Ushauri kwa Rais Samia jinsi ya kuweka mambo sawa nchini

Ushauri kwa Rais Samia jinsi ya kuweka mambo sawa nchini

4 7mbatizaji

JF-Expert Member
Joined
Dec 8, 2019
Posts
11,521
Reaction score
13,381
Mama, CCM imekuharibu huenda ulikuwa mwema sana .

Majizi kila siku na kabla kazi nikukutengenezea hofu, hofu ambayo imevuruga Taswira yako na nchi , wahauni hawa na wenda wana jambo lao na umejaa kwenye mfumo wao bila kujua , 29 Dec sio ya kitoto na imewafanya watanzania sasa kuwa majasiri kuliko jana.

Nikuombe achana na ushauri wa watu wajinga kama Wasira ,kwani mpaka ulipo hapo una miaka 100 mbele ya kuishi duniani?

Hizi kesi uchwara za Kigaidi zinakusaidia nini? Kama sio kuaribu kabisa , je tunajua madhara yake kwa nchi ,je ni kweli huwa unajua ujinga huu na kuukubali?


Nikushauri
1. Piga chini wakuu wa mikoa yote then anza pitia faili moja baada ya lingine mwenyewe sio litewa mkeka mezani

2. Anza upya kupitia kila cv ya wakurugenzi mwenyewe kila taasisi ya serikali

3. Kaa vizuri na Chimbi wenda mbele akafaa sana

4. Wazee wote wajinga kama Wasira piga chini.

5. Vunja bunge na itisha uchaguzi mpya ikiwemo serikali za mtaa .

6. Piga marufuku kubambikia watu kesi za ugaidi .

Futa kesi ya Lissu, na viongozi wa chama chao

7. Unda CCM mpya ya ushindani

Nimemaliza
Thanks
 
Mama, CCM imekuaribu wenda ulikuwa mwema sana .

Majizi kila siku na kabla kazi nikukutengenezea hofu, hofu ambayo imevuruga Taswira yako na nchi , wahauni hawa na wenda wana jambo lao na umejaa kwenye mfumo wao bila kujua , 29 Dec sio ya kitoto na imewafanya watanzania sasa kuwa majasiri kuliko jana.

Nikuombe achana na ushauri wa watu wajinga kama Wasira ,kwani mpaka ulipo hapo una miaka 100 mbele ya kuishi duniani?

Hizi kesi uchwara za Kigaidi zinakusaidia nini? Kama sio kuaribu kabisa , je tunajua madhara yake kwa nchi ,je ni kweli huwa unajua ujinga huu na kuukubali?


Nikushauri
1. Piga chini wakuu wa mikoa yote then anza pitia faili moja baada ya lingine mwenyewe sio litewa mkeka mezani

2. Anza upya kupitia kila cv ya wakurugenzi mwenyewe kila taasisi ya serikali

3. Kaa vizuri na Chimbi wenda mbele akafaa sana

4. Wazee wote wajinga kama Wasira piga chini.

5. Vunja bunge na itisha uchaguzi mpya ikiwemo serikali za mtaa .

6. Piga marufuku kubambikia watu kesi za ugaidi .

Futa kesi ya Lissu, na viongozi wa chama chao

7. Unda CCM mpya ya ushindani

Nimemaliza
Thanks
Hana Akili ,na kwa sababu Hana akili,Hana Ujasiri , na Kwa sababu Hana Ujasiri, Anawaogopa akina Mafwele na wote walikua kwa ajili yake.
 
Mama, CCM imekuaribu wenda ulikuwa mwema sana .

Majizi kila siku na kabla kazi nikukutengenezea hofu, hofu ambayo imevuruga Taswira yako na nchi , wahauni hawa na wenda wana jambo lao na umejaa kwenye mfumo wao bila kujua , 29 Dec sio ya kitoto na imewafanya watanzania sasa kuwa majasiri kuliko jana.

Nikuombe achana na ushauri wa watu wajinga kama Wasira ,kwani mpaka ulipo hapo una miaka 100 mbele ya kuishi duniani?

Hizi kesi uchwara za Kigaidi zinakusaidia nini? Kama sio kuaribu kabisa , je tunajua madhara yake kwa nchi ,je ni kweli huwa unajua ujinga huu na kuukubali?


Nikushauri
1. Piga chini wakuu wa mikoa yote then anza pitia faili moja baada ya lingine mwenyewe sio litewa mkeka mezani

2. Anza upya kupitia kila cv ya wakurugenzi mwenyewe kila taasisi ya serikali

3. Kaa vizuri na Chimbi wenda mbele akafaa sana

4. Wazee wote wajinga kama Wasira piga chini.

5. Vunja bunge na itisha uchaguzi mpya ikiwemo serikali za mtaa .

6. Piga marufuku kubambikia watu kesi za ugaidi .

Futa kesi ya Lissu, na viongozi wa chama chao

7. Unda CCM mpya ya ushindani

Nimemaliza
Thanks
Tangia lini Kenge akamshauri Mamba?
 
