Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

KUJIVUA GAMBA KWA NYOKA HAKUMFANYI ASIWE NYOKA. MSALITI NI MSALITI. Anaandika, Robert Heriel Mtibeli. 1. Usidanganywe na Werevu wake. Nyoka ni nyoka. 2. Nyoka anapojivua gamba ili aonekane...
1 Reactions
8 Replies
148 Views
Inaelekea kukamilika miezi miwili ama zaidi tangu Mchungaji Peter Msigwa ahame CHADEMA na kutimkia CCM baada ya kushindwa uchaguzi wa uenyekiti kanda ya Nyasa. Huko CCM alipokelewa kwa vifijo na...
9 Reactions
67 Replies
2K Views
Ndugu zangu Watanzania, Mtumishi wa Mungu Mchungaji Peter Msigwa amesema ya kuwa CHADEMA ina wanachama Laki 4 pekee nchi nzima. Ambapo katika kuthibitisha madai hayo ameweka na ushahidi.hivyo...
7 Reactions
79 Replies
3K Views
Ameandika Mch. Peter Msigwa Historia inaonyesha: Mataifa mengi duniani hayakuanguka kwanza kwa sababu ya vita au mapinduzi bali , Yalianza kudhoofika taratibu pale ambapo mamlaka isiyo rasmi...
15 Reactions
65 Replies
1K Views
Aliahidi kuzunguka nchi nzima (hakutaja kwa gharama za nani) kuelezea mazuri ya chama chake kipya alichokuwq akikisema vibaya miaka yote.. Na kukiponda chama chake cha zamani. Ametumika kwa...
20 Reactions
100 Replies
5K Views
Ndugu zangu Watanzania, Soma Mwenyewe alichoandika mchungaji peter Msigwa,ambaye ameonekana kuwa na furaha kubwa sana tangia ameingia na kujiunga na CCM.muda wote anaonekana ni Mwenye tabasamu...
2 Reactions
55 Replies
2K Views
Wakuu Kada wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Mchungaji Peter Msigwa amesema kuwa chama hicho (CCM) ni chama kinachoongoza kwa kutekeleza ilani barani Afrika na hilo linapelekea wananchi kukiamini...
4 Reactions
15 Replies
947 Views
Mchungaji Peter Msigwa amejiunga rasmi na Chama Cha Mapinduzi (CCM) na amepokelewa kwenye kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM NEC kinachoongozwa na Mwenyekiti wa CCM Daktari Samia Suluhu Hassan Pia...
61 Reactions
532 Replies
22K Views
Baada ya Mwenyekiti wa Vijana wa ACT Wazalendo, Abdul Nondo, leo Mei 23, 2026 kutoa tuhuma mbalimbali dhidi ya Mbunge wa Kigoma Mjin Clayton Revocatus Chipando (Baba Levo) ikiwemo kudai kuwa...
1 Reactions
4 Replies
191 Views
Serengeti ni moyo wa utalii wa Tanzania, halafu bado tunabishana kuhusu airport? https://youtu.be/9eOKGUVCjA4?si=UOzbKsu_RKP-Xeck Wakenya waliona tumelala, wana mipango ya kujenga airport karibu...
6 Reactions
46 Replies
799 Views
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba amesayasema hayo Mei 23, 2026 wakati akizungumza na wananchi wa mkoa wa Iringa, katika viwanja vya kichangani. Dkt. Mwigulu yupo mkoani Iringa kwa ziara ya...
1 Reactions
30 Replies
571 Views
Kwa maelezo ya Djumbe na rafiki yake, jumlisha na alichokisema Golugwa, ni kuwa kuna list ya watu wapo kwenyw Blackbook, wanafuatiliwa mm9ja baada ya mwingine, anayeagiza hayo ni mtu mmoja (ambaye...
5 Reactions
6 Replies
195 Views
Mwigulu hakustahili kua hata Mbunge ukiacha kua waziri mkuu sema kwasababu ni mwanamtandao basi yuko pale kwasababu ya Jakaya Kikwete. Waziri mkuu Unawezaje kusimama na...
0 Reactions
0 Replies
68 Views
Wanabodi, Hili ni bandiko la wito wa Tuacheni Ramli Chonganishi Kuhusu Mhusika wa Shambulizi la Risasi kwa Mhe. Tundu Lissu, kupotea kwa mwana jf maarufu Ben Saanane, kupotea kwa mwanahabari...
15 Reactions
193 Replies
30K Views
Anonymous (f916)
Pembezoni mwa Hombolo Dam serikali ilikuja na project ya kupanda miti Na kukafanyika uzinduzi, mahema , misafara ya viongozi. Kumbuka hekaheka zote hizi zinafadhiliwa na pesa za walipa kodi...
0 Reactions
0 Replies
81 Views
Hakuna jambo baya kama kukataliwa. CCM ilivyokumbana na dhoruba ya kukataliwa Zanzibar miaka ile ya awali ya vyama vingi ya 1995 haikuamini. Ilifanya makosa ambayo leo hii kwenye miaka ya 2018...
12 Reactions
36 Replies
3K Views
Wanabodi, Tangu kutokea kwa shambulizi kwa Mhe.Tundu Lissu, ambalo mpaka sasa linaelezwa kufanywa na watu wasiojulikana, kumeibuka shauku kubwa ya watu kutaka kuwabaini hawa watu wanaoitwa ni...
70 Reactions
299 Replies
49K Views
Ndugu zangu Watanzania Wazalendo kuna wakati tunapaswa kusema ukweli kuhusu mwenendo wa baadhi ya siasa zinazofanywa na Ufipa kwa sababu Taifa letu lina thamani kubwa kuliko maslahi ya kisiasa ya...
0 Reactions
4 Replies
92 Views
Wanabodi Naendelea na zile mada zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa", ambazo ni mada za uzalendo kutoka kwa mzalendo wa kweli wa taifa hili. Mada ya leo ni kujadili moja ya Idara zetu nyeti sana, hapa...
126 Reactions
575 Replies
87K Views
Back
Top Bottom