwa na CAG. Heche anakuleje hela za CHADEMA?, Kama yeye kweli anahusika, na mimi nitoe wito kwenye media hii, kwa wote wanaonisikia: walete ushahidi!."