Kichwa cha andiko langu ni


Leo acha niongee na samia kama mama na sio cheo chochote .

Sasa haya mh rais na blabla yanatoka wapi ? Kwenu mods , rais ni cheo so kama ni cheo kwa nini niongee na cheo ili hali nimesema naongea naye kama mama? Rudisha kichwa cha mada hamtaki futa hii post
 
Hana Akili ,na kwa sababu Hana akili,Hana Ujasiri , na Kwa sababu Hana Ujasiri, Anawaogopa akina Mafwele na wote walikua kwa ajili yake.
Nomba leo mkuu tupst kwa staa kidogo , maana nimesema naongea naye kama mama sio kwa cheo chochote , mods wakabadilisha sijui kwa manufaa ya nani
 
Mama, CCM imekuaribu wenda ulikuwa mwema sana .

Majizi kila siku na kabla kazi nikukutengenezea hofu, hofu ambayo imevuruga Taswira yako na nchi , wahauni hawa na wenda wana jambo lao na umejaa kwenye mfumo wao bila kujua , 29 Dec sio ya kitoto na imewafanya watanzania sasa kuwa majasiri kuliko jana.

Nikuombe achana na ushauri wa watu wajinga kama Wasira ,kwani mpaka ulipo hapo una miaka 100 mbele ya kuishi duniani?

Hizi kesi uchwara za Kigaidi zinakusaidia nini? Kama sio kuaribu kabisa , je tunajua madhara yake kwa nchi ,je ni kweli huwa unajua ujinga huu na kuukubali?


Nikushauri
1. Piga chini wakuu wa mikoa yote then anza pitia faili moja baada ya lingine mwenyewe sio litewa mkeka mezani

2. Anza upya kupitia kila cv ya wakurugenzi mwenyewe kila taasisi ya serikali

3. Kaa vizuri na Chimbi wenda mbele akafaa sana

4. Wazee wote wajinga kama Wasira piga chini.

5. Vunja bunge na itisha uchaguzi mpya ikiwemo serikali za mtaa .

6. Piga marufuku kubambikia watu kesi za ugaidi .

Futa kesi ya Lissu, na viongozi wa chama chao

7. Unda CCM mpya ya ushindani

Nimemaliza
Thanks
Ushauri ni mzuri,atakubali?
 
Naomba hii post for Mods ifutwe ,mmeivuruga sana , wapi nilitaja mh rais , nitaja mama ,sasa ifuteni mambo yasiwe Mengi
 
Mama, CCM imekuaribu wenda ulikuwa mwema sana .

Majizi kila siku na kabla kazi nikukutengenezea hofu, hofu ambayo imevuruga Taswira yako na nchi , wahauni hawa na wenda wana jambo lao na umejaa kwenye mfumo wao bila kujua , 29 Dec sio ya kitoto na imewafanya watanzania sasa kuwa majasiri kuliko jana.

Nikuombe achana na ushauri wa watu wajinga kama Wasira ,kwani mpaka ulipo hapo una miaka 100 mbele ya kuishi duniani?

Hizi kesi uchwara za Kigaidi zinakusaidia nini? Kama sio kuaribu kabisa , je tunajua madhara yake kwa nchi ,je ni kweli huwa unajua ujinga huu na kuukubali?


Nikushauri
1. Piga chini wakuu wa mikoa yote then anza pitia faili moja baada ya lingine mwenyewe sio litewa mkeka mezani

2. Anza upya kupitia kila cv ya wakurugenzi mwenyewe kila taasisi ya serikali

3. Kaa vizuri na Chimbi wenda mbele akafaa sana

4. Wazee wote wajinga kama Wasira piga chini.

5. Vunja bunge na itisha uchaguzi mpya ikiwemo serikali za mtaa .

6. Piga marufuku kubambikia watu kesi za ugaidi .

Futa kesi ya Lissu, na viongozi wa chama chao

7. Unda CCM mpya ya ushindani

Nimemaliza
Thanks
Wazo kwamba wewe unafikiri unaweza kumshauri Samia, tena kwa kupitia JF, linachekesha na kusikitisha kwa wakati mmoja.

Tatizo la Samia si kupata ushauri, anapata ushauri wa kila aina.

Tatizo hana political will, hana nia, hajali.

Na hili ni jambo ambalo huwezi kushauri.
 
Back
Top Bottom